Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,813
- 509
Nadhani kwa jinsi Tanzania tulivyohalalisha ubangaizaji (Rais anapenda kuuita UKANJANJA) suala la Mpiga Picha kuwa Mwandishi wa Habari Msaidizi wa Ikulu halitakiwi kushangaza. Inaonesha kuwa hadi ofisi kubwa kuliko zote nchini imeingia katika zoezi la UKANJANJA!
Mimi siku zote (samahani kwa uelewa wangu finyu) nilikuwa naamini Michuzi ni mpiga picha!
Michuzi ni photo-journalist.