kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #21 Dakika ya 30 sasa Mpira unaendelea kwa kasi kidogo. Bado ni Moja bila
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #23 Refa anajitahidi sana
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #24 kurlzawa said: FRANCE HATOBOI Click to expand... Si mchezo hii game haitabiriki kabisa.
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #25 Varren mbwembwe sana hapa.
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #26 Dakika ya 35 kona inapigwa kwa Ujerumani.
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #27 Kona haijaleta matatizo yoyote
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #28 German wanapotrza nafasi ya wazi
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #30 Almost to Halftime now. France 1 German 0.
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #31 Dakika 45 za kipindi cha Kwanza Zimekamilika. German wakitanguliwa kwa Goal 1.
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,231 Jun 15, 2021 #32 kiwatengu said: Dakika 45 za kipindi cha Kwanza Zimekamilika. German wakitanguliwa kwa Goal 1. Click to expand... France ndo wametangulia mkuu
kiwatengu said: Dakika 45 za kipindi cha Kwanza Zimekamilika. German wakitanguliwa kwa Goal 1. Click to expand... France ndo wametangulia mkuu
Hadrianus JF-Expert Member Feb 19, 2020 2,112 5,208 Jun 15, 2021 #33 Griezmann anazurula tu uwanjani, hakuna la maana anafanya
ris Member Jun 16, 2017 73 109 Jun 15, 2021 #34 Viol said: France ndo wametangulia mkuu Click to expand... Uwe unasoma na kuelewa kabla hujaandika kitu
Viol said: France ndo wametangulia mkuu Click to expand... Uwe unasoma na kuelewa kabla hujaandika kitu
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #35 Viol said: France ndo wametangulia mkuu Click to expand... Nisome vizuri mdau
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #36 Hadrianus said: Griezmann anazurula tu uwanjani, hakuna la maana anafanya Click to expand... Ha ha ha ha ha
Hadrianus said: Griezmann anazurula tu uwanjani, hakuna la maana anafanya Click to expand... Ha ha ha ha ha
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #37 Kipindi cha Pili kimeanza hapa. Bado ni ngumu sana Kutabiri hii game
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #39 Pogba leo anaupiga mwingi si mchezo
kiwatengu Platinum Member Apr 6, 2012 17,654 14,808 Jun 15, 2021 Thread starter #40 Ufaransa wana kikosi kizuri sana