Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
  • NCAA BK
  • NBA
  • NASCAR
  • NHL
    • PL
    • CL
    • MLS
    • EUR
    • ESP
    • ITA
    • GER
    • EL
    • MEX
    • FRA
    • NED
    • SPL
    • FAC
    SOCCER »
  • GOLF


Close
Email A Friend
Subject:

(separate multiple email addresses with a semi-colon)




Close
Email A Friend
Your email has been sent.



FOX SPORTS DEPORTES FOXSOCCER.TV TV SCHEDULE SHOP


Register | Sign In























Upcoming Games
Today's Games Qualifier: 08/11/10 - 09/03/10 Qualifier: 09/07/10 Qualifier: 10/08/10 - 10/09/10 Qualifier: 10/12/10 Qualifier: 11/17/10 - 03/26/11 Qualifier: 03/29/11 Qualifier: 06/03/11 - 06/04/11 Qualifier: 06/07/11 - 08/10/11 Qualifier: 09/02/11 - 09/03/11 Qualifier: 09/06/11 Qualifier: 10/07/11 - 10/08/11 Qualifier: 10/11/11​

Tuesday, March 29, 2011​
Qualifier​

Group I - Na Stinadlech
Expand


Czech Republic​
11:30 AM ET

Liechtenstein​


Goals Cards Substitutions
Group E - Rasunda
Expand


Sweden​
1:00 PM ET

Moldova​


Goals Cards Substitutions
Group F - Ramat Gan Stadium
Expand


Israel​
12:05 PM ET

Georgia​


Goals Cards Substitutions
Group C - Windsor Park
Expand


Northern Ireland​
2:45 PM ET

Slovenia​


Goals Cards Substitutions
Group E - Amsterdam ArenA
Expand


Netherlands​
2:30 PM ET

Hungary​


Goals Cards Substitutions
Group A - Atatürk Olympic Stadium
Expand


Turkey​
1:30 PM ET

Austria​


Goals Cards Substitutions
Group A - Constant Vanden Stock
Expand


Belgium​
2:45 PM ET

Azerbaijan​


Goals Cards Substitutions
Group D - Stadionul Lia Manoliu
Expand


Romania​
1:45 PM ET

Luxembourg​


Goals Cards Substitutions
Group C - A Le Coq Arena
Expand


Estonia​
2:30 PM ET

Serbia​


Goals Cards Substitutions
Group I - Zalgiris Stadium
Expand


Lithuania​
2:45 PM ET

Spain​


Goals Cards Substitutions
Completed Games

Friday, March 25, 2011​
Qualifier​

Group A - Ernst Happel Stadion
Expand


Austria​
0 : 2
Final


Belgium​


Match Stats | Match Trax
Goals Witsel (6')

Witsel (50')

Cards Vincent Kompany (41')

(54') Yasin Pehlivan
David Alaba

(54') Stefan Maierhofer
Marc Janko

(68') Ümit Korkmaz
Zlatko Junuzovic

Substitutions Kevin Mirallas (79')

Marvin Ogunjimi



Group E - Ferenc Puskas Stadium
Expand


Hungary​
0 : 4
Final


Netherlands​


Match Stats | Match Trax
Goals Rafael Van der Vaart (8')

Ibrahim Afellay (45')

Dirk Kuyt (54')

Robin Van Persie (62')

(44') Vladimir Koman
(59') Akos Elek
(61') Vilmos Vanczak
(67') Zoltan Liptak
Cards Robin Van Persie (18')

(47') Peter Czvitkovics
Vladimir Koman

(47') Krisztian Vadócz
Jozsef Varga

(79') Tamas Priskin
Akos Elek

Substitutions Eljero Elia (63')

Ibrahim Afellay


Ruud Van Nistelrooy (82')

Dirk Kuyt


Kevin Strootman (82')

Rafael Van der Vaart



Group C - Stadion Crvena Zvezda
Expand


Serbia​
2 : 1
Final


Northern Ireland​


Match Stats | Match Trax
(65') Marko Pantelic
(74') Zoran Tosic
Goals Gareth McAuley (40')

(37') Dejan Stankovic
(45') Marko Pantelic
(55') Milos Krasic
Cards Jonny Evans (27')

David Healy (62')

(46') Milos Ninkovic
Nenad Milijas

(46') Milan Jovanovic
Adem Ljajic

(86') Radoslav Petrovic
Milos Krasic

Substitutions David Healy (46')

Kyle Lafferty


Warren Feeney (78')

Johnny Gorman


Patrick McCourt (86')

Corry Evans



Group C - Sportni park Stozice
Expand


Slovenia​
0 : 1
Final


Italy​


Match Stats | Match Trax
 
Group D - Josy Barthel
Expand


Luxembourg​
0 : 2
Final


France​


Match Stats | Match Trax
Goals Philippe Mexes (28')

Yoann Gourcuff (72')

(83') Mario Mutsch
Cards
(53') Ante Bukvic
Tom Laterza

(71') Daniel Da Mota
Lars Gerson

(90') Jacques Plein
Charles Leweck

Substitutions
Group I - Nuevo Los Cármenes
Expand


Spain​
2 : 1
Final


Czech Republic​


Match Stats | Match Trax
(68') David Villa
(72') David Villa
Goals Jaroslav Plasil (28')

(38') Xabi Alonso
(83') Álvaro Arbeloa
Cards Zdenek Pospech (46')

Jan Rezek (59')

(46') Fernando Torres
Xabi Alonso

(58') Santi Cazorla
Joan Capdevila

(85') Carlos Marchena
Jesús Navas

Substitutions Adam Hlousek (77')

Daniel Pudil


Tomas Necid (83')

Jan Rezek



Saturday, March 26, 2011​
Qualifier​

Group G - Millennium Stadium
Expand


Wales​
0 : 2
Final


England​


Match Stats | Match Trax
Goals Frank Lampard (7')

Darren Bent (15')

(56') Andrew Crofts
(70') Joe Ledley
(82') David Vaughan
(82') Craig Bellamy
(86') James Collins
Cards Wayne Rooney (37')

Glen Johnson (84')

(65') David Vaughan
Andrew King

(66') Ched Evans
Steve Morison

Substitutions James Milner (70')

Wayne Rooney


Stewart Downing (82')

Jack Wilshere


Philip Jagielka (89')

Scott Parker



Group G - Vasil Levski National Stadium
Expand


Bulgaria​
0 : 0
Final


Switzerland​


Match Stats | Match Trax
 
Group B - Republican Stadium
Expand


Armenia​
0 : 0
Final


Russia​


Match Stats | Match Trax
Goals
(34') Levon Hayrapetyan
(88') Edgar Manucharyan
Cards Roman Shiskin (63')

(48') Edgar Manucharyan
Edgar Malakyan

(57') Artur Edigaryan
Marcos Pizzelli

(67') Artak Edigaryan
Levon Hayrapetyan

Substitutions Pavel Pogrebnyak (78')

Alexander Kerzhakov


Diniyar Bilyaletdinov (90')

Andrei Arshavin



Group D - Bilino Polje
Expand


Bosnia-Herzegovina​
2 : 1
Final


Romania​


Match Stats | Match Trax
(63') Vedad Ibisevic
(83') Edin Dzeko
Goals Ciprian Marica (29')

(54') Vedad Ibisevic
(78') Elvir Rahimic
Cards
(71') Darko Maletic
Haris Medunjanin

(76') Zlatan Muslimovic
Vedad Ibisevic

(81') Senijad Ibricic
Zvjezdan Misimovic

Substitutions Razvan Cocis (71')

Gabriel Torje


Adrian Ropotan (76')

Gheorghe Florescu


Ianis Zicu (87')

Ciprian Deac



Group B - Aviva Stadium
Expand


Ireland​
2 : 1
Final

Macedonia FYR​


Match Stats | Match Trax
(2') Aiden McGeady
(21') Robbie Keane
Goals Ivan Trickovski (45')

(48') Keiren Westwood
(66') Richard Dunne
(70') Darron Gibson
Cards Boban Grncarov (50')

Goran Popov (57')

Muhamed Demiri (80')

(20') Shane Long
Kevin Kilbane

(77') Keith Fahey
Darron Gibson

(87') James McCarthy
Robbie Keane

Substitutions Mario Gjurovski (61')

Darko Tasevski


Stevica Ristic (68')

Ilco Naumoski


Slavko Georgievski (84')

Muhamed Demiri



Group A - Fritz-Walter Stadion
Expand


Germany​
4 : 0
Final


Kazakhstan​


Match Stats | Match Trax
(3') Miroslav Klose
(25') Thomas Müller
(43') Thomas Müller
(88') Miroslav Klose
Goals Cards Farkhadbek Irismetov (24')

(65') Mario Gómez
Lukas Podolski

(78') Toni Kroos
Bastian Schweinsteiger

(78') Mario Gotze
Thomas Müller

Substitutions Maxat Baizhanov (46')

Nurbol Zhumaskaliev


Zhambyl Kukeyev (60')

Azat Nurgaliev


Sergey Ostapenko (81')

Kazbek Geteriev



Group H - Ullevaal Stadion
Expand


Norway​
1 : 1
Final


Denmark​


Match Stats | Match Trax
 
Group H - Neo GSP Stadium
Expand


Cyprus​
0 : 0
Final


Iceland​


Match Stats | Match Trax
Goals
(42') Giorgos Merkis
Cards Kristjan Orn Sigurdsson (21')

Stefan Logi Magnusson (88')

(46') Jason Demetriou
Valentinos Sielis

(61') Marios Elia
Savvas Poursaitidis

(73') Nektarios Alexandrou
Dimitris Christofi

Substitutions Arnar Smarason (59')

Johann Gudmundsson


Alfreo Finnbogason (63')

Rurik Gislason


Birkir Bjarnason (90')

Gylfi Sigurdsson



Group D - Qemal Stafa
Expand


Albania​
1 : 0
Final


Belarus​


Match Stats | Match Trax
(62') Hamdi Salihi
Goals
(17') Hamdi Salihi
(18') Altin Lala
(38') Lorik Cana
Cards Alexandr Kulchy (20')

Igor Shitov (32')

Vyacheslav Hleb (49')

Dmitri Molosh (53')

(75') Elis Bakaj
Erjon Bogdani

(81') Klodian Duro
Ervin Skela

(90') Gjergji Muzaka
Hamdi Salihi

Substitutions Leonid Kovel (46')

Sergei Krivets


Aleksandr Bychanok (62')

Alexandr Kulchy


Pavel Sitko (82')

Anton Putilo



Group B - Estadi Comunal d'Andorra la Vella
Expand


Andorra​
0 : 1
Final


Slovakia​


Match Stats | Match Trax
Goals Filip Sebo (21')

(35') Sergio Moreno
(58') Manolo Jimenez
Cards Miroslav Stoch (54')

Jan Mucha (65')

(72') Marcio Vieira
Sebastián Gómez

(81') Juli Sanchez
Josep Ayala

(87') Oscar Sonejee Masand
Manolo Jimenez

Substitutions Juraj Piroska (78')

Robert Vittek


Filip Holosko (87')

Erik Jendrisek


Kornel Salata (90')

Miroslav Stoch



Group F - Ta'Qali National Stadium
Expand


Malta​
0 : 1
Final


Greece​


Match Stats | Match Trax
Goals Vassillis Torosidis (90')

(90') Andrew Cohen
Cards Georgos Tzavelas (58')

Sokratis Papastathopoulos (84')

Vassillis Torosidis (88')

(46') Jamie Pace
Jonathan Caruana

(78') Ryan Fenech
Shaun Bajada

(90') Andrew Cohen
Andre Schembri

Substitutions Ioannis Fetfatzidis (61')

Dimitrios Salpigidis


Konstantinos Mitroglou (70')

Nikolaos Liberopoulos


Panayotis Kone Kone (81')

Sotiris Ninis



Group F - Boris Paichadze Stadium
 
Expand

Georgia​
1 : 0
Final


Croatia​


Match Stats | Match Trax
(90') Levan Kobiashvili
Goals
(71') Otar Martsvaladze
Cards Tomislav Dujmovic (52')

Niko Kranjcar (66')

(46') David Siradze
Vladimir Dvalishvili

(62') Otar Martsvaladze
Alexander Iashvili

(73') Gogita Gogua
Murtaz Daushvili

Substitutions Ivan Perisic (61')

Ivan Rakitic


Nikica Jelavic (70')

Niko Kranjcar


Danijel Pranjic (84')

Mladen Petric



Group F - Bloomfield Road
Expand


Israel​
2 : 1
Final


Latvia​


Match Stats | Match Trax
 
Australian grand prix

McLaren principal Martin Whitmarsh fumes over Jenson Button penalty

• Driver penalised for illegal move on Felipe Massa
• Whitmarsh still delighted with team's result




  • Paul Weaver in Melbourne
  • The Guardian, Monday 28 March 2011 <li class="history">Article history McLaren's Lewis Hamilton, left, celebrates his second place at the Australian grand prix with the winner Sebastian Vettel. Photograph: Jens Buettner/DPA/PA The McLaren team principal, Martin Whitmarsh, was fuming on Sunday night over the incident that saw Jenson Button penalised for an illegal move on Felipe Massa. Button, who started fourth and finished sixth, was given a drive-through penalty, which cost him an estimated 23 seconds, after being found guilty of cutting a corner as he overtook Felipe Massa on lap 11, following a long struggle.
    Whitmarsh said: "We should have had two cars on the podium here. I feel a bit harshly treated because as the incident happened we asked race control for their advice, what we should do. They explained they would come back to us and they didn't. The next thing we knew it had gone to the stewards, Massa had stopped and we were unable to do anything about it. When they say 'We'll get back to you', you expect, to be honest, that they'll get back to you. It's frustrating and its annoying."
    But Button did look in the wrong and a relieved-looking Whitmarsh was encouraged by the performances of Button and Lewis Hamilton, who finished second. "Two weeks ago I would have snatched your hand off for that result," he said.

 
20Percent awabwaga masharobaro Send to a friend Sunday, 27 March 2011 21:28 0diggsdigg

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, 20 Percent

Michael Momburi
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, 20 Percent jina lake halisi Abbas Kinzasa juzi alifanikiwa kutwaa tuzo tano kati ya sita kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za muziki Tanzania za Kili 2011.

Katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyofana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam, msanii huyo alinyakua tuzo tano huku akiwafunika nyota wengine kama Diamond na Ali Kiba ambao walikuwa wanapewa nafasi kubwa ya kutwaa tuzo mwaka huu.

Msanii huyo ambaye mashabiki walikuwa wakimshangilia kila alipotajwa ingawa aliwakilishwa na prodyuza wake, Man Walter ukumbini hapo, alishinda tuzo ya msanii bora wa kiume, mtunzi bora wa nyimbo, mwimbaji bora wa kiume.

Wimbo wake wa &#8216;Tamaa Mbaya' ulitwaa tuzo ya wimbo bora wa mwaka na wimbo bora wa Afro Pop huku Banana Zorro akisema; "Nilijua 20 angewafunika, nyimbo zake zinagusa maisha halisi ya Mtanzania wa kawaida na hata mwaka usishangae akaendelea kutawala."

Wasanii wengine waliofuatia kwa kujikusanyia tuzo mbili kila mmoja ni Linah, JCB na CPwaa. Linah alitwaa tuzo ya msanii mpya anayechipukia na mwimbaji bora wa kike wakati CPwaa na singo yake ya &#8216;Action' alinyakua tuzo ya wimbo bora wa Ragga na video bora ya mwaka.

Wimbo wa &#8216;Ukisikia Paah' wa JCB ambao amewashirikisha Fid Q, Chid Benz na Jaymoe uliwapa tuzo ya wimbo bora wa hip hop pamoja na wimbo bora wa kushirikishwa.

Wasanii wengine waliotwaa tuzo ni Lady Jaydee, ambaye aliibuka msanii bora wa kike, &#8216;My Valentine' wa Jahazi ndio wimbo bora wa Taarab, wimbo bora wa Kiswahili wa bendi ni &#8216;Shika Ushikapo' wa Mapacha Watatu huku &#8216;Nikikupata' wa Belle 9 ukitajwa wimbo bora wa R&B.

&#8216;Ujio Mpya' wa Hardmad akimshirikisha Enika ndio wimbo bora wa Reggae, rapa bora wa bendi kwa mwaka ni Khalid Chuma 'Chokoraa', msanii bora wa Hiphop ni Joh Makini huku &#8216;Nitafanya' ya Kidumu na Jaydee ikibuka nyimbo bora ya Afrika Mashariki na Lamar prodyuza bora.

Wimbo bora wa asili wa Tanzania ni &#8216;Shangazi' wa Mpoki aliofanya na Cassim wakati &#8216;Nabembelezwa' ya Barnaba ndio wimbo bora wa Zouk.

Mashabiki walionekana kufurahia maandalizi pamoja na programu ya shoo hiyo ingawa waliguna kwa nguvu alipotangazwa mshindi wa prodyuza bora wa mwaka ambaye ni Lamar na mshindi wa wimbo bora wa asili, Sylvery Mujuni au Mpoki, mchekeshaji wa Orijino Komedi.

Wengi wao waliwataja msanii Mrisho Mpoto au Mjomba na prodyuza Man Walter kuwa walistahili kwenye badala yao.

Msanii Diamond ambaye aliambulia patupu katika tuzo hizo licha ya kupewa nafasi kubwa alisema, "Nimeridhika na mchuano ulikuwa mkali walioshinda walistahili."


Comments




0 #7 Michael 2011-03-28 10:46 Hongera 20%..aliyeshinda tuzo ya wimbo bora rnb siyo belle 9 bali ni BEN POL mwandishi ameteleza kidogo mhariri akerekebishe hilo asante.
Quote









0 #6 malaki 2011-03-28 10:38 Hongera 20% naomba usibweteke na hizo tuzo ulopata kaza buti katika kazi yako ya muziki,vile vile nawapongeza wote wlioshinda katika categoria anuai na ambao hawakufanikiwa kutwaa tuzo kwenye mtanange huo wasikate tamaa wakaze buti, Big up Jahazi kwa kufanya kwlei
Quote









0 #5 Matinde 2011-03-28 10:20 Hongera 20%. Man Water hongera pia kwa kazi nzuri za msanii wako. Tuko pamoja
Quote









0 #4 kileo 2011-03-28 10:04 20% unastahili hizo tuzo
kaza kamba endelea kuimba nyimbo zenye maadili na zinazotoa elimu kwa jamii
hiyo ndi kazi ya msaani
hongera
Quote









0 #3 GILBERT OCTAVIAN 2011-03-28 09:54 20% NI MSANII MZURI SANA.NYIMBO ZAKE ZINA MAADILI HALISI YA MWANANCHI HALISI WA TANZANIA.ANASTAHILI PONGEZI.HAYAWAHI KUIMBA PUMBA KULINGANISHA NA BAADHI YA WASANII WENGINE WA KADA YAKE.
Quote









-1 #2 SUDI 2011-03-28 08:49 KAKA 20% NAKUKUBALI UNATISHA KAZA BUTI.ILA TUZO YA MSANII BORA WA HIP HOP KUMPA JOH MAKINI MMECHEMSHA NYIE WAANDAAJI.FID Q ALISTAHILI HYO NAFAS,PIA PRODUCER BORA ALISTAHILI APEWE MA WALTER.NI HAYO TUUU
Quote









-1 #1 mukuru 2011-03-28 06:40 Kwa kweli 20% anastahili hizo tuzo kwani anatisha ati!yaani nyimbo zake zinagusa kwelikweli,Kaza buti babu watakubali tu wanaobana najua wako wengi wanaokukatisha tamaa ila usikate tamaaa m2 mzima.
Quote







Refresh comments list
 
Hongera Taifa Stars, kazi bado mbichi


SAFARI ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwakani nchini Benin na Guinea ya Ikweta, ilipata faraja baada ya kuwafunga Afrika ya Kati bao 2-1.
Kwa ushindi huo, Stars yenye rekodi ya kucheza fainali hizo mara moja pekee mwaka 1980, imepata nguvu katika kampeni yake kwani kitu muhimu sasa ni kushinda mechi zote tatu zilizosalia.
Kwetu Tanzania Daima, tunachukua nafasi hii kuwapongeza wachezaji, benchi la ufundi chini ya kocha wake Jan Poulsen na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) tukiamini ushindi huu ni matokea ya juhudi zao za pamoja bila kuwasahau wadau.
Pamoja na pongezi hizo, wito wetu kwa wachezaji ni kutobweteka na ushindi huu kwa sababu kufanya hivyo ni kosa litakaloigharimu timu katika kampeni hizo za kucheza fainali hizo kwa mara ya pili.
Kitu muhimu kwa kila mchezaji wa Stars ni kuutumia ushindi huo dhidi ya Afrika ya Kati kama changamoto ya kujipanga na kujituma zaidi katika mazoezi ili kuwa fiti zaidi kwa lengo la kushinda mechi zote tatu zilizobaki.
Ni faraja kuona kila mchezaji mmoja mmoja akijipanga vizuri kwa ajili ya mechi ya marudiano dhidi ya Afrika ya Kati itakayochezwa kati ya Juni 2 hadi 5 ambapo Stars itakuwa ugenini.
Ushindi kwa Stars katika mechi hiyo ni muhimu kama kweli imedhamiria kwenda kwenye fainali za michuano hiyo nchini Benin na Guinea ya Ikweta, mwakani.
Tunasema haya kutokana na ukweli kuwa licha ya ushindi wa juzi, bado hali ya mambo ni ngumu katika kundi lake la D, lenye pia timu za Algeria, Morocco, hivyo ni muhimu kwa Stars kushinda mechi hiyo.
Kama Stars watashinda, kazi nyingine itakayowakabili ni kushinda tena dhidi ya Algeria itakayochezwa hapa nchini kati ya Septemba 2 hadi 4.
Stars ikifanikiwa kushinda mechi hizo mbili, kazi ya mtihani wa mwisho kwake itakuwa ni dhidi ya Morocco itakayochezwa mjini Rabat kati ya Oktoba 7 hadi 9.
Mazingira haya ndiyo yanatufanya sisi Tanzania Daima tuone Stars bado ina mtihani mgumu katika jukumu lake la kupigania tiketi ya kucheza fainali hizo ambazo hufanyika kila baada ya miaka miwili.
Hivyo, kila mchezaji wa Stars anapaswa kutambua kiu na shauku ya wapenzi na mashabiki wa soka ya kutaka kuona timu yao inapata tiketi ya kucheza fainali hizo kwa mara ya pili baada ya miaka 32.
Tunasema hakuna namna nyingine ya kuikwaa tiketi ya fainali hizo, isipokuwa ushindi wa uwanjani ambao pia hauwezi kuja kwa maneno matupu ama kwa kukamia tu, bali kwa kujipanga na kufanya maandalizi bora yatakayoiwezesha timu kuwa na uwezo halisi dimbani.
Ndio maana sisi tunadhani kama kweli tumedhamiria timu yetu iweze kucheza fainali hizo za Afrika, basi tufanye maandalizi ya uhakika ambayo si mengine bali timu kuandaliwa mechi nyingi za kirafiki za kimataifa kuwaongezea nyota wetu uwezo na hali ya kujiamini.
Katika hali ya kawaida, Juni yaweza kuonekana ni mbali, lakini kutokana na umuhimu na ugumu wa kampeni hii, tungeshauri kuwa maandalizi ya mechi hiyo, yaanze sasa kwani wakati wenzetu wanatembea, sisi twende mwendo wa kukimbia.
Tunasema haya kutokana na ukweli kuwa Afrika ya Kati ni wazuri kuliko Tanzania kwa mujibu wa viwango vya ubora wa soka vya mwezi Februari kwani wakati Tanzania ikikamata nafasi ya 121, Afrika ya Kati ya 112, hivyo ni wazuri zaidi.
Aidha, baada ya kufungwa katika mechi ya juzi, watakachofanya Afrika ya Kati ni kujipanga vizuri kwa ajili ya kushinda mechi ya marudiano, hivyo Stars nayo inapaswa kujipanga zaidi kupata ushindi mwingine.
Tunamaliza maoni haya tukiwapongeza wachezaji wa Stars kwa ushindi, lakini pia tukiwasihi ushindi huo usiwe sababu ya kuvimba vichwa na kusahau ugumu wa kampeni hii, hivyo maandalizi makubwa zaidi yanahitajika.
 
JOHN ONDOLO CHACHA: Mtoto wa mwanamuziki aliyerithi soka


Makuburi Ally​

INAWEZEKANA kabisa nyoka akazaa mjusi? Sidhani; mara nyingi nyoka huzaa nyoka. Lakini imetokea kwani nyoka amezaa mjusif Msemo huo unaweza kwenda sambamba na aliyekuwa mchezaji mahiri wa zamani, John Ondolo Chacha ambaye alicheza katika timu ya Lipuli ya Iringa msimu wa 1991-92 akitokea jijini Dar es Salaam.
Chacha ambaye alipachikwa majina ya Niva, Pembe ya Ndovu na Thobias Ocholla kutokana umahiri wake wa kucheza beki namba nne katika timu alizowahi kucheza, baba yake alikuwa ni mdau mkubwa wa sanaa.
Akizungumza na mwandishi wa makala hii, anaanza kwa kuelezea tofauti iliyoko kati ya soka la sasa na la miaka waliyocheza wao.
Anasema, ilikuwa ni kwamba, wao walijituma katika mazoezi binafsi, kuliko wa sasa ambao ni wavivu.
Anaongeza kuwa, sababu ya uvivu wa mazoezi, inasababisha kupozesha mpira katika mashindano ya kimataifa, ambayo Watanzania wengi wanajitokeza kuwashangilia.
Chacha anasema, anashukuru elimu kubwa aliyoipata kutoka kwa Kocha Abdallah Kibadeni &#8216;King Mputa', ambaye mara nyingi alimpa mawazo mengi, ambayo yalimsaidia katika kucheza soka.
Anaeleza, katika safari yake ya soka, alipata elimu kutoka kwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera, ambaye aliwafundisha wakiwa katika timu ya Shekilango huku Bendera akiishi katika ghorofa za Shekilango.
Pamoja na kupata elimu kutoka kwa makocha ambao wazoefu, lakini alitatizwa na suala la uvumilivu wa kukaa katika timu moja zaidi ya miaka minne.
Ananasema, alianza kusakata soka mwaka 1986-87 alipoajiriwa katika kiwanda cha Alminium Africa kilichopo Temeke, ambako alicheza msimu mmoja na kukutana na kocha Kibadeni katika timu ya Future, iliyokuwa na maskani yake Urafiki jijini Dar es Salaam.
Akiwa Alminium, alikutana na wachezaji wengi ambao baadhi yao walicheza Ligi daraja la kwanza (sasa hivi Ligi Kuu Tanzania bara), mmojawapo akiwa ni kiungo Suleimani Ally aliyewahi kucheza Yanga miaka ya 1987-88.
Hakudumu sana Alminium, akarejea timu iliyoko karibu na nyumbani kwao Shekilango ya Future, iliyokuwa na vijana wengi ambao walikuja kuwa tishio katika medani ya soka la Tanzania.
Alipokuwa Future, timu hiyo ilikuwa chini ya Kibadeni kipindi hicho, ambako alikuwa ni mfanyakazi wa kiwanda cha nguo cha Urafiki akiwa ametokea masomoni nchini Ujerumani kwenye kozi ya ukocha.
Kutokana na umahiri wake uwanjani, Kibadeni alimpeleka kiwanda cha Urafiki na kupata kazi kitengo cha ufundi wa magari, akiwa pia ni mchezaji.
Akiwa Urafiki, alifundishwa pia na Salum Madadi ambaye ni Ofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), na kukutana na wachezaji wengine kama Wema Juma, Kenny Mwabulambo, Habibu Kondo, Muhesa Kihwelu, Jumanne Ucheche ambaye baadaye walihamia Lipuli ya Iringa na John Ngunde ambaye sasa hivi ni mmojawapo ya Maofisa Watendaji wa Mitaa jijini Dar es Salaam.
Timu hiyo ilikuwa mojawapo ya timu ngumu katika ligi ya soka Mkoa wa Dar es Salaam, lakini iliishia ligi ya Kanda ya Dar es Salaam.
Kutokana na umahiri wa ufundishaji, Kibadeni alichukuliwa na Chama cha Soka Tanzania (FAT), sasa TFF kuifundisha timu ya Taifa ya Tanzania &#8216;Taifa Stars', hapo Chacha akahamia Nyota Nyekundu yenye maskani yake Kariakoo Mtaa wa Congo jijini na kukutana na Faustine Kibingwa, Rosta Ndunguru, Ayoub Mzee na John Bosco, ambako aliendelea kupata uzoefu mkubwa, kwa sababu mara kadhaa timu hiyo ilicheza mechi za kirafiki na Taifa Stars.
Mara nyingi, Kibadeni alimweleza Chacha kwamba, kwa jinsi anavyocheza soka, atafika mbali zaidi ya Tanzania, ila kikubwa zaidi ni kuzingatia miiko ya mchezo huo na kuwa na uvumilivu.
Mwaka 1989, alichukuliwa na timu ya kiwanda cha Twiga Cement kilichopo Wazo Hill jijini Dar es Salaam, kutokana na umahiri akiwa uwanjani, akapewa ajira kiwandani hapo na kukutana na ofisa wa TFF hivi sasa, Idd Mshangama akiwa kocha.
Mwaka 1991, alihamia Lipuli ya Iringa baada ya kuonekana katika mashindano ya ligi daraja la pili ambako alikutana na akina Peter Lugenzi, Willy Komakoma, David Kika, Elisha John, Nurdin Gogola na Hassan Mwajeki.
Kipindi hicho kikosi cha Lipuli kilikuwa chini ya kocha Mzambia, Donald Phiri ambaye aliwahi kuwa mchezaji wa timu ya Taifa ya Zambia na Pascal Bella, ambako alikutana na viwango zaidi, kwa sababu alipata nafasi ya kucheza na timu kama Simba, Yanga, Coastal Union, African Sports na Milambo ya Tabora.
Pamoja na timu yao kuwa bora katika ligi daraja la kwanza, lakini anaikumbuka mechi waliyofungwa mabao 5-0 na Pamba ya Mwanza, ambayo ilikuwa na wachezaji mahiri kama Kitwana Seleman, Nteze John Lungu, Madata Lubigisa na wengineo.
Anasema, cha kushangaza baada ya mchezo huo uliochezwa jijini Mwanza, tajiri wa machimbo ya Mgusu aliialika timu hiyo kwa gharama zake kucheza na timu yake ya mgodini.
Katika mchezo huo, alikutana na mshambuliaji mahiri wa timu hiyo, Eliud Ngessa ambaye alicheza naye utafikiri wanawania nafasi ya kufuzu kombe la dunia, hadi mwamuzi wa mchezo aliwatoa nje kwa kadi nyekundu.
Anaongeza kuwa, cha kushangaza zaidi baada ya kutolewa wachezaji hao, mpira ulipooza sana, hali ambayo ilisababisha mwamuzi huyo kuwaita na kuwaamuru warejee kwa mara nyingine uwanjani, hali ambayo hakuelewa refa huyo alitumia sheria ipi, kwani mchezaji akitolewa nje kwa kadi nyekundu haruhusiwi kurejea uwanjani mara nyingine.
Kwa kuwa tamaa yake ilikuwa ni kucheza nje ya mipaka ya Tanzania, akatoka Lipuli na kurejea Dar es Salaam msimu wa 1992-95, ambako baadhi ya viongozi wa timu ya Konde ya Pemba, wakamtaka akachezee timu yao katika ligi kuu kisiwani humo.
Akiwa na wachezaji wenzake sita kutoka Dar es Salaam, Abdul Ramadhani &#8216;Mashine', Mohamed Mwape, Abdallah Mohamed, Omar Mbweza na Ramadhani Abdallah, baadaye timu hiyo ilifuzu kucheza ligi ya Muungano katika mashindano ya kila mwaka.
Wakati akiwa katika hatua za mwisho za mkataba wake, timu za Jamhuri na Kipanga ambazo zote ni za Jeshi la Wananchi zilimuhitaji, alikataa na kurejea Dar es Salaam, ambako alikutana na Kibadeni kwa mara nyingine, ambaye alimwelekeza kwamba, kutokana na umahiri alionao katika soka, asubiri kidogo atamtafutia timu.
Kwa kuwa hakuwa na uvumilivu, alielekea Kenya na kufanya majaribio timu za AFC Leopards, Kenya Breweries na Mumias Sugar ambako ndipo alipofanikiwa timu hiyo iliyokuwa ikifundishwa na kocha Dennis Munyendo na kukutana na nyota kama akina Mark Serengo na Nika Hammer.
Mwaka 1996-98 akajiunga na Posta ya Kakamega nchini humo, ambako akiwa katika timu hiyo, alipata hisia ya kumrejea Mungu kwa kenda chuoni kupata elimu ya dini katika chuo cha Mtakatifu Makarios cha Kenya na kufanikiwa kupata cheti cha uchungaji.
Anasema, kipaji chake katika soka, alikirithi kutokea kwa babu yake, aliyekuwa akiitwa John Alyango, ambaye aliwahi kucheza Kombe la Gossage.
John Chacha, ni mtoto wa pili kuzaliwa kati ya 12 wa marehemu Mzee Ondolo John Chacha, ambaye alikuwa ni mojawapo ya wadau mahiri wa muziki na sanaa hapa nchini, ambaye aliweka mikakati ya kukuza na kuendeleza sekta hiyo kwa kujenga kituo kikuu nyumbani kwake Shekilango jijini Dar es Salaam.
John aliyezaliwa miaka 45 iliyopita, hivi sasa ana mke na watoto wanne na ni mchungaji wa kanisa la Full Categro lililopo katika kituo cha Sanaa Shekilango jijini Dar es Salaam.
Anasema, mipangilio iliyopo kwa sasa ni kukuza na kuendeleza sanaa sambamba na michezo mignine kama soka na kuwa kituo cha kusaka vipaji na kuviendeleza kimataifa.
Anatoa wito kwa TFF, kufanya mabadiliko makubwa ya Kamati ya Ufundi, ambayo inaonekana kuelemewa na mzigo, kutokana na kwamba, hivi sasa Tanzania hakuna timu inayoeleweka ya Taifa.
Anapendekeza, Kamati hiyo inaweza kuongozwa na Watanzania kama Kibadeni, Adolf Rishard na Charles Boniface Mkwasa, ambao wana elimu ya kutosha ya kuifanya kazi hiyo.
Anatoa wito pia kwa mawakala, kuwaandaa wachezaji kisaikolojia ili wawe mfano bora katika timu za nje na kuwataka pia wachezaji wa sasa, kuacha uvivu na kumuiga Mohamed Ngulungu ambaye alicheza timu ya Taifa miaka 10 bila ya kupoteza uwezo wake.
 
Serikali inapouma na kupuliza


Mwandishi wetu​

SOTE twafahamu kuwa ili tufanikiwe kupiga hatua kama wenzetu walioendelea katika soka, tunapaswa kuacha porojo na siasa, badala yake tunatakiwa tutumie muda na fedha nyingi, kuwekeza katika soka la vijana.
Ni bahati mbaya sana kwamba katika nchi yetu michezo kwa ujumla wake haiangaliwi kama ni kitu kinachoweza kuinufaishanchi yetu, badala yake michezo imekuwa ikitumiwa kuwanufaisha wanasiasa pale inapohitajika, mfano katika kampeni za kuwania uongozi nk.
Inasikitisha kwamba kila Waziri anayepewa dhamana ya kuongoza sekta ya michezo nchini, hajishughulishi kuona kwamba, atawezaje kuitumia Wizara yake kupunguza tatizo la ajira kwa kufanikisha au kuwaandalia mazingira ya ajira, vijana hao kulingana na vipaji vyao vya michezo.
Sitaki kuwazungumzia wanariadha wa Kenya, ambao mchezo huo leo umewafanya wengi wao wageuke kuwa wafanyabiashara wa kati, wanaomiliki biashara zenye tija kwa taifa lao, wengi wakiwa wamejenga hoteli za kitalii, shule na biashara nyingine, pamoja na kuanzisha miradi mingine mingi ya kijamii.
Biashara hizi na miradi yao sio tu kwamba inawaingizia wao pato la uhakika la kuyaendesha maisha yao ya kila siku lakini ni ukweli kuwa imeisaidia serikali yao kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira kwani wamewaajiri mamia kwa maelfu ya vijana wa nchi hiyo.
Ukiachana na hao wanariadha wa Kenya, ambao baadhi yao serikali yao ilitia mkono kuwaibua, lakini tuangalie hata hapa kwetu, mfano mzuri ni mwanariadha aliyeiingiza Tanzania katika ramani ya riadha duniani, Filbert Bayi, ambaye kwa sasa mbali ya kufungua taasisi kadhaa, lakini ameanzisha shule za kuanzia chekechea hadi sekondari, ambazo ziko Dar es Salaam na Kibaha mkoani Pwani.
Iwapo Bayi aliyewika katika miaka ya sabini, ameweza kuajiri, walimu, madereva, wapishi, wafagizi nk. ingekuwaje iwapo tungekuwa na akina Bayi 1,000 hapa nchini, hivi serikali yetu ingeendelea kukumbwa na kilio hiki cha ukosefu wa ajira kwa vijana kwa kiwango hiki cha sasa?.
Iwapo Filbert Bayi peke yake ameweza kuwaajiri vijana wastani kama 100 labda au pengine zaidi, je serikali ingesaidia kupatikana wanariadha 500 wa aina yake au wanakaribiana naye, leo hii wangekuwa wamesaidia kwa kiasi gani kupunguza tatizo la ajira kwa vijana wetu?.
Ikimbukwe kuwa kila mtu mmoja anayeajiriwa naye anakuwa na uwezo wa kuwaajiri watu wasiopungua wawili kwa mfano dereva anaweza kuajiri mfanyakazi wa ndani na pengine mfanyakazi wa bustani nka wengine hata kusimamia miradi yao midogomidogo kama ile ya kuku, ng'ombe, genge, deka nk.
Kauli iliyotolewa juzi na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Emmanuel Nchimbi, wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kwenye ukumbi wa NSSF Water Front jijini Dar es Salaam, ni kama ule ujanja wa Panya wa kuuma na kupuliza.
Nakubaliana na Nchimbi kwa kuwakemea na kuwaasa waamuzi wa soka wachezeshe kwa kufuata kanuni na sheria, pia ninakubaliana naye, anapowakemea viongozi wa soka, waache kukumbatia ushirikina katika soka.
Lakini ninatofautiana naye anapotaka wachezaji wa Tanzania, waige mifano ya wenzao wa kimataifa kama kina Lionel Messi na Didier Drogba, ni hapo ninapomuona Nchimbi na serikali kwa ujumla kuwa, wanauma na kupuliza.
Messi na Drogba wameandaliwa, mfano Messi alitwaliwa na Barcelona akiwa kinda amehudumiwa kwanza akipatiwa matibabu ya matatizo aliyokuwa nayo ya kushindwa kukua vizuri, kisha baada ya matibabu hayo akaanza kuandaliwa katika soka kutokana na viongozi wa Barcelona kumuona ana kipaji cha soka.
Sasa Waziri Nchimbi anajua uwezo wa timu zetu kwamba hazina uwezo wa kuvikuza vipaji hata kama wataviona na hii ni kutokana na ukweli kuwa hawana uwezo wa kifedha wa kuwawezesha kulifanya hilo, pamoja na mipango yakinifu, lakini pia ninajiuliza pasipo kupata majibu, hivi serikali yetu imefanya nini katika kuwasaidia hao vijana wenye vipaji?.
Hivi Nchimbi haoni kwamba, alikuwa na wajibu wa kusaka ufumbuzi wa namna ya kuvivumbua vipaji na kuviendeleza, hata kama ni kwa kumega fungu katika bajeti ya Wizara yake, ili kuanzisha shule za soka na hata michezo mingine kwa ajili ya watoto wenye vipaji, ambao baadaye hao ndio watakaokuja kuipunguzia serikali tatizo la ajira.
Kila mmoja wetu ni shahidi kuwa robo tatu ya vijana wa Kitanzania wana vipaji vya soka, lakini hatuvioni kutamba kimataifa kwa sababu tu hawajaendelezwa kisoka, wanacheza katika viwanja vibovu, hawana vifaa bora ambavyo vingewafanya waonyeshe vipaji vyao halisi kama wanavyofanya akina Lionel Messi leo, je nani tumuulize kama sio Nchimbi na serikali?.
Nchimbi anauona ushirikina kuwa ni jambo baya linalokwaza maendeleo ya soka, hiyo ni kweli, lakini napenda kumwambia kuwa watu hawa wanaoshindwa kuachana na imani za kishirikina wanahangaika kutafuta mbinu mbadala, baada ya mafanikio yatokanayo na fedha kukosekana.
Hawana fedha za kufanya maandalizi ya uhakika na wao wanautaka ushindi kumbe unadhani watafanya nini kama sio kutaka kubahatisha huko kwenyeushirikina, ila naamini wangekuwa na fedha wangeziandaa timu zao vema, ambapo zingepata ushindi au kufanya vema katika ushiriki wao.
Waziri Nchimbi, anapaswa kuacha kuuma na kupuliza, afanye maamuzi magumu, ambayo yatakuwa ni kwa maendeleo ya soka letu, serikali isiendelee kulikwepa hili, bali ifike uamuzi wa kuwekeza katika soka ambalo linapendwa na karibu Watanzania wote, faida yake tutaiona baadaye, tusiangalie faida ya muda mfupi.
 
BFT acheni kulalamika, Polisi Jamii ndio mkombozi wenu


Mwandishi wetu​

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga kama ilivyo ada, ili kupeana changamoto za kimichezo lengo likiwa ni kuleta ufanisi katika sekta hii muhimu.
Bila shaka mu wazima wa afya njema na mnaendelea na majukumu mbalimbali ya ujenzi wa taifa, ila kwa wale hali zao si shwari tunawaombea nafuu.
Kabla hatujakumbushana kile kilichojiri Uwanjani wiki iliyopita, sina budi kuipongeza timu yetu ya taifa ya soka &#8216;Taifa Stars' kwa kuwapa Watanzania raha Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, baada ya kuwalaza Afrika ya Kati kwa mabao 2-1 na kufufua matumaini ya kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika huko Ikweta Guinea na Gabon mwakani.
Kwa faida ya wale ambao hatukuwa pamoja wiki iliyopita, tulijadili mustakabali wa maendeleo katika sekta ya michezo kwa ujumla, hasa kutokana na mwanzo alioanza nao waziri mpya aliyepewa dhamana ya michezo hivi karibuni, Dk. Emmanuel Nchimbi.
Katika mada hiyo nilijikuta nikitamka, &#8216;Naiona neema ya mabadiliko katika michezo'.
Ilifika mahali kutamka hayo, kutokana na jinsi Waziri Nchimbi alivyojipambanua utendaji wake kwa viongozi wa vyama mbalimbali vya michezo, ambako hakika kama watakuwa wabunifu na kujituma, huku wakimtumia Waziri huyo hakika mabadiliko katika michezo yao yataonekana tofauti na hali ilivyo hivi sasa.
Baada ya dondoo hizo kwa ufupi, turejee katika mada yetu ya leo, ambako tutauzungumzia uongozi wa mchezo wa ngumi za ridhaa hapa nchini, mchezo ambao ni kati ya michache iliyoweza kuitangaza vema Tanzania katika medani ya kimataifa.
Kwa miaka takribani minne sasa, mchezo wa ngumi za ridhaa ulipoteza ladha yake na imani mbele ya umma wa Watanzania na hata kimataifa, baada ya shirikisho la mchezo huo hapa nchini (BFT), kukumbwa na kashfa ya kujihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya nje ya nchi.
Ilikuwa ni mwaka 2006 mwishoni, ambako uongozi wa BFT wakati huo ulipojikita zaidi katika safari nyingi za nje ya nchi, jambo ambalo lilianza kutiliwa hofu na wadau mbalimbali kuhusiana na hadhi ya mashindano hayo wanayoyapigia chapuo nje ya nchi.
Safari hizo, zilizidi kushamiri, lakini dakika ya mwisho, timu ya taifa iliyokuwa imekwenda kushiriki mashindano ya pili ya Afrika huko Mauritius, ilikumbwa na dhahama baada ya kukamatwa wakituhumiwa kuingiza dawa za kulevya nchini humo.
Kocha, mabondia wawili na baadhi ya watu wengine waliojitambulisha kuwa ni viongozi wa timu hiyo, walikamatwa na wanaendelea kushikiliwa nchini humo.
Tukio hilo lilisababisha pia BFT kufutiwa uanachama na shirikisho la kimataifa (AIBA), kutokana na sakata hilo, hadi hapo serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), na Kamati ya Olimpiki (TOC), kufanya jitihada za kuhakikisha wadau wa mchezo wanajipanga upya na kufanya uchaguzi upya, ambao hatma yake ni Tanzania kurejeshewa uanachama wake.
Juhudi hizo zilizaa matunda baada ya uongozi uliokuwa umekumbwa na kashfa hiyo kuamua kujiuzulu na kupisha uchaguzi mpya, ambako uliuweka madarakani uongozi wa Rais Joan Minja na Katibu Mkuu Makore Mashaga.
Lakini kutokana na makovu ya kashfa hiyo ya dawa za kulevya, madhara yake yamekuwa ni makubwa kiasi kwamba, hivi sasa wadau wengi bado hawana imani na mchezo huo, jambo linalofanya harakati za kuleta maendeleo katika ngumi za ridhaa kuwa ngumu.
Kutokana na hali hiyo, hivi karibuni uongozi wa BFT wakati ukitangaza timu yake mpya ya taifa, katika taarifa yake ulitoa manung'uniko lukuki kuwa, haupewi sapoti na wadau hivyo kuandamwa na ukata.
Katika taarifa hiyo ambayo ilitolewa na katibu wake Makore Mashaga, walifika mbali na kudai kuwa, kudorora kwa ngumi kunachangiwa na sera za kampuni au taasisi ambazo zimeelekeza udhamini wao katika baadhi ya michezo hasa soka na urembo.
Mashaga alizidi kusisitiza kuwa, kuendelea kwa misimamo ya kampuni hizo kuchagua michezo ya kuipa udhamini kwa vigezo vya sera, BFT maandalizi yake yatakuwa magumu na kuendelea kuwa watalii katika medani ya kimataifa.
Lakini katika hili napenda kupingana na BFT na kuwalaumu wao wenyewe kwa kuweka mbele malalamiko zaidi, badala ya kujiangalia wapi walipojikwaa badala ya kukomalia pale walipoangukia.
BFT ijiulize, wadau kadha wa kadha ambao wamewahi kufanya nao kazi enzi za TABA, wako wapi.
Ni kweli sera za baadhi ya taasisi au kampuni zinaweza kuwa haziendani na mchezo wa masumbwi, lakini pia zipo nyingi zinaendana na mchezo huo, hapo ni BFT kujiuliza wenyewe kwanini hali hiyo imekuwa hivyo.
Nakumbuka muda mfupi kabla ya BFT kukumbwa na kashfa hiyo, wadau lukuki kama Easy Finance, CXC Tours, Sea Cleaf Hotel na wengineo walikuwa wamemiminika kudhamini kwenye ngumi, sijui kama uongozi wa sasa umejiuliza wako wapi hawa au kwanini saa hizi wanayakimbia masumbwi.
Ukweli ni kwamba, BFT walijichafua mbele ya wadau na haya ndio makovu yake, ambako kuyafuta ni kujipanga upya kwa kujisafisha ili kurejesha imani ya wadau, ambao tayari wengi wao walikwishawaona si salama.
Kuendelea kuwalalamikia wadau sio jawabu, sana sana mnaweza kuzidisha mgawanyiko baina yenu na wadau hao.
Kati ya mambo ambayo naweza kusema mnapaswa kuyasimamia hivi sasa na kuwa nguzo kubwa ya kuusafisha mchezo wa ngumi dhana ya kutoaminika, ni pale mlipobuni kuingiza sera ya Polisi Jamii katika mchezo huo.
Hakika ni uamuzi sahihi kuusimamia hivi sasa kwa vitendo na hakika mkifanya hivyo, matokeo yake mtayaona badala ya kubaki kumwaga lawama kwa wadau.
Uongozi wa BFT, hebu anzeni kwa kasi kubwa kufanikisha Polisi Jamii ndani ya shirikisho leni na hiyo ndio dawa pekee ya kuwarejeshea heshima yenu iliyopotezwa na baadhi yenu.
Tambueni, wako watu wengi wasio waaminifu na wasio na uzalendo na taifa lao ambao hujikita katika michezo mbalimbali kwa maslahi yao binafsi ikiwamo biashara hizo haramu za dawa za kulevya na hata usafirishaji watu nje ya nchi kinyemela &#8216;Human Trafficking', hivyo mpango wa Polisi Jamii ukiwa kwa vitendo, hakika uhalifu huu na mwingineo katika michezo utakoma kama si kwisha kabisa.
Wito kwa BFT, lawama hazitawasaidia, bali mpango huo wa Polisi Jamii ndio mkombozi wenu na katika michezo mingine pia.
 

TP Mazembe wanafungika, ni mikakati tu


Kenny Mwaisabula​

NI Jumatatu nyingine tulivu, ambayo imetuachia simulizi ya aina yake ya mechi yetu ya kimataifa ya Jumamosi, kati ya Taifa Stars na Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kinyang'anyiro cha kuwania kufuzu kwa Fainalia za Mataifa ya Afrika.
Mashindano haya, kwa mara ya mwisho tulishiriki mwaka 1980, takriban miaka 31 iliyopita katika fainali zilizofanyika Lagos, Nigeria.
Kabla ya kuanza yote, ni vema kuungana na familia na wapenzi wote wa muziki wa taarabu, kwa janga kubwa la kitaifa tulilolipata, kwa kuondokewa na wanamuziki wa kundi la Five Stars Modern katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Mikumi usiku wa Machi 21 na kupoteza watu 13, akiwepo kijana aliyekuwa anachipukia katika tasnia hiyo, Issa Ally &#8216;Kijoti'. Mungu awalaze mahali pema peponi wapendwa wetu, amin.
Wiki iliyopita, niliahidi ningewaletea makala ya mtanange uliopigwa wa Simba na Yanga Veterani jinsi ulivyokuwa na namna wakongwe wale walivyoonyesha pambano safi la kusisimua na kuwaacha wapenzi wengi vinywa wazi.
Mwisho wa yote, pambano lile liliisha kwa Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0 lilofungwa kiufundi mkubwa na Shekhan Rashid na kumwacha hoi kipa mahiri Peter Manyika akigaragara bila mafanikio.
Na kwa utamu wa soka lile la wakongwe, leo wamepata mialiko katika mikoa ya Dodoma, Ruvuma na Tabora, ili wapenzi wakumbuke enzi zao.
Nikadhani ni vema wiki hii, niiache hiyo ya Maveterani, nijikite katika kitu ambacho kama taifa, tunakisubiri kwa hamu kutoka kwa wawakilishi wetu waliobaki katika michuano ya kimataifa, Simba Sports Club, vijana wa Mtaa wa Msimbazi na mtihani wa kuvuka kikwazo cha TP Mazembe.
Mechi ya awali, kati ya Simba na TP Mazembe iliyochezwa mjini Lubumbashi wiki moja iliyopita, tulishuhudia wawakilishi wetu wakilala kwa mabao 3-1, katika pambano safi na la kusisimua, ambalo wapenzi wengi hatukuamini matokeo hayo kwa jinsi tulivyoipa daraja kubwa sana TP Mazembe, kumbe wapi! Tukijipanga vizuri, tunao uwezo wa kuwatoa katika mashindano.
Nasema hatukuamini kwa kuwa waandishi wa hapa nyumbani na wapenzi wa kandanda kwa jumla tuliwaona wale kama &#8216;kabati na Simba ni kama mende'; tukaangalia historia ya TP Mazembe kuwa washindi wa pili wa Klabu Bingwa ya Dunia, wakifungwa fainali na Inter Milan ya Italia.
Pia mechi za hivi karibuni ikiwamo kumpiga Sofapaka mabao 9-0, kuweka kambi nchini Ufaransa, tukajua Simba itapigwa nane.
Mbali ya hayo yote, tukaambiwa kocha wao akijinasibu kuwa endapo atawafunga Simba mabao matatu basi atajiuzulu, kwa maana ni timu aliyoidharau, lakini juzi ndani ya Lubumbashi, Simba imefungwa bao tatu, lakini lile moja la Emmanuel Okwi, ni mwiba mbaya sana kwa hao Mazembe, mabingwa mara mbili mfululizo wa taji hilo la Afrika.
Katika suala la soka, lolote linawezekana na kwa kuzingatia, Simba itakuwa nyumbani ikishangiliwa na kundi kubwa la mashabiki wao, najua ari ya wachezaji itakuwa juu na kwa maana hiyo, ushindi utapatikana na tunahitaji mabao mawili tu, ili tuweze kusonga mbele katika mashindano hayo makubwa kabisa barani Afrika.
Muhimu sasa kwa upande wa Simba, ni kujipanga kiufundi zaidi, katika kuipa timu mazoezi ya kutosha, mechi za majaribio na mara nyingi kufuatilia mikanda ya wapinzani wetu hao, ambao wenyewe utamu wa ubingwa huo wanaujua, sisi ndo tunautaka, nadhani hapo kazi ipo.
Niliifuatilia ile mechi kwa karibu mno na kesho yake nikaiona tena, ni kweli Mazembe wazuri na ndio maana mabingwa mara mbili mfululizo, lakini nadhani na sina shaka wanafungika, tena bila wasiwasi, kimsingi ni kujipanga na kuwa na mshikamano mkubwa kwa mashabiki wote, hasa tukizingatia Simba ndiyo mwakilishi pekee aliyebaki katika nchi yetu.
TP Mazembe ni wazuri sana katika matumizi ya nguvu, wanapiga mashuti makali, wanatumia sana mipira ya krosi katika kufunga mabao, lakini si wazuri katika eneo lao la kiungo kuliko Simba, ni wepesi katika kutoa maamuzi na hasa katika &#8216;set play', ni wazuri katika ukabaji na wana kipa mzuri na kibaya zaidi, wanajua utamu wa ushindi.
Lakini kilicho kizuri ni kwamba, tunatambua uzuri na ubaya wao, hivyo ni jukumu la benchi la ufundi linaloongozwa na Patrick Phiri, kuhakikisha anawapa vijana wake majukumu ya kutosha, kuwadhibiti hao vijana kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), yaani TP Mazembe.
Kwa kuwa Mazembe watakuja kulinda ushindi wao, ni vema na sisi tusiwe na papara katika kutafuta bao la mapema, tusije tukajikuta tuna ile hadithi ya kumfukuza mwizi huku mlango umeacha wazi, ufanyike ukabaji mzuri kwa asilimia 100 na wakati huo huo, tukitafuta bao kwa mbinu kubwa mno za utulivu.
Ni lazima Simba isiruhusu makosa yoyote ndani ya eneo la hatari na hasa dakika za mwanzo mwanzo, ambazo naamini kama watapata bao, watatuweka katika mashaka mno kama sio kutukatisha tamaa kabisa, mabao waliyofungwa Simba kule Lubumbashi ni ya kawaida mno na wala sio ya ufundi mkubwa wa kuifanya isihimili vishindo, naamini hakuna kisichowezekana katika hii dunia ya maanani, Simba inaweza kuitoa Mazembe kama ilivyoitoa Zamalek 2003.
Katika moja ya makala zangu, nilimshauri Phiri kwa aina ya wachezaji alionao, aachane na mfumo wa 4-3-3 na autumie zaidi mfumo wa 3-5-2, zaidi ya hapo Watanzania watampa lawama kila siku Juma Kaseja, mfumo huo angeutumia kama ingekuwa namba nne na tano, wanacheza watu kama Victor Costa na Boniface Pawasa, hapo safi, namba sita wao anakuwa Suleman Matola. Matola ruksa kupanda juu, Pawasa na Costa au Amri Saidi, walikuwa na uwezo mkubwa wa kukaba &#8216;One-on-One' tofauti na sasa ilivyo kwa Kelvin Yindani na Juma Nyoso.
Lakini bado Kocha Patrick Phiri, anawatumia Juma Nyoso na Kelvin Yondan kama walinzi wa mwisho, wakiwa hawana kinga nyuma yao ni hatari kweli kweli na mwisho wa siku, tunasema kipa hafai.
Mi' nadhani Nyoso na Kelvin ni wazuri, lakini watakuwa wazuri sana, kama watakuwa na mtu wa mwisho nyuma yao, sitegemei kuona makosa mengi ambayo yanaweza kutugharimu kiasi kikubwa.
Lakini yote kwa yote, hata iweje mwisho kabisa ni jukumu la wachezaji wenyewe, kupigana hadi tone la mwisho kuhakikisha wanawapa furaha Watanzania, kwa kushinda na kuwatoa mashindanoni hao mabingwa watetezi. Naamini TP Mazembe wanafungika tu na uwezo wa kuwatoa ni mkubwa mno tu.



Mwandishi wa makala anapatikana 0652875794 au Email kennymwaisabula@yahoo.com
 
Mosha arejea tena Yanga


*Atamba kuipa ubingwa wa Bara

Na Addolph Bruno

WANACHAMA wa Yanga jana wamekwenda nyumbani kwa Makamu wa klabu hiyo aliyejiuzu hivi karibuni, Davis Mosha kushinikiza
arudi madarakani kwa kuwa wao ndiyo waliomuweka madarakani na bado wanamtambua kikatiba.

Mosha alijuzulu wadhifa huo kwa madai ya kudhalilishwa na baadhi ya wanachama ambao walidai kuihujumu timu hiyo katika baadhi ya mechi za Ligi Kuu Bara.

Katika harakati hizo za kumrudisha Mosha madarakani zilifanywa na wanachama wa matawi 11 ya klabu hiyo, ambao walikwenda nyumbani kwake Mikochezni, Dar es Salaam ambaye waliondoka naye hadi makao makuu ya klabu hiyo katika mitaa ya Twiga na Jangwani.

Wanachama waliofika nyumbani kwa Mosha ni kutoka katika matawi ya Yetu Afrika la Kinondoni Hananasifu, Magomeni Makuti, Mtambani la Vingunguti, Kariakoo, Tandale sokoni na Msisiri.

Walidai kuwa sababu iliyowafanya wafikie hatua hiyo ni kwa kuwa bado wanamhitaji Mosha, kuendelea kuiongoza Yanga na wao bado wanatambua kuwa ni kiongozi wao kikatiba kutokana na Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, kusahindwa kutoa tamko juu ya barua ambayo Mosha aliwaandikia.

"Tunashukuru kukukuta ukiwa katika afya njema, sisi ni wanachama wa matawi mbalimbali wa Klabu ya Yanga wenye mapenzi ya dhati na Yanga, tumekuja hapa kukuomba tuondoke kwenda katika klabu yetu," alisema mmoja wa wanachama hao aliyejitambulisha kwa jina la Mjaid Omari wa tawi la Furaha ya Yanga.

Alisema wanakubaliana na sababu za msingi ambazo Mosha, alizieleza katika barua yake ya kujihudhulu na kuongeza kuwa tatizo linaloendeleza migogoro ndani ya klabu hiyo linasababishwa na mmoja wa viongozi ambaye anakiuka katiba ya klabu na kwamba wanashangazwa na viongozi wengi kujiudhulu katika uongozi huu.

"Mpaka sasa tumewapoteza viongozi makini wengi sana na umefika wakati tujiulize, Kocha wetu Papic (Kostadine), Katibu Lawrence Mwalusako, Meneja Emanuel Mpangala, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji na leo Makamu? nasema tatizo lipo lazima tukae tulijadili," alisema mmoja wa wanachama tawi la Uhuru aliyetambulika kwa jina la Said.

Hata hivyo Mosha aliwaambia wanachama hao asingeweza kukubaliana nao mara moja na kuwataka wampe muda wa siku mbili, akae na kupata ushauri kutoka katika familia yake lakini wanachama hao walipingana naye na kumwambia wangeweza kulala hapo kwa muda wa siku hizo huku wakipiga kelele.

Kutokana na msimamo wa wanachama hao, Mosha alikubali kuzungumza na familia yake na hatimaye kukubali kwenda katika klabu hiyo, ambako alizungumza na wanachama hao pamoja na wazee waliotumia muda mwingi kumshinikiza na yeye kuwahakikishia amekubali kuendelea na wadhifa huo kwa sharti la kuwataka wanachama kuendeleza umoja na mshikamano katika matawi yao.

"Mimi naipenda sana Yanga ndiyo maana natumia gharama kubwa katika kuhakikisha tunafanya vizuri, nilipoingia madarakani niliwaahidi nitamfunga mnyama (Simba) na nimefanya hivyo mechi mbili na kutoka sare moja, ila kuna watu wachache wananisumbua na kwa sababu mimi naipenda Yanga nikaona nikae pembeni," alisema Mosha.

Alisema atatumia nafasi hiyo kuhakikisha anaipatia ubingwa timu yake kwa kushinda mechi tatu zilizosalia ambazo ni dhidi ya Azam FC, unaotarajiwa kuchezwa Alhamisi katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kwa kuwa yeye ana uwezo wa kuwa na mipango.



0 Maoni:



Post a Comment
 
David Villa ainusuru Hispania kufungwa


GRENADA, Czech

MSHAMBULIAJI David Villa, juzi aliinusuru timu yake ya Hispania kufungwa na pia kujiwekea rekodi ya kufunga mgoli mengine katika kampeni ya kuwania kufuzu
Euro 2012, kwenye mechi dhidi ya Czech iliyochezwa mjini Granada.

Shuti la mbali la Jaroslav Plasil, liliipatia timu ngeni bao la kuongoza katika dakika ya 30 kwenye mechi hiyo ya Kundi I.

Kipindi cha pili Villa alimiliki mpira kisha kumfunga kipa wa Chelsea, Petr Cech kwa shuti la chini na baadaye alikuja kufunga bao jingine kwa penelti.

Katika mechi zake 72 alizochezea timu ya taifa ya Hispania, Villa amefunga mabao 46 ikiwa ni mawili zaidi ya Raul.

Mchezaji huyo wa zamani Real Madrid ametumia dakika 102 kufunga mabao 44 katika timu yaHispania lakini, Villa amefunga mabao 46 katika mechi 72.

Ushindi huo wa Hispania ambao umefanya kufikisha pointi 12 katika mechi nne, umeifanya Hispania kuwa na rekodi ya ushindi kwa asilimia 100 kama ilivyo Uhoalanzi ambayo nayo ilishinda mabao 4-0 dhidi ya Hungary ukiwa ni ushindi wao wa tano katika kampeni ya kuwania kufuzu Euro 2012 Kundi E.

Rafael van der Vaart, ndiye alianza kuwafungia bao Uholanzi dakika ya nane ambao ni washindi wa pili katika fainali za Kombe la Dunia 2010 kisha,Ibrahim Afellay aliongeza bao la pili kabla ya mapumziko.

Dirk Kuyt alivunja mtego wa kuotea wa Hungary na kufunga goli na kufanya matokeo kuwa 3-0, huku Robin van Persie akifunga karamu ya magoli dakika ya 62 kwa kufunga bao la nne.

Italia imechukua uongozi katika Kundi C, baada ya kuilaza Slovenia bao 1-0 katika mechi iliyopigwa mjini Ljubljana, bao lake pekee liliwekwa kimiani na Thiago Motta dakika ya 73.

Patrice Evra alirejea katika kikosi cha Ufaransa, baada ya kufungiwa mechi tano na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika Uwanja wa Barthel dhidi ya Luxembourg.
 
Stars ilivyofufua ndoto ya Guinea ya Ikweta, Gabon


na Mwandishi wetu


TIMU ya taifa ya soka Tanzania, Taifa Stars, juzi ilikonga nyoyo za mashabiki waliojitokeza Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, kuishuhudia timu yao ilipokuwa ikivaana na Afrika ya Kati katika mchezo wa kuwani kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika (CAN) mwakani huko Guinea ya Ikweta na Gabon.
Stars iliyokuwa na pointi moja na kukamata nafasi ya tatu kati ya timu nne za kundi, ilikuwa ikihitaji kwa udi na uvumba ushindi katika mechi hiyo ili kufufua matumaini ya kufuzu kwa fainali hizo, ambazo kwa mara ya kwanza na ya mwisho tulifuzu mwaka 1980, Lagos Nigeria.
Na kweli, ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Afrika ya Kati katika mechi ya juzi, kulifufua matumaini ya mashabiki wengi wa soka ambao mioyo yao tayari ilikwishaanza kuiweka pembeni timu yao kutokana na mwenendo wake katika kinyang'anyiro hicho.
Katika mechi hiyo, Stars ilitaka kuwakatisha tamaa mashabiki wake, baada ya kuruhusu bao la mapema dakika ya pili ya mchezo huo baada ya kukubali bao lililowekwa wavuni na Salif Keita, baada ya shuti lililopanguliwa na kipa wa Stars, Shaban Kado, na kumkuta kwa mara nyingine Salif Keita aliyepiga krosi iliyokwenda moja kwa moja wavuni.
Kadiri dakika zilivyokwenda, Stars ilizidi kubadilika na kuwabana Afrika ya Kati ambao walikuwa wakitumia zaidi nguvu na pasi ndefu ndefu.
Stars iliweza kutengeneza nafasi kadhaa za kufunga kupitia kwa mshambuliaji wake Athuman Machupa na Mrisho Ngassa; na viungo Nurdin Bakari, Shabani Nditi na Henry Joseph lakini ubutu wa umaliziaji ulikuwa ni tatizo lililotawala.
Beki wa Stars Aggrey Morris, dakika ya 10 alijaribu kupiga shuti karibu na lango la Afrika ya Kati, lakini lilipaa juu ya lango, kabla ya Nurdin Bakari dakika hiyohiyo kuingia ndani ya 18 ambapo badala ya kupiga shuti, alipata kigugumizi na kurudisha pasi nyuma ambayo iliokolewa.
Machupa katika mchezo wa juzi, alifanya kazi ya ziada, lakini mfumo wa kocha Jan Poulsen uliokuwa ukimbakiza Machupa mbele peke yake, ambaye alikuwa akikabwa na mabeki mawili kutumia nguvu ya ziada kusaka mipira mara kwa mara, jambo lililokuja kumfanya kuchoka.
Dakika ya 31, Machupa alipokea pande safi la Bakari na kupiga shuti kali ambalo lilitemwa na kipa wa Afrika ya Kati na kukosa mmaliziaji.
Hadi dakika 45 za kwanza zinamalizika, Stars ilikuwa nyuma kwa bao hilo moja.
Kipindi cha pili, Stars walirejea uwanjani kwa nguvu na kufanikiwa kusawazisha dakika ya 48, mfungaji akiwa kiungo Shaban Nditi, baada ya kuanzisha mpira na kupigwa gonga kadhaa zikiwahusisha Mohamed Banka, Henry Joseph, Mrisho Ngassa na kuja kuimalizia mwenyewe nyavuni.
Dakika ya 53 Nurdin Bakari alikosa tena bao la wazi, baada ya kupokea pasi safi ya Mohamed Banka.
Kocha Jan Poulsen, alifanya mabadiliko na kumpumzisha Idrissa Rajab na kuingia Sephano Mwasika, Henry Joseph akaingia Mbwana Samatta, huku Athuman Machupa akimpisha John Boko.
Samatta mara tu baada ya kuingia, aliwakosa Afrika ya Kati baada ya kupiga kichwa kilichotoka nje mita chache, akiunganisha krosi ya Ngassa ambapo awali pia aliwakosa baada ya mpira wake alioupiga kugonga mashavu ya nyavu.
Wakati mashabiki wakianza kuamini kuwa mechi hiyo itamalizika kwa sare, dakika ya 91 katika dakika nne za nyongeza, Samatta alirekebisha makosa na kupachika bao la ushindi kwa kichwa akiunganisha mpira wa kona uliopigwa na Nurdin Bakari.
TAKWIMU CHINI YA KUMI ZA MCHEZAJI MMOJA MMOJA STARS
SHABANI KADO
Alisimama langoni, hakupata misukosuko mingi, lakini kosa lake kushindwa kujipanga langoni baada ya kupangua shuti la Salif Keita, kulimpa nafasi kiungo huyo wa Afrika ya Kati kupiga tena krosi akiwa pembeni iliyokwenda wavuni. Anahitaji kuchangamka zaidi awapo langoni, ikiwamo kusema na beki yake. Anapata 7.
SHADRACK NSAJIGWA
Nahodha huyu alicheza beki ya kulia (namba 2), alicheza kwa kujituma huku nguvu zake zikimsaidia kuwadhibiti vilivyo washambuliaji wa Afrika ya Kati, ingawaje hakuwa akifanya vema wakati mwingine ikiwamo kushindwa kipiga krosi sawia alipokuwa akipanda kusaidia mashambulizi. Anapata 8.
IDRISSA RAJAB
Mlinzi huyu anayechezea Sofapaka ya Kenya, alicheza kushoto (Namba 3), hakuonyesha kiwango kizuri na kusababisha upande wake kusakamwa mara kwa mara na washambuliaji wa Afrika ya Kati kwani hata bao lilitokea upande wake. Anapata 5.
AGGREY MORRIS
Alicheza namba nne, alijitahidi kukaba na mara chache kupanda kusaidia mashambulizi. Lakini &#8216;combination' yake na Nadir Haroub &#8216;Canavaro', haikuwa nzuri. Inatakiwa benchi la ufundi liliangalie kwa umakini eneo hilo. Anapata 7.
NADIR HAROUB
Alisimama mwisho, namba 5, alijitahidi kukaba vema lakini yale machachari yake yaliyozoeleka hayakuonekana, huenda ni kutokuwa na muunganiko mzuri na namba nne wake, Morris. Anapata 7.
NURDIN BAKARI
Alicheza katikati vema, lakini hakuwa yule Nurdin aliyezoeleka ambapo alipata nafasi nzuri kadhaa za kufunga lakini aliikosesha timu yake mabao. Anapata pointi 6.
MOHAMMED BANKA
Alijitahidi kugawa mipira vema, sambamba na kupiga faulo ikiwamo kona zilizokuwa zikileta msukosuko. Anapata pointi 8
SHABANI NDITI
Alidhibiti vema kiungo cha juu na kuwa kizingiti kwa Afrika ya Kati, huku akigawa mipira vema sambamba na kufungua vyumba, jambo lililosababisha apachike bao la kusawazisha. Anapata 7.5.
MRISHO NGASSA
Alicheza vema kwa kasi iliyozoeleka na kuwasumbua sana Afrika ya Kati ingawa hakufunga bao. Anapata pointi 9.
ATHUMANI MACHUPA
Alicheza vema na kuisumbua sana ngome ya Afrika ya Kati hasa kipindi cha kwanza na kufanikiwa kupata nafasi kadhaa za kufunga, lakini unaweza kusema bahati haikuwa yake. Anapata pointi 7.5.
HENRY JOSEPH
Nyota huyu anayekipiga Kongsvinger ya Norway alicheza vema hasa kipindi cha kwanza ambapo alionyesha kujiamini, kabla ya kipindi cha pili kuonyesha kupunguza kasi aliyoanza nayo awali. Anapata pointi 7.5.
STEPHANO MWASIKA
Aliingia kuchukua nafasi ya Idrissa Rajab ambaye hakuwa vizuri kimchezo, aliweza kudhibiti vema beki ya kushoto. Anapata pointi 7.
MBWANA SAMATTA
Kuingia kwake badala ya Henry Joseph, kulibadilisha hali ya mchezo ambapo mabeki watatu ilibidi wawe wanajipanga kumdhibiti. Licha ya kuingia kipindi cha pili alionyesha ni mchezaji mwenye uwezo wa kipekee. Ndiye aliyepachika bao la ushindi. Anapapata pointi 8.
JOHN BOKO
Aliingia kuchukua nafasi ya Machupa, ingawaje hakupata nafasi sana kuonyesha mpira katika mechi hiyo, hasa kutokana na kutokuwa na &#8216;combination' nzuri na wenzake katika ushambuliaji. Anapata pointi 6.
 
Dewji ataka Phiri asimamishwe Simba Send to a friend Sunday, 27 March 2011 21:25

Imani Makongoro
MWANACHAMA wa klabu ya Simba, Azim Dewji ameitaka klabu hiyo kutouvumilia utovu wa nidhamu unaofanywa na kocha wao mkuu Patrick Phiri na badala yake amependekeza asimamishwe.

Dewji, mfadhili wa zamani wa klabu hiyo aliyeifikisha fainali za Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) mwaka 1993, ilipotolewa na Stella Abidjan ya Ivory Coast alisema hayo juzi jijini Dar es Salaam alipokuwa anazungumzia uwezekano wa klabu yake kuitoa TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu.

Klabu hizo zinakutana mwishoni mwa wiki katika raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa na katika mchezo wa kwanza, Simba iliteleza kwa kufungwa mabao 3-1, lakini sasa ikijiandaa kujibu mapigo katika mchezo wa marudiano mwishoni mwa wiki hii.

Alisema: "Nilikuwa kule Lumbumbushi kuiongezea nguvu, tulifungwa, lakini Mazembe wanaweza kufungika. Lakini, kwa staili hii ya kocha Phiri (Patrick) mtafanyaje vizuri?

"Kule niliona mapungufu kadhaa kama ilivyokuwa kwa viongozi, wachezaji na mashabiki wa Simba wengine. Kama kocha angeendelea na programu yake kwa wakati, timu ingekuwa imeshakaa sawa, lakini angalia, kocha bado yuko kwao Zambia wakati timu iko vitani, tena na wazoefu kama Mazembe, inashangaza sana!"

Dewji aliongeza kuwa kwa kocha anayeipenda kazi yake, kamwe asingethubutu kuitelekeza timu kwa karibu wiki moja katika kipindi cha maandalizi ya mchezo muhimu wa marudiano dhidi ya Mazembe.

"Nakuambia, kwa kocha anayeipenda kazi yake, siku mbili alizopewa zingemtosha na kurejea, lakini amejiongezea siku hadi wiki. Katika suala la nidhamu, wachezaji wajifunze nini kutoka kwake?

"Naushauri uongozi kwamba ili kuweka nidhamu ndani ya klabu, akirejea Phiri asimamishwe hadi baada ya mechi na Mazembe. Angekuwa na uchungu angekuwa na timu kuipika zaidi na zaidi, lakini hajaonyesha kujali zaidi ya kuwapiga danadana viongozi," alisisitiza Dewji.

Baada ya kuteleza kule DRC, Simba inatakiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo ujao Jumamosi ili iendeleze rekodi ya kuwavua ubingwa wafalme wa soka Afrika, kama ilivyokuwa kwa Zamalek ya Misri mwaka 2003.
 
Botswana yatinga fainali za Mataifa ya Afrika


N'DJAMENA, Chad

TIMU ya taifa ya Botswana imekuwa timu ya kwanza kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika, zitakazofanyika mwakani huku ikishuhudiwa mabingwa wa zamani wa michuano
hiyo, timu za taifa za Misri na Cameroon zikivutwa shati.

Mchezaji Jerome Ramatlhkwane, ndiye aliyekuwa shujaa wa timu hiyo ya Zebras, baada ya kuifungia bao pekee lililoipatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Chad katika mchezo huo uliofanyika mjini N'Djamena.

Bao lililopatikana dakika ya 50 na liliifanya Botswana ifikishe pointi 16, katika mechi za kundi K ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine katika kundi hilo.

Katika mechi nyingine ya kundi hilo, bao pekee lililofungwa na Moses Chavula dakika ya 18 liliisaidia Malawi kuondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Togo, ambayo haina uwezo wa kufuzu fainali hizo zitakazofanyika nchini Gabon na Equatorial Guinea.

Matokeo mengine ya mechi zilizochezwa juzi, Afrika Kusini iliwashangaza wengi baada ya kuilaza Misri kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika mjini Johannesburg.

Mchezaji Katlego Mphela, ndiye aliyepachika bao hilo dakika za majeruhi za mchezo huo uliofanyika kwenye Uwanja wa Ellis Park, huku wageni wakipata nafasi nyingi lakini wakashindwa kuzitumia.
 
20% aweka rekodi Kilimanjaro Music Awards 2011
&#8226; Mapacha Watatu, Mpoki washangaza

na Khadija Kalili


USIKU wa juzi Jumamosi, unaweza kusema ulikuwa ni &#8216;Usiku mwaka wa msanii 20%', kutokana na nyota yake kung'ara vilivyo katika hafla ya hitimisho la kuwatuza wanamuziki waliofanya vema mwaka 2010 Tanzania, maarufu kama Kilimanjaro Music Awards.
Msanii huyo alifanikiwa kunyakua tuzo tano pekee yake na kuvunja rekodi kwa wasanii wote ambao waliingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya 12 mwaka huu, tangu zilipoasisiwa.
Katika hafla hiyo ya utoaji wa tuzo, 20% aling'ara kwa kupata tuzo hizo tano, huku ikiwa ni tukio la mara ya kwanza kwa msanii kung'ara kama ilivyotokea kwake katika historia ya tuzo hizo.
Onyesho hilo ambalo lilikuwa likionyeshwa moja kwa moja na kituo cha runinga cha ITV, zilifanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Mashabiki wengi walionekana kumshangilia 20% kila jina au wimbo wake ulipokuwa ukitajwa, taswira iliyoonyesha kwamba, anakubalika vilivyo katika jamii kwa ujumla na alistahili kutwaa tuzo hizo.
Tuzo alizonyakua msanii huyo ni; Msanii Bora wa Kiume, ambako katika kundi hilo walikuwamo pia, Barnaba, Ali Kiba, Banana, Belle 9 na Diamond.
Tuzo yake ya pili ni Wimbo Bora wa mwaka, ambako aliibuka kidedea kupitia wimbo wake wa &#8216;Tamaa Mbaya', na kuzibwaga nyimbo zifuatazo na watunzi kwenye mabano; &#8216;Mama Ntilie' (Gelly wa Rhymes Feat AT &Ray C), &#8216;Sina Raha' (Sam wa Ukweli), &#8216;Mkono Mmoja' (Tip Top Connection), na wimbo wake mwenyewe, &#8216;Yanini Malumbano'.
Mashabiki walichanganyikiwa zaidi, pale msanii huyo alipotajwa kunyakua tuzo ya tatu ya Mwimbaji Bora wa Kiume, ambako alikuwa akichuana na Barnaba, Ali Kiba, Belle 9 na Diamond.
Kama haitoshi, 20% pia aling'ara katika Wimbo Bora wa Afro Pop kupitia wimbo wake wa &#8216;Yanini Malumbano', na kuzibwaga &#8216;Mama Ntilie' ulioimbwa na Gelly wa Rhymes Feat AT &Ray C, &#8216;Oyoyo' wa Bob Junior, &#8216;Tamaa Mbaya' wa kwake mwenyewe na &#8216;Mbagala' ulioimbwa na Diamond.
Baada ya msanii huyo kung'ara vilivyo katika makundi hayo, bendi mpya ya Mapacha Watatu inayoundwa na wasanii Khalid Chuma &#8216;Chokoraa Tora Bora', Kalala Hamza &#8216;Kalala Junior' na Jose Mara walichukua tuzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili wa bendi kwa kibao chao &#8216;Shika Ushikapo' na kuwashinda wakongwe The African Stars &#8216;Twanga Pepeta' ambao walitupa karata mbili ambazo ni &#8216;Kauli' na &#8216;Mapenzi Hayana Kiapo', FM Academia na wimbo wao &#8216;Shida Yangu' na Akudo Impact kwa kibao chao &#8216;Pongezi kwa Wanandoa'.
Aidha Tuzo ya Rapa bora ilinyakuliwa na Chokoraa kutoka bendi hiyo ya Mapacha Watatu, huku ikiwa ni kwa mara ya pili kwa msanii huyo, kwani mwaka jana ndiye aliyechukua tuzo hiyo.
Tuzo ya mwimbaji bora wa kike ilikwenda kwa &#8216;Ndege Mnana' Lina Sanga &#8216;Lina' aliyekuwa akichuana na Judith Wambura &#8216;Lady Jay Dee', Mwasiti Almasi &#8216;Mwasiti', Khadija Kopa na Sara Kaisi &#8216;Shaa'.
Kadhalika tuzo nyingine ya tatu aliyopata Lina ni Msanii Mpya Anayechipukia, ambapo wengine waliokuwa wakiwania ni Sajna, Bob Junior, Top C na Sam wa Ukweli.
Kama kawaida yake kushinda, kundi la Jahazi Modern Taarab lilitwaa tuzo ya wimbo bora wa Taarab kupitia wimbo wao unaokwenda kwa jina la &#8216;My Valentine'.
Tuzo ya wimbo bora wa R & B, imekwenda kwa wimbo wa &#8216;Nikikupata' wa Ben Paul, na kuzibwaga &#8216;We ni Wangu' wa Belle 9, &#8216;Hello' Hussein Machozi FT Maunda Zorro.
Msanii Joh Makini almaarufu kama &#8216;Mwamba wa Kaskazini' alichanua kwa kupata tuzo ya wimbo bora wa Hip Hop kwa wimbo wake wa &#8216;Karibu Tena', na kuziacha solemba &#8216;Propaganda' wa Fid Q, &#8216;Ukisikia Paah' JCB Feat Fid Q &Chid Benz, &#8216;Usije Mjini' wa AY & Mwana FA na &#8216;Higher' wa Nick wa Pili Feat Joh Makini.
Joh Makini, aling'ara tena katika tuzo ya msanii bora wa Hip Hop ambako aliwabwaga Fid Q, Ngwear, Chid Benz na Godzilla.
Tuzo ya Mtayarishaji Bora wa mwaka ilikwenda kwa Lamar aliyewashinda Marco Chali, Man Water, Bob Junior na Pancho Latino, huku Wimbo Bora wa Afrika Mashariki ni &#8216;Nitafanya' ulioimbwa na Kidumu na Lady Jaydee.
Nyimbo zingine zilizokuwa zikiwania ni &#8216;Kare' wa P-Unit, na &#8216;Songambele' wa Alpha.
Katika miondoko ya kunesanesa msanii Hard Mad aling'ara kwa kupitia wimbo wake wa &#8216;Ujio Mpya' aliomshirikisha Enika &BNV, na kuzishinda &#8216;Sauti ya Rasta' wa Ras Rwanda Magere, &#8216;Misingi ya Rasta' wa Warriors From East, &#8216;Sayuni' wa Jhiko Man, &#8216;Reggae Swadakta' ulioimbwa na Bob Lau Mwalugaja na &#8216;What U Feel Inside' wa Hard Mad.
Wimbo &#8216;Action' wa CPWAA, aliomshirikisha Dully, Ngwear na Ms Trinity ulichukua tuzo ya Wimbo bora wa Ragga/Dancehall, na kuzishinda &#8216;Far Away' wa Big Jah Man feat Richard, &#8216;My Friend' wa Benjamin na &#8216;Kiune Weka Busy' wa Jet Man.
Katika hali isiyotarajiwa baada ya kutoa wimbo mmoja tu, msanii wa vichekesho Mpoki au unaweza kumwita Mwarabu wa Dubai, amenyakua Wimbo Bora wa Asili wa Tanzania, kupitia wimbo wake wa &#8216;Shangazi' na kuzishinda &#8216;Adela' ulioimbwa na Mrisho Mpoto, &#8216;Kariakoo' wa Mataluma, &#8216;Ahmada' wa Offside trick waliomshirikisha Bi. Kidude, na &#8216;Wa Mbelembele' wa Ommy G.
Video Bora ya Muziki ilikwenda kwa wimbo wa &#8216;Action' wa CPWAA, Dully, Ngwear na Ms Trinity na kuzishinda &#8216;Mbagala' ya Diamond, &#8216;Mkono Mmoja' ya Chegge & Temba Feat Wahu na &#8216;Shoga' wa Shaa.
Tuzo ya Wimbo Bora wa Zouk-Rhumba imekwenda kwa Barnaba na kibao chake &#8216;Nabembelezwa' na kuzibwaga &#8216;Bado Robo Saa' wa Amini, &#8216;Bona Nikimbie' wa Linah, &#8216;Ulofa' wa Top C na &#8216;Sina Raha' wa Sam wa Ukweli.
Mwanamuziki Mkongwe, Said Mabera kutoka Msondo Ngoma &#8216;Baba ya Muziki' ametunukiwa tuzo ya heshima &#8216;Hall Of Fame'huku Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), wakipata tuzo ya taasisi iliyochangia mafanikio katika kuhifadhi muziki wa Tanzania.
Tuzo hizi ziliratibiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
 
Shusho naye kutumbuiza Tamasha la pasaka


na Mwandishi wetu


MUIMBAJI wa muziki wa Injili mwenye kipaji cha aina yake awapo jukwaani, Christina Shusho, naye amethibitisha kushiriki katika tamasha kubwa la Pasaka litakalofanyika siku ya sikuu ya Pasaka Aprili 24 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, alisema Shusho anakuwa ni mwimbaji wa nane kuthibitisha.
"Shusho tutakuwa naye kwenye tamasha siku hiyo na kutumbuiza mbele ya mgeni rasmi Rais Jakaya Kikwete, na naamini mwaka huu tamasha hili litakuwa bora zaidi kutokana na kushirikisha waimbaji wengi wakali," alisema Msama.
Tamasha la Pasaka la mwaka huu litakuwa la aina yake chini ya mgeni rasmi Rais Jakaya Kikwete huku likishirikisha waimbaji mahiri kutoka ndani na nje ya Tanzania.
Msama alisema tamasha hilo baada ya kufanyika jijini Dar es Salaam, pia litarindima kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Aprili 25.
Alisema, baada ya hapo itakuwa zamu ya wakati za Kanda ya Ziwa pale litakapofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza Aprili 26, Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Alisema malengo ya tamasha la mwaka huu, ni kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwasomesha watoto yatima na kuwasaidia mitaji wanawake wajane.
Zaidi ya hapo, fedha nyingine zitatumika kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mabomu yaliyotokea kambi ya JWTZ Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, tukio lililotokea Februari 16.
Shusho miongoni mwa waimbaji mahiri wa nyimbo za injili nchini, siku hiyo atashirikiana na waimbaji wengine kama Upendo Nkone, Rose Muhando, Boniface Mwaitege.
Wengine ni Annastazia Mukabwa, Pamela Wanderwa na Solomon Mukubwa kutoka Kenya ambao wote tayari wamethibitisha na Ephraem Sekeleti kutoka Zambia.
Kiingilio katika tamasha hilo kitakuwa sh 4,000 kwa viti maalum B ni sh 10,000 na maalum A sh 20,000, tiketi za kategoria hiyo hazitauzwa mlangoni.
Wakati tiketi za viti maalum VIP A zitakuwa kama meza za familia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…