Miche bora ya mitiki inauzwa

Miche bora ya mitiki inauzwa

arisefarm tz

New Member
Joined
Dec 8, 2017
Posts
4
Reaction score
0
Arisefarms tz ni wauzaji wa miche bora ya miti ya mbao (mitiki). Kwa gharama nafuu.
Mitiki ni mti wa mbao ngumu ambao huvunwa baada ya miaka 15 -20 baada ya kupanda.

Gharama zetu zipo ifyatavyo.
Ukichukua kuanzia miche 500 -9999 bei ni TZS 400.
Kuanzia miche 10000 hadi 99999 bei ni TZS 350.
Kuanzia miche 100000+ bei ni TZS 300

Gharama hizi ni pamoja na usafiri kwa mikoa ya Dar es salaam, Morogoro na Pwani.
Mikoa nje na hiyo utalipia nusu ya gharama za usafiri

Tunapatikana kilombero -Morogoro.
Mawasiliano

0766006128
0655715184
WatsApp pekee 0683433440

NB: malipo yote yatafanyika baada ya kupokea mzigo.
 
Naambatanisha picha
 

Attachments

  • images+%283%29.jpeg
    images+%283%29.jpeg
    21.9 KB · Views: 57
Back
Top Bottom