Michapio hatari

Michapio hatari

donald james

Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
43
Reaction score
7
Sista du akiwa hotelini akaagiza; naomba chips kaki na mchi kavu,niletee na panta fassion.

Ongeza na wa kwako tupate mchapio namba 1 kwa ukali
 
nilipita mtaa mmoja mara mbwa wakaanza kunikimbiza ilikuwa balaa kila nikikata mbwa kona hawa hapa
 
Std7 hiyo bhana mwl (maadam) alikuwa anafundisha hesabu za wakati
Akasema ikiwa juma moja ina siku 7, je majuma ku**a?
tukabaki tunatizamana, ticha katupa kitabu chini akasepa huku hana mbavu.
Chezea michapio wewe.
 
Kyai kya rangi, kikombe kya kyuma(chai ya rangi na kikombe cha chuma}
 
Back
Top Bottom