Jamani hapa arusha kuna shule imepanga kuchukua 10000,kila mwezi kwa ajili ya masomo ya ziada kwa wanafunzi..na ni ya serikali.lakini wakati huo huo kuna kaya zisizoweza kulipa ada ya mtoto..jamani hii ni sahihi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.