Tosha
Member
- Aug 18, 2011
- 72
- 19
Kwa heshima kubwa naomba msaada wa kuelimishwa hii kitu nimekuwa nikiisikia huku mitaa lakini sijapata kujua hasa ni kitu gani?mara ooh inasumbua kwenye uzazi(wamasai wamekuwa wakiuza sana dawa za michango tumboni),mara wengine wanasema ni minyoo tu inakuwa mingi tumboni na kadhalika na kadhalika sasa naomba kwa wanaojua hili suala la kuwa na michango tumboni!hii hali ni ugonjwa gani?nini kinasababisha?madhara yake ni yapi?na tiba yake hasa ni nini?
natanguliza shukrani kwa wote nawasilisha
natanguliza shukrani kwa wote nawasilisha