kikiboxer JF-Expert Member Joined Dec 22, 2017 Posts 3,943 Reaction score 10,540 Feb 7, 2022 #21 Sijawahi kutoa hilo fungu la 10. Zaidi natoa sadaka tu kulingana na navyo wiwa moyoni. Katika washirika ambao hawatoi fungu la 10 mimi nimo sasa sijui watanitenga au vipi watajua wenyewe.
Sijawahi kutoa hilo fungu la 10. Zaidi natoa sadaka tu kulingana na navyo wiwa moyoni. Katika washirika ambao hawatoi fungu la 10 mimi nimo sasa sijui watanitenga au vipi watajua wenyewe.