Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,591
Kwa wapenzi wa kweli wa mpira wa kikapu hususan NBA basi jina la Len Bias litakuwa si geni masikioni mwao. Huyu bwana nina imani kabisa kama asingeendekeza uteja ambao baadae ulikuja kumgharimu maisha yake basi angeweza kumpa changamoto kubwa sana Michael Jordan na pengine sasa hivi mjadala ungekuwa ni nani kati ya Len Bias na Michael Jordan aliyekuwa bora zaidi ktk mpira wa kikapu.
Bias alikuwa na moves za ajabu bana. Alikuwa na uwezo wa kuruka kama Jordan. Alikuwa mrefu kwa kumzidi inchi mbili Jordan. Ukiangalia highlight reel zake utaelewa kwa nini Len Bias alikuwa na potential ya kumpa changamoto kali Jordan.
http://www.youtube.com/watch?v=SvyHXqJIxTw
Bias alikuwa na moves za ajabu bana. Alikuwa na uwezo wa kuruka kama Jordan. Alikuwa mrefu kwa kumzidi inchi mbili Jordan. Ukiangalia highlight reel zake utaelewa kwa nini Len Bias alikuwa na potential ya kumpa changamoto kali Jordan.
http://www.youtube.com/watch?v=SvyHXqJIxTw