Messi Vs Pele

Logikos

JF-Expert Member
Feb 26, 2014
12,466
19,496
Football is a Game of Opinions, na kuna wengi wanajaribu kufananisha umahiri wa mchezaji wa kipindi fulani na kipindi kingine; Ingawa ni vigumu na kila mchezaji ana repertoire yake tofauti tofauti ndio maana nikitaka kuwa entertained huenda ningemuangalia Garrincha, Ronaldinho na hata Okocha kuliko hata Messi; ningekuwa natengeneza Timu na nataka clinical finisher huenda nisingemuacha Ronaldo de Lima; LAKINI kuna kuwa na opinion na kuna Kupindisha Data (yaani kutofuata FACTS) hivyo basi ni vema tufanye Dissection ya Messi na Pele

PLAYING POSITION
Messi – Winger / Forward

Kwa aina ya mpira wa sasa na falfalsa ya makocha Messi alianza kama Winger (kama ilivyokuwa kwa kina Henry na Ronaldo) na akawa converted kuwa Forward / Playmaker;

Messi kumfaidi inabidi ujenge timu kwa kutumia strength zake ukimpa mpira anaweza kufungua defence anapenda kwenda kwenye wing na kuingia ndani na mabao yake mengi anayafunga hivyo (ila tukija kwenye taji la playmaker je tunamuhitaji Messi au mtu kama Maestro Andre Pirlo ambaye Pasi yake moja kwa sekunde moja inaweza ikafungua timu ? (Ndio hapo linakuja suala la Greatest of all time Je kina Claude Makalele au Viera na wao tunawaweka wapi)? Unaweza ukasema bila Makalele kwenye ile Galactico (Real Madrid) isingefanya kitu sababu hakuna mkabaji wote ni walikuwa Prima Donnas..., au Toure kwa Barcelona aliwapa kinga / defense ya kufanya wengine waweze kufanya yao...

Pele – Forward
Pele alikuwa Centre Forward anayeshuka mpaka katikati kutafuta na kuchukua mipira au kucheza kama striker wa pili.

PELE STRENGTH Clinical Finisher; Aerial Ability, Physical Strength
Kumbuka kipindi Pele anacheza mwanzoni kulikuwa hakuna Red wala Yellow Card, na faulo za nyuma kilikuwa kitu cha kawaida kwahio kuwapita defender ilihitaji skills na nguvu ya ziada. Pele aliweza kuwapita walinzi kwa urahisi pamoja na yote hayo huku akitumia chenga yake pendwa “dribble da vaca,”

Pele alikuwa ni mtaalamu wa kupiga vichwa, na akicheza kwa flair; ingawa walikuwepo wataalamu wa chenga kumzidi (Garrincha) lakini his eye for goals was second to none at the time

MESSI STRENGTH- Finisher, Vision, Positioning, Dribbler
Messi ana low center of gravity kwahio kumuangusha sio rahisi, na kuwapita walinzi sio kazi kwake ingawa ana bahati ya kucheza kipindi ambacho strikers wanalindwa hivyo kutochezewa rafu bahati ambayo Pele na wenzake walikuwa hawana...

BIASED OPINIONS

Pele alicheza kipindi ambacho hakuna Sheria za Offside hivyo alifunga Magoli Mengi (SI KWELI)

Ukiangalia sheria ya offside imebadilika tokea miaka ya 1800; hapo mwanzo ilikuwa ngumu zaidi sababu ilitakiwa kuwe na walinzi watatu mbele yako kujumlisha na kipa ndio sio offside; ikaja wawili na miaka ya tisini wakaleta rule ya kwamba hata ukiwa marginally na walinzi yaani mbele yako kuna kipa tu upo onside....

Hii kwa ma-striker wa sasa imekuwa rahisi na kwa ma-defender hali imekuwa ngumu..., watu kama Ruud Van Nistelrooy, Anelka, Henry, Andy Cole waliitumia sana hii mtu anakaa na wewe sambamba au anakuwa offside position...., watu kama kina David Beckham wakati wanapiga pasi (instantly) jamaa wanarudi usawa wa defender na kuukimbilia mpira / pasi.., Hivyo sio kweli kwamba Strikers wa sasa wana shida bali defenders wa sasa ndio wana shida...

Ballon d’Ors
Nadhani wanaoleta hii kitu katika maongezi ya Greatest of all Time hawajui hata hii Award inapatikana vipi; na hawajui kwamba Pele sio kwamba hakuweza kucheza Europe bali nchi yake ilimfanya Nyara ya Serikali ili asiweze kuondoka akiwa kwenye Peak... Anyway, waanzilishi wa hii Award wamerudi nyuma na kusema kama Pele angekuwepo kwenye voting basi angekuwa na hizi Award sawa na Messi

France Football claim Pele has same number of Ballon d'Ors as Lionel Messi | SportsJOE.ie

MESSI AND PELE STATS
(Kwenye Assists ni Debatable zamani zilikuwa haziwi recorded – na hizi game ni Official Pele alicheza nyingi zaidi)

Messi
TeamGamesGoalsAssistsRatio
PSG5323280.43
Barcelona7786722690.86
Argentina17298530.57
Total10037933500.79


Pele

TeamGamesGoalsAssistsRatio
Santos FC6566432770.98
Cosmos NY6437230.58
Brazil9277430.84
Total8127573430.93

There you have it There is only one King Pele alafu wengine wengi....


Na kwenye mpira kuna entertainers, kuna watu ni clinical kuna watu wana footballing Brain kama Andre Pirlo, kuna kina Glenn Hoddle na hata Bongo tuna kina OCD, Hussein Amani Masha au hata Samli Ayoub (Beki Mstaarabu) - Kipindi kile cha Rafu na Undava undava mtu anamaliza mpira jezi bado safi (alafu ni Beki) - Avumae Papa Baharini ingawa wengi wapo ila bado Papa yupo na Papa ni Pele
 
Messi ni mchezaji bora kuliko wote hata pele mwenyewe

Pele alikuwa bora kwenye ufungaji tu tena mpira wa zamani haukuwa na offside

Messi anavyo vyote
Umesoma niliyoandika ? Ngoja nirudie na kukupa link...

Offside ya zamani haikuwa tu marginally bali ilitakiwa yawepo majamaa mawili mbele yako ambayo ni ruksa kukupiga kiatu na hata mtu wa nyuma kukubiga kiatu kutokea nyuma..

Hebu jipe elimu hapo chini... (Ili mkiwa mnadanganyana kwamba mpira zamani ulikuwa hauna offside uweze kuwarekebisha wenzako)
Even during the early years of soccer, the problem with players “goal hanging” was evident. Players would stand around the goal waiting for the right opportunity. In order to prevent this, the offside rule was born. Let’s take a look at the history of the offside rule.

The Offside Rule – 1863
history-offside-1863.gif

The offside rule originated in 1863. A player was considered offside unless three players of the opposing side are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is considered offside because only two players are in front of him.

The Offside Rule – 1925
history-offside-1863.gif


The offside rule was changed in 1925. A player was considered offside unless two players of the opposing team are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because two players are in front of him.

The Offside Rule – 1990

history-offside-1990.gif


The offside rule was changed again in 1990. A player is onside if he is level with the second-to-last player of the opposing team (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because he is level with the second-to-last player.

Even though the rule has changed a couple times, many still have issues with the rule. Some say making an offside call is impossible and feel that FIFA should change the rule again. Only time will tell!

 
Pele anabaki kushindana na Maradona japo Pele anabaki kuwa mkali wa muda wote.
Mess anabaki kushindana na CR7 wao Wana daraja lao ila Zidane na Gaucho awa nawaweka kwenye daraja lao peke Yao,
Wao Si tu walikua wakicheza mpira ila waliufanya mpira kuwa Sanaa ya ajabu kabisa.
 
Sasa jioni messi akivyokuwa anapigwa viatu na kina ramos pepe ila anawatoboa tu

Messi hakuna mfano
Umesoma niliyoandika ? Ngoja nirudie na kukupa link...

Offside ya zamani haikuwa tu marginally bali ilitakiwa yawepo majamaa mawili mbele yako ambayo ni ruksa kukupiga kiatu na hata mtu wa nyuma kukubiga kiatu kutokea nyuma..

Hebu jipe elimu hapo chini... (Ili mkiwa mnadanganyana kwamba mpira zamani ulikuwa hauna offside uweze kuwarekebisha wenzako)
Even during the early years of soccer, the problem with players “goal hanging” was evident. Players would stand around the goal waiting for the right opportunity. In order to prevent this, the offside rule was born. Let’s take a look at the history of the offside rule.

The Offside Rule – 1863
history-offside-1863.gif

The offside rule originated in 1863. A player was considered offside unless three players of the opposing side are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is considered offside because only two players are in front of him.

The Offside Rule – 1925
history-offside-1863.gif


The offside rule was changed in 1925. A player was considered offside unless two players of the opposing team are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because two players are in front of him.

The Offside Rule – 1990

history-offside-1990.gif


The offside rule was changed again in 1990. A player is onside if he is level with the second-to-last player of the opposing team (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because he is level with the second-to-last player.

Even though the rule has changed a couple times, many still have issues with the rule. Some say making an offside call is impossible and feel that FIFA should change the rule again. Only time will tell!

 
Sasa jioni messi akivyokuwa anapigwa viatu na kina ramos pepe ila anawatoboa tu

Messi hakuna mfano
Ngoja nikupe dondoo..., mwaka ni 1966

1966 World Cup
Pelé scored the first goal from a free kick against Bulgaria, becoming the first player to score in three successive FIFA World Cups, but due to his injury, a result of persistent fouling by the Bulgarians, he missed the second game against Hungary.

Ingawa mechi ya tatu alirudi ila alipigwa kiatu na akianguka watu bado wanakanyaga..., kipindi kile hakuna substitution inabidi mtu unaendelea kuchechemea tu..., In short ilikuwa Brutal (ndio maana Pele akaamua kujiuzulu ingawa baadae alirudi (ama sivyo tungeshindwa kushuhudia vitu vyake 1970) na hapo FIFA ilibidi wa-introduce red / yellow cards

 
Pele ni kumchukua messi mguu wake wa kushoto uuweke kulia, kisha jumlisha na cr7 ndio unampata pele huyo mmoja.

Mimi ni shabiki wa Messi, nazungumza haya baada ya kipindi fulani nilikuwa najarobu kutengeneza documentary ya pele nikakwama kwenye mambo ya hakimiliki,

Pele tumsikie tu mzee alikuwa anajua mpira na kacheza kipindi kigumu saana, faulo za ajabu ajabu mechi aliyokuwa anatafuta kufunga goli la buku, alikula viatu si mchezo, world cup 66 kina Eusebio walipiga viatu vya hatari kiasi alisema hatocheza teena worldcup.. Ile game walimuumiza mguu wa kulia akawa anatumia wa kushoto.

Pele aheshimiwe.
Siku zoote messi alikuwa hashindanishwi na pele ni baada ya kuchukua world cup, kama ishu ni world cup pele anazo 3(2 katika hizo mchango wake ni 100%,58,70) Katika game 14 za world cup ana goli 12, assist 10.
 
Umesoma niliyoandika ? Ngoja nirudie na kukupa link...

Offside ya zamani haikuwa tu marginally bali ilitakiwa yawepo majamaa mawili mbele yako ambayo ni ruksa kukupiga kiatu na hata mtu wa nyuma kukubiga kiatu kutokea nyuma..

Hebu jipe elimu hapo chini... (Ili mkiwa mnadanganyana kwamba mpira zamani ulikuwa hauna offside uweze kuwarekebisha wenzako)
Even during the early years of soccer, the problem with players “goal hanging” was evident. Players would stand around the goal waiting for the right opportunity. In order to prevent this, the offside rule was born. Let’s take a look at the history of the offside rule.

The Offside Rule – 1863
history-offside-1863.gif

The offside rule originated in 1863. A player was considenless three pl
MKUU HIZI KENGE ZINAZOTUAMBIA ENZI ZA PELE HAKUKUWA NA OFFSIDE HIZO HABARI WANAZITOA WAPI?
 
Mpangumbe

Shida ya uongo ukikaa kimya wala bila kubisha wala kurekebishwe hutokea kuaminiwa kama ni ukweli kwahio karne hii ya information at your fingertips mtu ukisikia story yoyote ni vema kujiridhisha ama sivyo unakuwa part ya ku-recycle uongo...

Ukweli ni kwamba enzi za kina Pele bora uwe defender kuwa stricker wewe na maumivi ilikuwa pete na kidole issue za ma-winger kupanda zilikuwa hazipo mijamaa imekaa nyuma tu inakusubiri ikupe maumivu na offside ilikuwa offside kweli sio sasa hivi sijui nipo marginally onside....
 
Dribling ya Messi si ya sayari hii

Pele alikuwa hana uwezo wa kupiga chenga kumi mfululizo!
Kwanza kabisa waliofanya dissection ya Messi; Messi ana aina yake ya chenga moja ambayo hata Garrincha alikuwa nayo ingawa unajua aina hii ya chenga ila kui-defend ni kazi..., pili umeona signature ya pele ya ku-dash ambayo hata mpira hana alafu defense inakwenda mrama..., na tukija kwenye chenga zenye manufaa na productive binafsi naona Ronaldo de Lima likuwa mtaalamu (kwake kupoteza mpira akishauweka katikati ya miguu ni hadithi....

Anyway sababu clips za Garrincha (mchawi wa chenga) ni Black and White ngoja nikupe Clip ya Okocha ambayo Garrincha alikuwa anafanya yaani anapinga chenga mpaka kipa alafu anarudi kuwapiga tena chenga mara ya pili...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom