Miaka mitatu sina kazi

Miaka mitatu sina kazi

reginahope

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
163
Reaction score
30
wanajamvi ni zaidi ya miaka mitatu tangu nimalize chuo kikuu ila cha kushangaza sina kazi hadi leo..; nlifaulu vizuri kwa kupata upper second, nlisoma b.com in materials management, kwa anayeweza kunisaidia naombeni kazi plz
 
Kwa mtazamo wangu njia ya afadhali kupata kazi ni kwa kutumia optional courses ulizozizoma..i.e managerial accounts etc etc kuonesha kwa una fit kwenye listed job..maana kama ukisema usubiri kazi ya kile ulichosomea kabisa nadhani unaweza ukasubiri sana yan..huu ni ushauri wangu tu..over..
 
Hiyo b com materials management ulisoma wapi?

Na pia yaelekekea unaomba kazi za materials tu kwa style moja..

Unatakiwa ubadili strategies kila unapoona plan A inafeli.
 
Unafanya nini kwa sasa?una umri gani? jinsia yako?
 
Tumia recruitment agencies! Japo wanyonyaji ila afazali kidogo. Ila Eurolink na Shughulika wapotezeee!

Hahahah lara 1 naona hizi agency mbili huzipendi kabisaaaaa,naona hawa jamaa wanawanyonya sana watu.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtazamo wangu njia ya afadhali kupata kazi ni kwa kutumia optional courses ulizozizoma..i.e managerial accounts etc etc kuonesha kwa una fit kwenye listed job..maana kama ukisema usubiri kazi ya kile ulichosomea kabisa nadhani unaweza ukasubiri sana yan..huu ni ushauri wangu tu..over..

asante kwa ushauri wako japo nimejaribu pia hyo mbinu
 
wanajamvi ni zaidi ya miaka mitatu tangu nimalize chuo kikuu ila cha kushangaza sina kazi hadi leo..; nlifaulu vizuri kwa kupata upper second, nlisoma b.com in materials management, kwa anayeweza kunisaidia naombeni kazi plz
pole sana vipi umeshafanya mitihani ya board ..? (PSPTB)...
huwa unaomba kazi za UMUTISHI...? PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
pole sana jitahidi kupitia ...mitandao ... kama ujafanya mitihani ya bodi nakushauri fanya
kama hela unayo...inaweza kukuongezea ktu kingine..
pia unawaeza kuomba tutorial assistant vyuo ni vyingi sana sasa..
 
...una shilingi ngapi Nikuungishe kazi ya maana
 
Recruitment agencies wanakunyonyaje? Hebu nielimishe?

Nimeshapata 2 jobs kupitia wao lakini sitoi hata kumi na simu wananipigia wai kunipa updates.
Tumia recruitment agencies! Japo wanyonyaji ila afazali kidogo. Ila Eurolink na Shughulika wapotezeee!
 
Jamani naombeni mnisaidie hao maagent nimwaka sasa unaisha sina kazi n'a nina elimu Nzuri tu,ukiacha erolink n'a spanco
 
nimemjibu tu coz hana moyo wa kunisaidia kwa kwel siwez kununua kazi
 
nimemjibu tu coz hana moyo wa kunisaidia kwa kwel siwez kununua kazi

Endelea kuomba Mungu na kazana kutuma maombi ya kazi. Mi nimemaliza 2009. Nilipata nikafanya sehem kadhaa kazi nikaacha kwa sababu ya maslahi. Toka nilipoacha 2010 ndo juzi nimepata sehemu ingine, fani tofauti na nilichosomea.

Bila kujali imani yako, weka sadaka ya nadhiri mbele ya Mungu. Ikiwezekana kwa kidogo unachokipata ukumbuke kumtolea Mungu fungu la kumi. Zungumza kitu juu ya hiyo sadaka na usitoe kimazoea. Mwambie Mungu shida zako kupitia hiyo sadaka na huku ukimuamini yeye. Naamini atatenda.

Kuna kazi za ufleelancer The Guardian Limited but mwanzo wake ni mgumu. Ukiwa na moyo wa uvumilivu utaweza fanikiwa.

Never give up mkuu!! I know the situation you are going thru. Still there is hope.
 
vijana tufikirire kujiajiri jamani capital ya 1.5m inatosha kuendesha maisha yetu ya kila siku,
 
Back
Top Bottom