Miaka minne ya Magufuli Watoto wetu wanasoma bure. Je, kuna nchi yoyote Africa italiweza hili?

Kila nikikaa jioni na mama chanja Huku tukiangalia habari mbalimbali za kitaifa huwa naona jinsi wasaidizi wake wanavyokimbia huku na huku kuona jinsi ya kukimbia kwa Kasi kimaendeleo km anavyotaka Rais wetu

Lakini furaha yangu sikuhizi siombwi tena pesa ya Ada kazi yangu imebaki kununua sare za shule na madaftari tu vingine vyote Magufuli anawalipia
Nikajiuliza hivi kuna Nchi yeyeto africa inaweza kuthubutu kulipia wanafunzi ada km anavyofanya huyu mzee?
Nimejaribu kutafuta kwa kweli sijapata

Nani km magufuli Africa? Au ndio maana ameshinda kuwa kiongozi wa sedic?

Ahsante magufuli kwa kutambua Elimu Ndio uti wa mgongo katika Nchi yeyote

Leo sitazungumzia zahanati kwa kila kijiji

Ahsante mzee kikwete kwa kutuletea chuma hiki

NYONGEZA.

1:BEN SAANANE KAPOTEA UTAWALA HUU.

2:AZORY GWANDA KAPOTEA UTAWALA HUU.

3:WATU KUELEA KWENYE VIROBA BAHARI YA HINDI UTAWALA HUU.

4:UKOSEFU WA AJIRA UTAWALA HUU.

5:KUTOPANDA MISHARA UTAWALA HUU.

Ni kweli hayo yote ni mambo mema!

Serikali inastahili pongezi.😁😁😂😂😃😃😆😆
 
Mkuu inaonekana ww bado hujatembea hata nchi moja ya afrika inaonekana hata hiyo nchi jirani yako ilio koloni la tanganyika hujawahi kufika(zanzibar) kwa ufupi ziko nchi nyingi za afrika elimu bure kwa Leo nitakutajia nchi 2 tu, zanzibar na South Africa, mkuu unatoa mada angalia na fact zake kwanza
 
Wewe ndio utakuwa hujataka kujifunza
inakia nyet pale ambapo inafuata misingi thabiti,ila kama mtu anaamka na miheko yake kitandan na kufanya reform bila tafit kufanyika matokeo yak ndo haya mtt wa std 7 hajui kusoma
 
Ni hatua hatua kwa hatua
Nchi zingine zote zinatoa elimu bora siyo bure elimu ya kutojua kusoma wala kuandika ingawa wahitimu wanamaliza na PhD. Awamu ya kwanza ilitoa elimu bure na bora mpaka Chuo Kikuu ndo ikawa mwisho wa wasomi bora.
 
Sio kweli hazizidi tano sub saharan
Mkuu inaonekana ww bado hujatembea hata nchi moja ya afrika inaonekana hata hiyo nchi jirani yako ilio koloni la tanganyika hujawahi kufika(zanzibar) kwa ufupi ziko nchi nyingi za afrika elimu bure kwa Leo nitakutajia nchi 2 tu, zanzibar na South Africa, mkuu unatoa mada angalia na fact zake kwanza
 
Back
Top Bottom