Yaani huwezi kuamini hivi sisi watanzania tumerogwa ? Ni nani alietuambia kwambwa Chama tawala kitatuleta maendeleo ?
Chama hiki kilipewa jukumu la kuongoza nchi ya Tanzania kwa miaka hamsini sasa. Lakini bado matatizo ni yale yale TANGU UHURU , tunapigana na UJinga, Maradhi na umasikini.
Hivi sasa kuna hiili tatizo la ukosefu wa nishati ya UMEME . Yaani hwa chama tawala wameshaongoza hii nchi kwa miaka 50 lakini bado wanatuletea usanii katika kutupatia umeme. Huyu waziri wa nishati si bora angejiuzuru tu ! Wametufanya Wanzania tuone umeme ni kitu cha anasa sana ! Yaani baada ya kutuongoza kwa miaka 50 tangu tupate uhuru chama tawala ndo wametufikisha hapa , kila kitu shida !
Chama hiki kilipewa jukumu la kuongoza nchi ya Tanzania kwa miaka hamsini sasa. Lakini bado matatizo ni yale yale TANGU UHURU , tunapigana na UJinga, Maradhi na umasikini.
Hivi sasa kuna hiili tatizo la ukosefu wa nishati ya UMEME . Yaani hwa chama tawala wameshaongoza hii nchi kwa miaka 50 lakini bado wanatuletea usanii katika kutupatia umeme. Huyu waziri wa nishati si bora angejiuzuru tu ! Wametufanya Wanzania tuone umeme ni kitu cha anasa sana ! Yaani baada ya kutuongoza kwa miaka 50 tangu tupate uhuru chama tawala ndo wametufikisha hapa , kila kitu shida !