NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Tunaelekea miaka 50 toka uhuru wa Taifa letu pendwa Tanganyika.
Kwa faida ya kumbukumbu kwa sisi wa vizazi vya hapa karibuni na vile vijavyo, nakaribisha wakongwe na vijana kuchangia maada tajwa hapo juu....
Ni lipi unalokumbuka kama tukio tata kuwahi kufanywa na viongozi wa nchi yetu ambalo kwa namna moja au nyingine limechangia kupunguza hatua za maendeleo ya taifa letu na ambalo hakika unaona kama ni kioja kufanywa na kiongozi wa ngazi ya juu kwa taifa.
Nawasilisha kwa mjadala
Kwa faida ya kumbukumbu kwa sisi wa vizazi vya hapa karibuni na vile vijavyo, nakaribisha wakongwe na vijana kuchangia maada tajwa hapo juu....
Ni lipi unalokumbuka kama tukio tata kuwahi kufanywa na viongozi wa nchi yetu ambalo kwa namna moja au nyingine limechangia kupunguza hatua za maendeleo ya taifa letu na ambalo hakika unaona kama ni kioja kufanywa na kiongozi wa ngazi ya juu kwa taifa.
Nawasilisha kwa mjadala