Ndeonasiae
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 102
- 49
Msaada wapendwa,
Mwanangu wa miaka 3.5 haongei, alianza kutaja maneno kama dada na mama akiwa na umri wa miaka 2 lakini hajaimprove mara kadhaa nimemuona akiniita mama lakini ananiita kwa wiki then mwezi mzima haongei tena. hili ni tatizo gani? kusikia anasikia aunachomwambia anafanya ila kuongea haongei. naombeni msaada tafadhali. nimempeleka hosp, wanasema hana tatizo eti ataongea tu, kinachonishtua ni hiyo kuanza kuonge then ananyamaza kabisa
Mwanangu wa miaka 3.5 haongei, alianza kutaja maneno kama dada na mama akiwa na umri wa miaka 2 lakini hajaimprove mara kadhaa nimemuona akiniita mama lakini ananiita kwa wiki then mwezi mzima haongei tena. hili ni tatizo gani? kusikia anasikia aunachomwambia anafanya ila kuongea haongei. naombeni msaada tafadhali. nimempeleka hosp, wanasema hana tatizo eti ataongea tu, kinachonishtua ni hiyo kuanza kuonge then ananyamaza kabisa