Yote yanawezekana ata sasa kama ubinafsi, uchu wa madaraka, ufisadi, ushabiki utatokomezwa lakin kama tukiwa na akili hiz hiz kama za sasa ata tufikishe miaka 10000 bado tutakuwa nyuma.
10:huduma za afya ni bure na zauwakika
11. 1$ = 150Tsh
12: hakuna tena wakuu wa mikoa na wilaya.
13: kwenye maonesho ya sabasaba TESLA kakodi chumba (kipindi hicho itakuwa sio mabanda tena utajengwa ukumbi special) kwaajir ya kuonesha bidhaa zake