Mimi ni mkristo nakupa hiyo utake usitake ukristo ndio unaotawala dunia kuna vitu vingi sana vipo wazi kikubwa zaidi ni kuzaliwa christo(christmas) dunia nzima inasherekea mbaka mabudha nk na tarehe hii tunayotumia na calenda ni christian systemKila mtu akitaka dini yake itawale dunia, yeyote hatabaki salama.
Huu ndio upumbavu wa dini. Kujiona wewe ndiye una ukweli wa Mungu na wengine wote wasio katika dini yako wapotofu.
Ndiyo maana wengine tumezikataa dini.