mi si mcheshi nitapata mpenzi kweli?


ah kumbe alikuwa ananicheka kuwa naboil tuu!!! loh itabidi nimtafute nimgonge tena....sweet pain jamani sii balaa
 
masomo yangu nayo huchangia, mambo magumu in a way nayawaza kila saa, so sense of homour nitaitolea wapi mwenzangu?
 
ah kumbe alikuwa ananicheka kuwa naboil tuu!!! loh itabidi nimtafute nimgonge tena....sweet pain jamani sii balaa

no maybe alikua mtoto sana. inabidi ugegedane na demu anayejitambua bwana sio hao watoto wa shule wanaoona aibu kitandani mpaka wanacheka ovyo! sweet pain ndo mwake! sasa unadhani bila kuumia kidogo demu anafeel mzuka? ndo mana wengi wanapenda kegegedwa kwa nguvu ili asikie kama anateswa hivi kumbe anapewa raha! NOT TOO HARD SAWA BUT TOO SOFT HAPANA BWANA!
UPOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
hahaha... vipi yule anayekuona kama kaka??? ushakata tamaa au? We docta una shida sana...

Jamani, si huyuhuyu kanambia sina sense of homour, nabore na sina stori, nipeni ushauri jamani, sitaki kumkosa, wengi tunaosoma science ndo weaknes yetu.
 

so in theory then hitting it badly should be the practical way ya kumgegeda demu
 
Dogo jana tu hapa nimekupa ushauri mzuri naona leo umekuja na tamthiliya nyingine!
Yule msichana mwingine umeamua kuachana naye?
 
Dogo jana tu hapa nimekupa ushauri mzuri naona leo umekuja na tamthiliya nyingine!
Yule msichana mwingine umeamua kuachana naye?

Bro si huyo ndo kanambia hawezi kuwa nami cos sina sense of homour, sina stori, eti nambore na mengine kibao.
 
Jamani, si huyuhuyu kanambia sina sense of homour, nabore na sina stori, nipeni ushauri jamani, sitaki kumkosa, wengi tunaosoma science ndo weaknes yetu.

ahaa... ndo nakuelewa sasa.. huwezi kujifunza kuchekesha bila kua na uhusiano mzuri na watu wanaokuzunguka.. cha muhimu kuwa social(jamiiana), ongeza interaction na watu sanaa... then utakua mchangamfu na itakusaidia kuwa muongeaji mwenye comfidence na atakupenda.. otherwise nenda short course kwa mpoki...
 
Fungu la kukosa la kukosa!dogo jana tumekushauli saiv naona nikuulize uko hostel au gheto kama utahtaj namba ya cm ntakupa nkupe mbinu zaid hawa watu hawahtaj nguvu kama unavodhan,ndo maana waswahl wanasema watu wa bara kla ktu tunatumia nguvu,ndo maana hata wakat wa kula ugali tunatoa jasho,SIVYO,waschana weng wanapenda sana kucheka au kufurah,kuna jamaa angu mmoja kasoma BOYS alpata sana shda wakat tunaanza chuo lakn saiv anawagegedua mpaka basi,wewe huna tatzo ila umekosa ktu kmoaja cha msng "CONFIDENCE"hujiamin,na waschana wanapenda sana m2 anayejiamin hvo inakuwa knyume,
 

Nipo hosteli masaki bro, number yangu 0654256196
 
Bro si huyo ndo kanambia hawezi kuwa nami cos sina sense of homour, sina stori, eti nambore na mengine kibao.

Hiyo kwa RED imenishtua kidogo...stop chasing em gals unless you change your attitude towards girls
 

Utapata tu usijali, unaweza pata mwenye tabia kama yako sasa sipati picha mkiwa wawili nyumba itakuwa kimya no kelele maana mtakuwa mnatazamana tu
 

Yule demu bado mnachukuliana kaka na dada au umeshafunguka.....Hizi topic zako mbili zimeshaniambia wewe ni mtu na namna gani na nahisi kama naliona tatizo lako japo kwa mbaaaaaaaaaaaali
 
Tatizo sio wewe ndugu yangu, Tatizo masomo yako uliyosoma tangu sekondary yanakufanya uwe hivyo kwani nyie mnakuwaga mabukuworm kinoma. Usihofu kuna uwezekano ukajao house girl wa ndugu yako kama hutaopoa baa made maana mna historia za kushinda baa baada ya kumaliza masomo. Take care.
 
We endelea kuwa serious utawapata serious wenzako maana ndege wanaofanana hupaa pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…