Mi ndoo maana nachelewa kuoa

Kuoa nini bana we kula vitu roho inapenda.nasikia vichic new edition toleo la miaka ya 90 too hot dont miss
 
kweliii nimeamini msemoo wa inspectir haroun....WASIO TAKAA KUOWAA WAZIZI TU,usidate na uzuriii wa njee mazeee mashene yawezekana mbovu,ilaa man next time usichukue pichaa ya mtu face buk ukawekaa hapaaa utafungwaaaa:A S thumbs_down:

Ndio maana siipendi Facebook, kutoka moyoni.
 
Mbona hii mizigo ya kawaida - ila gonga design zote kabla ya kuoa (weupe, weusi, wafupi, warefu, mitindi mikubwa, mitindi midogo, miguu ya convex, miguu ya concave, wakubwa kwa umri, wadogo kwa umri, namba 8, namba 7, uswazi, geti kali, highly educated, less educated, just to mention few)

Huu sasa ufataki!
 
Mbona hii mizigo ya kawaida - ila gonga design zote kabla ya kuoa (weupe, weusi, wafupi, warefu, mitindi mikubwa, mitindi midogo, miguu ya convex, miguu ya concave, wakubwa kwa umri, wadogo kwa umri, namba 8, namba 7, uswazi, geti kali, highly educated, less educated, just to mention few)
Mkuu kweli wewe ni balaa..., yaani hapo ni to mention just a few..., mimi nilidhani umewamaliza wote!!!!!!
 
Remember always beautiful are not yet born, kama unasubiri azaliwe jua ndio siku zako za kwenda udongoni zinavyosogea.
 
samaki wa mapambo haliwi(golden fish)tafuta samaki wa msosi kitoweo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,unakuta mashine za hao wa mapambo,mbovu kubwa zimetumiwa sana,,,,na wengi,....tafuta wa msosi mke.
 
Back
Top Bottom