Mi ndoo maana nachelewa kuoa

Mi ndoo maana nachelewa kuoa

hEBU TUKAFANYE NA KAZI TUACHE KUPOTEZA MUDA MWINGI HUMU
USHAURI WA BURE
 
sasa kinacho kuchelewesha kuoa hapa nini?

attachment.php
 
Ni kweli utachelewa kuoa, lakini utawahi kuzimu!
 
Umri ukiwadia wala hutajiuliza maswali kama hayo...just watch, time will tell
 
swala la kuoa ni la binafsi na siyo lazima.mambo mengi ni kukariri tu
 
Jipe moyo kama hivyo ni vitu ,hayo ni makapi yaliyoko ndani yao wanajua wenyewe wote wagonjwa hao kazi kwako
 
Naonaa sio busara kuchukua picha ya mtu facebuk na kuwekaa hapa bilaa izini yake....hii ni tabia chafu
 
jamani picha za watu hizo si busara kuzitumia!!!!!!!!!!!!!!!!
Naonaa sio busara kuchukua picha ya mtu facebuk na kuwekaa hapa bilaa izini yake....hii ni tabia chafu
 
kweliii nimeamini msemoo wa inspectir haroun....WASIO TAKAA KUOWAA WAZIZI TU,usidate na uzuriii wa njee mazeee mashene yawezekana mbovu,ilaa man next time usichukue pichaa ya mtu face buk ukawekaa hapaaa utafungwaaaa:A S thumbs_down:
 
Back
Top Bottom