kuingia gheto anaingia kiwiziwizi
sababu anaona aibu
hata kiss la shavu njenje hataki
nikimshika mkono mbele ya watu anakasirika
nikimlazimisha anasema mi staki bhana
nikimtambulisha kwa marafiki anajibu aaa wapi!
akiulizwa mi nani wake anasema rafiki, ndugu, binamu nk
nikimuuliza kwa nini anafanya hivyo anajibu mda bado wa kuwa wawazi kiasi hicho
mhhhhhhh!!!!!!!
hayajanitokea bhana ila huwa yapo huenda hata kwako ilishawahi kukutokea!!
Imekula kwako baaaab!!!!
FBorn
<br /><b><font color="#0000cd">Ohoooo, kumbe ni utenzi tu, good weka chorus basi wimbo ukamilike.</font></b>
Na wewe ndio zako nini Swaggaz?yakawaida sana hayo mbona
<br />Na wewe ndio zako nini Swaggaz?<br />
Ofcoz ni ushamba na ulimbukeni wa mademu uliojificcha kwenye vitabia vya sitaki nataka....<br />
Inaboa sana!
<br />When i love someone nataka dunia nzima ijue sijui nyie mna kanuni gani
Mpe member mwenzako ushauri usipite bureNapita tu humu
<br />When i love someone nataka dunia nzima ijue sijui nyie mna kanuni gani
kweli, lakini haya ya kuoneana aibu yatakuwa kikohozi kweli?<br /><br />
<br /><br />
<br />
ni vizuri kujulikana ila itakucost maana leo utatambulishwa na juma, kesho na john...na rafiki wengine wa juma ndo hao hao wa john....mi naona bora iwe kimya waache watu waone wenyewe mapenzi kikohozi hayafichiki
<br />Huyo dada yuko sahihi kabisa..anailinda cv yake mtaani,kwani anaona unataka kumtumia tu..namshauri akupe cha uso kabisaaa.
co hivyo mkuu hapa duniana ukitaka kushangaa kila kitu hutashangaa vingi maana mabo ya giza ni mengi na hayaishi,Na wewe ndio zako nini Swaggaz?
Ofcoz ni ushamba na ulimbukeni wa mademu uliojificcha kwenye vitabia vya sitaki nataka....
Inaboa sana!