Tumesikia sehemu mbali mbali chadema wakiitwa wahuni au chama cha kihuni pia kumekuwa na shutuma sehemu mbalimbali hapa nchini kuwa ccm wanatesa wanachi na kuua napenda kuuliza swali mhuni na muuaji yupi ni afadhali?
Nawasilisha .
Bora mhuni kwani madhara yatakuwa ni kwake mwenyewe ila luuwaji
ana madhara kwa wengine kwani hajiuwi mwenyewe anauwa wengine na madhara ni kwa wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.