GE2025 Mhuni Hasusiwi uchaguzi

GE2025 Mhuni Hasusiwi uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,367
Reaction score
2,404
ACT - Wazalendo wamekuja na ujumbe muhimu sana "#MHUNI HASUSIWI KURA" na OKTOBA - LINDA KURA.
Ni jumbe kali sana. Napenda kuziwakilisha kwa NO REFORM NO ELECTION, ili tuzijadili hoja hizi mbili kwa kina.

Kwani ni takriban miezi 3 mpaka uchaguzi, hatujachelewa kwa jumbe moja au nyingine, meza inaweza kugeuzwa. Wakati wa maamuzi ni huu.
 
Unakua mjingamjinga,pitia fomu zile za maadili ya uchaguzi,zilizosainiwa na viongozi wa ACT na wenzao,uone mtu anatakiwa kulinda kura vipi ilhali haruhusiwi.
29 okt ndio tutazungumza lugha moja. Jana si leo, Maandishi Tz hayafuatwi. Kama katiba yenyewe inakiukwa mchana kweupeeeee, itakuwa hizo fomu za maadili. Na jana si leo, dunia inakwenda haraka sana. Wanajitambua hawa kuliko unavyofikiria wewe.
 
Ninachowasihi ni kimoja: Vyote ni vyama vya upinzani, Tujadili kauli mbiu hizo mbili:
  • #MHUNI HASUSIWI UCHAGUZI
  • NO REFORM NO ELECTION
Tujadili kauli mbiu hizi kwa undani kwa manufaa ya vyama vyote viwili ACT na CHADEMA. Pengine tunaweza kuwashawishi ACT wafikiri mara mbili katika kuingia katika uchaguzi au wana ACT watujengee hoja ili pengine wanaweza kuwashawishi CHADEMA kubadili mawazo yao na kuingia ktk uchaguzi. Dirisha lipo wazi.
 
29 okt ndio tutazungumza lugha moja. Jana si leo, Maandishi Tz hayafuatwi. Kama katiba yenyewe inakiukwa mchana kweupeeeee, itakuwa hizo fomu za maadili. Na jana si leo, dunia inakwenda haraka sana. Wanajitambua hawa kuliko unavyofikiria wewe.
Kwani kama Act na kauli mbiu yao hiyo ya kulinda kura wameamua kushiriki,si wanatosha. Chadema wamesema hawashiriki. Kifupi wameshamsusia kura mhuni. Nyie mnaolinda kura zenu songeni mbele mkalinde achana na Chadema. Kama Chadema kutoshiriki kunakupa sonona tafuta dawa tu. Kwani utakufa bure. Au hamia Act ama Chaumma
 
29 okt ndio tutazungumza lugha moja. Jana si leo, Maandishi Tz hayafuatwi. Kama katiba yenyewe inakiukwa mchana kweupeeeee, itakuwa hizo fomu za maadili. Na jana si leo, dunia inakwenda haraka sana. Wanajitambua hawa kuliko unavyofikiria wewe.

Inamaana wataanza kujitambua oktoba 29, Mpina ameshindwa kulinda jina lake huko kisesa, Ndo atalinda kula za Uraisi?

Watu sio wajinga bhana.
 
ACT is a joke, a big joke in town. 😁
#MHUNI HASUSIWI UCHGUZI - Tuseme usemi huu ni joke ya mwaka na NO REFORM NO ELECTION ndio habari ya mjini, Swali hivi huko nyuma CHADEMA imewahi kususia uchaguzi? Kama jibu ni yes, ilipata nini?
 
Kwani kama Act na kauli mbiu yao hiyo ya kulinda kura wameamua kushiriki,si wanatosha. Chadema wamesema hawashiriki. Kifupi wameshamsusia kura mhuni. Nyie mnaolinda kura zenu songeni mbele mkalinde achana na Chadema. Kama Chadema kutoshiriki kunakupa sonona tafuta dawa tu. Kwani utakufa bure. Au hamia Act ama Chaumma
Maneno yako sawia, maana umekuja na jibu, na jibu hilo ndio linafanya watu kuhama chama. Ila swali langu fikirishi , ni nani kati yenu na Mhuni hasusiwi kura na ni yupo sahihi?
 
Inamaana wataanza kujitambua oktoba 29, Mpina ameshindwa kulinda jina lake huko kisesa, Ndo atalinda kula za Uraisi?

Watu sio wajinga bhana.
Watu sio wajinga, ila hutafuta majibu nje ya box kama ukiwabana na jibu lako tu.
 
Maneno yako sawia, maana umekuja na jibu, na jibu hilo ndio linafanya watu kuhama chama. Ila swali langu fikirishi , ni nani kati yenu na Mhuni hasusiwi kura na ni yupo sahihi?

..ACT wange-focus kwenye kampeni ya " Oktoba tunalinda kura. "

..kujibizana na Chadema kunawapunguzia nguvu ya kupambana na Ccm.
 
Maneno yako sawia, maana umekuja na jibu, na jibu hilo ndio linafanya watu kuhama chama. Ila swali langu fikirishi , ni nani kati yenu na Mhuni hasusiwi kura na ni yupo sahihi?
Wote wako sahihi, aliyesusia yuko sahihi kwa sababu zake kuwa hawezi shiriki uchaguzi katika mazingira kama yaliyopo maana anajua yaliyotokea 2020 na hata hapa mwaka jana tu. Mhuni yuko sahihi kwani uibaji wa kura wa mwaka huu utakuwa rahisi sana kwake.
 
ACT - Wazalendo wamekuja na ujumbe muhimu sana "#MHUNI HASUSIWI KURA" na OKTOBA - LINDA KURA.
Ni jumbe kali sana. Napenda kuziwakilisha kwa NO REFORM NO ELECTION, ili tuzijadili hoja hizi mbili kwa kina.

Kwani ni takriban miezi 3 mpaka uchaguzi, hatujachelewa kwa jumbe moja au nyingine, meza inaweza kugeuzwa. Wakati wa maamuzi ni huu.
Umelewa au ndivyo ulivyo?
 
ACT - Wazalendo wamekuja na ujumbe muhimu sana "#MHUNI HASUSIWI KURA" na OKTOBA - LINDA KURA.
Ni jumbe kali sana. Napenda kuziwakilisha kwa NO REFORM NO ELECTION, ili tuzijadili hoja hizi mbili kwa kina.

Kwani ni takriban miezi 3 mpaka uchaguzi, hatujachelewa kwa jumbe moja au nyingine, meza inaweza kugeuzwa. Wakati wa maamuzi ni huu.
Hakuna uchaguzi mwaka huu. HAUPO!
 
Umelewa au ndivyo ulivyo?
Nashukuru kwa kunielewa nilivyo. Ila nikukumbushe tu kitu kimoja: katika siasa hakunaga 100% ya mawazo sahihi. Kilichopo ni mawazo/idiolojia tofauti yenye lengo la kufika katika kituo kimoja. Hili zingatia, ndio maana huachwa mwanya wa majadiliano, maridhiano na toa na chukua (give and take). Ukishindwa kuishi na hii dhana, acha siasa ingia katika harakati.
 
Wote wako sahihi, aliyesusia yuko sahihi kwa sababu zake kuwa hawezi shiriki uchaguzi katika mazingira kama yaliyopo maana anajua yaliyotokea 2020 na hata hapa mwaka jana tu. Mhuni yuko sahihi kwani uibaji wa kura wa mwaka huu utakuwa rahisi sana kwake.
👍
 
Back
Top Bottom