Mhudumu wa stationery-malimbe (mwanza)

Mhudumu wa stationery-malimbe (mwanza)

sigienet

Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
57
Reaction score
3
A newly established stationery at Malimbe (Saut) is looking for a young lady as an attendant.

Stationery ina mazingira mazuri ya kufanya kazi pamoja na vitendea kazi bora.


Sifa:


Awe msichana kati ya miaka 18-24

Awe anaishi jirani na Chuo kikuu SAUT (Umbali wa upanda dala dala moja tu)

Awe mcheshi

Awe na uwezo wa ku-type kwa speed, kufanya lamination, binding na scanning

Awe na uwezo wa kutumia photocopy machine kubwa

Awe na uwezo wa kuongea vizuri na wateja

Mshahara:

Mzuri na ni maelewano

Contact:

Kwa mawasiliano tuma Private Message, zitajibiwa.

Deadline:

Mwisho wa kupokea maombi ni jumapili tarehe 12 october 2013
 
Duh... mie nina 34yrs ila vigezo vyoote nakidhi je ninaqualify???
 
Back
Top Bottom