Mhubiri wa kimataifa, Nabii Shepherd Bushiri atabiri Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia

Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
hana lolote huyo
anatumiwa na kina bashite
 
Unaota wewe upe nafasi ubongo wako kuwaza nje ya vitabu vya Wazungu ulivyosoma . Mimi nimeupa ubongo kuwaza nje ya text books zote nilizosoma nimegundua kitu.Wewe kaa Na mi knowledge ya text books kama utakuja gundua kitu utaishia tu Ku quote Na Ku cite mawazo ya wengine .Tupo watanzania tumejipanga.Wewe zubaa hapo hapo uje utu quote Na kutu cite mawazo yetu tukishagundua.Hivi huoni haya wewe kutwa Ku quote Na Ku cite mawazo ya wengine Na walivyogundua? Poor you.Huna chako cha kuwa quoted Na kuwa cited?
Sipingani na mawazo yako ila kwanza ungesoma ulichokiandika(kwenye post yako hii) kisha ukakielewa ni kuwa umesema umewaza nje ya vitabu vya wazungu halafu unataka kutumia knowledge na vipimo vya wazungu kufanya uvumbuzi wako? Kivipi?
 
Amesemaje kuhusu ugunduzi mpya nchini Tanzania ambapo mwanasiasa aliyechaguliwa na wananchi waliomuamini anajiuzulu, anagombea tena nafasi ile ile na tena kwa gharama kubwaa zaidi?
 
sijui kwa nini lakini nadhani huyu ametokea huko kwao kuja kunitabiria mimi, tokea kipindi nasoma sekondari mpaka sasa nime invest mda wangu mwingi kwenye ku-develop Tech systeams tofauti tofauti, kwa kipindi naanza nilitenga 4yr' ya kutengeneza Tech ideas kwa kizingatia development growh ya tech sector, Pia miaka 2' ya kutengeneza mtaja (30-50ml) wa kuanzisha tech campany na Miaka 4' ya kuleta mapinduzi africa na duniani. "kwa kipindi hicho cha miaka 4 nitakuwa 1st' billionair in africa na 7-25 world wide'
Huu ndo mwaka wa 4 wa miaka mnne ya kwanza.
20/09/2018
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
Muuongo huyo
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
Anataka sadaka huyo hhana jipya
 
sijui kwa nini lakini nadhani huyu ametokea huko kwao kuja kunitabiria mimi, tokea kipindi nasoma sekondari mpaka sasa nime invest mda wangu mwingi kwenye ku-develop Tech systeams tofauti tofauti, kwa kipindi naanza nilitenga 4yr' ya kutengeneza Tech ideas kwa kizingatia development growh ya tech sector, Pia miaka 2' ya kutengeneza mtaja (30-50ml) wa kuanzisha tech campany na Miaka 4' ya kuleta mapinduzi africa na duniani. "kwa kipindi hicho cha miaka 4 nitakuwa 1st' billionair in africa na 7-25 world wide'
Huu ndo mwaka wa 4 wa miaka mnne ya kwanza.
Age:19
#God_help_me_tn_achieve_my_dream.
CYBERGATES 20/09/2018
Mkuu hongera
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
Shimo kubwa kabisa la kuingia kuzimu linapatikana Kilimanjaro.
 
Alikuwa anawafurahisha kondoa wa kiTZ ila kwa hali ilivyo hata tupewe miaka 70 katu hatutaweza na kufikia alichokitabiri
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe



Anafahamu jinsi ya kula na kipofu, angetusema vibaya tungeacha kumsikiliza.
 
Back
Top Bottom