Jamaa anazingua sana afu ile miujiza feki yake anashtukiwa sana mara kwa mara.Toka ile scandal yake ya kuwala waumini wake alinitoka kabisa
Botswana walimfukuzilia mbali.
Jamaa anazingua sana afu ile miujiza feki yake anashtukiwa sana mara kwa mara.Toka ile scandal yake ya kuwala waumini wake alinitoka kabisa
hana lolote huyoMhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.
Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.
Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.
Nipashe
Kumbe yupo Tz? Unategemea aseme nini?
Sipingani na mawazo yako ila kwanza ungesoma ulichokiandika(kwenye post yako hii) kisha ukakielewa ni kuwa umesema umewaza nje ya vitabu vya wazungu halafu unataka kutumia knowledge na vipimo vya wazungu kufanya uvumbuzi wako? Kivipi?Unaota wewe upe nafasi ubongo wako kuwaza nje ya vitabu vya Wazungu ulivyosoma . Mimi nimeupa ubongo kuwaza nje ya text books zote nilizosoma nimegundua kitu.Wewe kaa Na mi knowledge ya text books kama utakuja gundua kitu utaishia tu Ku quote Na Ku cite mawazo ya wengine .Tupo watanzania tumejipanga.Wewe zubaa hapo hapo uje utu quote Na kutu cite mawazo yetu tukishagundua.Hivi huoni haya wewe kutwa Ku quote Na Ku cite mawazo ya wengine Na walivyogundua? Poor you.Huna chako cha kuwa quoted Na kuwa cited?
Yule aliyemzushia alijitokeza kuomba msamahaa,by the way huwez kuzia watu kukuzushia mara nyingi wanaozusha hawana ushahidiToka ile scandal yake ya kuwala waumini wake alinitoka kabisa
Muuongo huyoMhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.
Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.
Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.
Nipashe
Anataka sadaka huyo hhana jipyaMhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.
Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.
Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.
Nipashe
Mkuu hongerasijui kwa nini lakini nadhani huyu ametokea huko kwao kuja kunitabiria mimi, tokea kipindi nasoma sekondari mpaka sasa nime invest mda wangu mwingi kwenye ku-develop Tech systeams tofauti tofauti, kwa kipindi naanza nilitenga 4yr' ya kutengeneza Tech ideas kwa kizingatia development growh ya tech sector, Pia miaka 2' ya kutengeneza mtaja (30-50ml) wa kuanzisha tech campany na Miaka 4' ya kuleta mapinduzi africa na duniani. "kwa kipindi hicho cha miaka 4 nitakuwa 1st' billionair in africa na 7-25 world wide'
Huu ndo mwaka wa 4 wa miaka mnne ya kwanza.
Age:19
#God_help_me_tn_achieve_my_dream.
CYBERGATES 20/09/2018
Shimo kubwa kabisa la kuingia kuzimu linapatikana Kilimanjaro.Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.
Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.
Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.
Nipashe
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.
Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.
Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.
Nipashe
Kumbe?Yule aliyemzushia alijitokeza kuomba msamahaa,by the way huwez kuzia watu kukuzushia mara nyingi wanaozusha hawana ushahidi
HahahahahhaaaHuenda ikawa kweli manake mi binafsi nimegundua dawa ya kienyeji ya kuuwa mende, nimekosa wafadhili tu.