Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Acha wapigwe tu, wahindi ndo wanadumaza uchumi wetu, hawaishi na sisi uraiani wote wanaishi nyumba za NHC, ni wabaguzi sana hawa jamaa, hela zao zote huwa wanahamisha baada ya mauzo wanapaleka na kwenda kujenga kwao India wakati wamechumia hapa bongo, pia ndo wanaongoza kuwemo kwenye kashfa zote za kuiibia serikali mfano sakata la epa na rada. mie kiukweli siwapendi kabisa kwa sababu sio wenzetu kabisa wanatunyanyasia sana ndugu zetu wanaofanya kazi kwenye himaya zao.
Kwanini usingeandika mtu mmoja kapigwa risasi na majambazi??? Kwanini uandike mhindi??
Huo ni ubaguzi...
Siyo ubaguzi, wao pia wanatuita golo, je siyo ubaguzi??
kw mtazamo wangu,nadhani mtoa mada/taarifa alikua ana lengo la kutujuza utaifa wa marehemu kwani hata mtanzania akiwa nchi nyingine,atabaki kuwa mtanzania tu,kwa mfano kuna mwana jf alishawahi kuripoti ,'mtanzania'akutwa na madawa ya kulevya China.Nawasilisha.Kwanini usingeandika mtu mmoja kapigwa risasi na majambazi??? Kwanini uandike mhindi??
Huo ni ubaguzi...
Kwanini usingeandika mtu mmoja kapigwa risasi na majambazi??? Kwanini uandike mhindi??
Huo ni ubaguzi...
Au angeandika raia mwenya asili ya kihindi
kweli mkuukw mtazamo wangu,nadhani mtoa mada/taarifa alikua ana lengo la kutujuza utaifa wa marehemu kwani hata mtanzania akiwa nchi nyingine,atabaki kuwa mtanzania tu,kwa mfano kuna mwana jf alishawahi kuripoti ,'mtanzania'akutwa na madawa ya kulevya China.Nawasilisha.
we nani kakutaza kuishi oyster bay na kujilimbikizia uswiss?
We umenena ...hongera kwa kuwajuza maana humu jf watu wanafata mkumbo akianza mmoja woote wanafata...hasa kutajwa mhind wanalalama nini ... SABANI KATA SHAHARA VEVE !!! R.I.P MHINDI.JAMANI MI NAMUUNGA MGUU MTOA MADA JPO KUNA WATU HAPA WANATAKA KUJIFANYA HAWAJAELEWA AU WANAJUA KISWAHILI!!NANI MABINGWA wa kuwabagua watu hapa TZ TENA KWETU KAMA SI WAHINDI?ULIZA WALIOWAI FANYIA KWA WAHINDI...Mvulana yoyote ni juma jama kuja hapa veve iba wewe duka angu...swahili bana jivi sana.....sisemi ndo kuwalipishia lla lengo lamtoamaa ni kudroo attention na kujua kumbe leo ni mhindii....mana imezoeleka ni waswahili wanaoporwa!!kwani hamjawai sikia watu kumi wamefariki na mmasai mmoja kwenye ajali?.....penda lalama veve JUMA!!
wambie mhindi kauwawaWe umenena ...hongera kwa kuwajuza maana humu jf watu wanafata mkumbo akianza mmoja woote wanafata...hasa kutajwa mhind wanalalama nini ... SABANI KATA SHAHARA VEVE !!! R.I.P MHINDI.
wambie mhindi kauwawaWe umenena ...hongera kwa kuwajuza maana humu jf watu wanafata mkumbo akianza mmoja woote wanafata...hasa kutajwa mhind wanalalama nini ... SABANI KATA SHAHARA VEVE !!! R.I.P MHINDI.
We nani kakutaza kuishi oyster bay na kujilimbikizia uswiss?
Kwanini usingeandika mtu mmoja kapigwa risasi na majambazi??? Kwanini uandike mhindi??
Huo ni ubaguzi...