Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Wakuu,
Najua katika pitapita za maduka ya wahindi utakumbwa na macho yanayokushuku kua umekuja kuiba mle dukani.Jana hali hii ilitokea mjini Nakuru na jamaa mwenye duka akaamua kumletea customer wa kiafrika usenge..eti kaja kuiba.Punde si punde ngumi zikaanza na muhuindi wa watu alipewa kibano cha kishua.Mwera zenyewe zilishindwa la kufanya ila kumwambia jamaa kubali yaishe..kupigwa umepigwa na ni ujinga wake mwenyewe.
Cheki picha hio:
Sio kwa ubaya lakini hii mijitu hua inaniuzi kwa kasumba hizi za kipuzi!
Najua katika pitapita za maduka ya wahindi utakumbwa na macho yanayokushuku kua umekuja kuiba mle dukani.Jana hali hii ilitokea mjini Nakuru na jamaa mwenye duka akaamua kumletea customer wa kiafrika usenge..eti kaja kuiba.Punde si punde ngumi zikaanza na muhuindi wa watu alipewa kibano cha kishua.Mwera zenyewe zilishindwa la kufanya ila kumwambia jamaa kubali yaishe..kupigwa umepigwa na ni ujinga wake mwenyewe.
Cheki picha hio:

Sio kwa ubaya lakini hii mijitu hua inaniuzi kwa kasumba hizi za kipuzi!