Mligo Augustino
Senior Member
- Nov 29, 2017
- 126
- 278
Tumeona utekelizaji wa serikali kuhamia Dodoma ukienda kwa kasi nzuri. Bunge liko Dodoma, Makamu wa Raisi ameshahamia Dodoma,Waziri Mkuu ameshahamia Dodoma,Raisi ameweka bayana kuwa mwakani anahamia Dodoma.Safi sana.
Kwa nini mhimili wa Mahakama hauonyeshi dalili za kuhamia Dodoma? Hivi wanataka mkuu wa dola(Raisi) atakapohamia Dodoma mwakani, akaribishwe na nani? Au wanataka mpaka Raisi atangulie kuhamia Dodoma, then wao waje?
Kwa busara ya kawaida sisi wananchi tunatarajia MHIMILI WA MAHAKAMA uhamie Dodoma kabla ya Mheshimiwa Raisi kuhamia Dodoma.Raisi ni HEAD OF STATE(Ibara ya 33 ya Katiba).Kikatiba mihimili yote mitatu ipo chini ya Raisi wa Jamhuri.
Kwa nini mhimili wa Mahakama hauonyeshi dalili za kuhamia Dodoma? Hivi wanataka mkuu wa dola(Raisi) atakapohamia Dodoma mwakani, akaribishwe na nani? Au wanataka mpaka Raisi atangulie kuhamia Dodoma, then wao waje?
Kwa busara ya kawaida sisi wananchi tunatarajia MHIMILI WA MAHAKAMA uhamie Dodoma kabla ya Mheshimiwa Raisi kuhamia Dodoma.Raisi ni HEAD OF STATE(Ibara ya 33 ya Katiba).Kikatiba mihimili yote mitatu ipo chini ya Raisi wa Jamhuri.