Nilikua naangalia taarifa ya habari ya ITV nikajikuta nimepatwa na hasira sana. siku zote najua jk brain yake haipo ok ila leo kadhibitisha asilimia mia kuwa there is a nut missing.
yaani alikuwa anaongea as if yupo kwenye mipasho ya taarabu eti ANAPONDA UZINIFU NA UVUNJIFU WA AMRI YA SITA YA Dr Slaa. nikajiuliza kichwani hivi hayo yanatuhusu nn ss raia. ss tunataka atuambie yy atatufanyia nn personal affairs za watu ss hazituhusu. kwanza yy ni mchafu kuliko hata anayemsema.
kwakweli busara zake ni 40%. housegirl wangu mwenyewe hana elimu lakini amemshangaa sana.
by the way,mi si mwanachama wa chama chochote ila kura yangu aisahauuuuuuuu.
yaani alikuwa anaongea as if yupo kwenye mipasho ya taarabu eti ANAPONDA UZINIFU NA UVUNJIFU WA AMRI YA SITA YA Dr Slaa. nikajiuliza kichwani hivi hayo yanatuhusu nn ss raia. ss tunataka atuambie yy atatufanyia nn personal affairs za watu ss hazituhusu. kwanza yy ni mchafu kuliko hata anayemsema.
kwakweli busara zake ni 40%. housegirl wangu mwenyewe hana elimu lakini amemshangaa sana.
by the way,mi si mwanachama wa chama chochote ila kura yangu aisahauuuuuuuu.