anasema ukweli haya yote tunafanya kwa masilahi ya taifa
anasema wauwaji wa tembo wanajulikana
namsikia ,kwa jinsi anavyotoka kipovu , ni kama hao majangili anawajua kwa nini hawataji ? Yeye anasema wanajulikana na kataja sehemu kibao ,hivyo yeye anaweza kuwa chanzi kizuri cha kuwataja hao vigogo ,vinginevyo atakuwa anajikosha ,na kila kitu namshukuru Raisi ,jeshi linapoingia lina aina yake ya kiutendaji ndivyo alivyosema amekusudia jeshi nalo litaharibu ,alisitisha kusema hivyo.
umelazimishwa kuchangia uzi huu
Mmbea tu kwa nini asiwataje kama anawajua anatafuta sifa za kitoto.anasema wauwaji wa tembo wanajulikana
Hana lolote wala hana jipya ni wale wale tu wanaopigana kwenye vikao.Anazidi kudai kuna watu wanajulikana ,hivi yeye kama anawajua awataje hapo au nae anaogopa ,penginehapo sio pahala pake.
Anazidi kudai kuna watu wanajulikana ,hivi yeye kama anawajua awataje hapo au nae anaogopa ,penginehapo sio pahala pake.