NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Hii thread si imefutwa???
MODS, naomba mtoe hii kitu.
MODS, naomba mtoe hii kitu.
Mmbea tu kwa nini asiwataje kama anawajua anatafuta sifa za kitoto.
Mmbea tu kwa nini asiwataje kama anawajua anatafuta sifa za kitoto.
namsikia ,kwa jinsi anavyotoka kipovu , ni kama hao majangili anawajua kwa nini hawataji ? Yeye anasema wanajulikana na kataja sehemu kibao ,hivyo yeye anaweza kuwa chanzi kizuri cha kuwataja hao vigogo ,vinginevyo atakuwa anajikosha ,na kila kitu namshukuru Raisi ,jeshi linapoingia lina aina yake ya kiutendaji ndivyo alivyosema amekusudia jeshi nalo litaharibu ,alisitisha kusema hivyo.
Anaongea manyago tu.
Mmbea tu kwa nini asiwataje kama anawajua anatafuta sifa za kitoto.
Mmbea tu kwa nini asiwataje kama anawajua anatafuta sifa za kitoto.
Ila Msigwa Kidogo..kichwani yuko timamu, huwezi kumfananisha na LEMA.
Kwani hajawahi kuwataja? Kuna msomali Kinana na Lukuvi. Au nawewe huwajui hawa?
Kama aliwataja kwanini asiwataje Tena na tena mpaka tukamuelewa !Mi nashangaa sana ,kabakia wanajulikana wapo keko ,ubungo ,kibandamaiti ,,hakuna jina ,sasa anaogopa kitu gani ,kwani wale mafisadi si walitajwa mchana kweupe kwenye mkutano na hao hao CDM ,labda kama alivyosema mfuasi mmoja humu kuwa kesi zipo mahakamani ,hapo panakamatika.
Nimeona udhaifu wake pale aliposema au alipoulizwa , Je kama ni wewe ,kama ni wewe ndio Waziri husika ungechukua hatua gani ? Yaani hapo ndipo nilipomuona jamaa hajui atendalo au analolihubiri ,anaenda kusema eti nitamuendea bosi wangu na kumwambia nahitaji kufanya ,1,2,3,4 na tano , amewateta waziri ,halafu yeye anasema atamuendea raisi ,Ndugu umeshapewa dhamana ya Uwaziri kutekeleza majukumu yako inabidi umuendee Raisi ,sasa huo Uwaziri utakuwa na faida gani kwako na WaTanzania ,hapa nimemuona kavuruga kila kitu ,,kwa nini asiseme nitawachukulia hatua kali wale wote watakaobainika na kuhakikisha wanafikishwa mbele ya haki ,jambo ambalo alilitetea mwanzo kwa kuvilaumu baadhi ya vyombo kama TANAPA na vingine.
Sasa mtu wa aina hii anaesema nitaenda kusema kwa Raisi kaono hili na lile na anaona afanye hili na lile ,huyu jamaa si atamtosa raisi wake na yeye kujiweka mbali ,yaani hawa ndio wanaotarajiwa kushika uongozi ? kweli bado Chama kichanga..
Kuna haja gani yakurudia kuwataja? Je alipowataja nihatua gani serikali iliweza kuwachukulia hatua? Serikali ya chama cha majangili.(ccm) imeshindwa kuwachukulia hatua kwani wao ndio wahusika wakuu wa ujangili huo.
Kuhusu Tembo wetu wanaouwawa na majangili ambao miongoni mwao kuna vigogo wa serikali
Unapolaumu usilaumu mara moja au mbili ,unalaumu zaidi ya mara mia ,hivyo kuwataja na haswa ilivyokuwa kupitiaa ITV ,kwani una uhakika kuwa wengi wa watu wanasikiliza na kutazama ,na kuna msemo mupaka kieleweke ,sasa kuwataja kila wakati sio kosa ni lazima watajwe ,, wenye kosa ni wale wasiochukua hatua baada ya wahusika kutajwa
Yeye asione kosa kuwataja hadharani kila anaponafasika ,ikiwa tu anauhakika nao na ushahidi anao basi awataje,lakini kutaja mara moja tena kwenye vikao vya bungeni hio haitoshi kwani pale bungeni ni sehemu iliyojaa visa na mikasa pamoja na vichekesho sasa huoni kama kuwataja hapo bungeni ilikuwa ni kuchekesha wanaosinzia ?
namsikia ,kwa jinsi anavyotoka kipovu , ni kama hao majangili anawajua kwa nini hawataji ? Yeye anasema wanajulikana na kataja sehemu kibao ,hivyo yeye anaweza kuwa chanzi kizuri cha kuwataja hao vigogo ,vinginevyo atakuwa anajikosha ,na kila kitu namshukuru Raisi ,jeshi linapoingia lina aina yake ya kiutendaji ndivyo alivyosema amekusudia jeshi nalo litaharibu ,alisitisha kusema hivyo.
sizani kama unaelewa walicho mwitia hapo kwenye kipindi hawajamwita ataje majangiri mwenye dhamana yakuwataja ni wazili kama hujui yeye kaziyake nikufafanua na kumwambia wazili afatilie
Mmbea tu kwa nini asiwataje kama anawajua anatafuta sifa za kitoto.