Mheshimiwa Juma Nkamia

Mheshimiwa Juma Nkamia

Status
Not open for further replies.

H20

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
341
Reaction score
170
Ndugu wadau,
Namleta kwenu Mheshimiwa Juma Suleimani Nkamia (Mbunge), kutoka Kondoa Kusini CCM, aliwahi kuwa mtangazaji wa RTD, VOA, BBC na TBC , pia aliwahi kuwa katibu mwenezi wa wekundu wa Msimbazi.

Mheshimiwa huyu kwa wale wanaofuatilia vikao vya bunge alitoa kauli tata kwamba haongei na Mbwa ila na mfuga mbwa. Na hivi majuzi iliripotiwa kuwa alimporomoshea maneno mazito na vitisho mbunge mwenzake wakiwa bungeni. Nimejaribu kuangalia sehemu ya CV yake na kuona jinsi ambavyo education wise hakuwa stable (nomad) especially Primary school na high school.
Hapa nieleweke vyema siwasakami waliohamahama shule enzi zao kwani yawezekana ni kutokana na ajira walizokuwa nazo wazazi wao. ( Although kwa Juma the case may be true for primary school) Sasa kwa kufuatilia mind instability yake kama Mbunge na jinsi alivyohama high schools tatu. Mnafikiri inawezekana ni suala la kitabia likachangia kuhama shule 3 au kuchelewa kumaliza shule. Pia kwa kutathmini tabia zake waweza kupata picha ya historia ya makuzi ya Mheshimiwa Juma, na kama unavyoona instability yake je mwaka 2015 inawezekana akatetea jimbo lake na instability yake?
Naomba kuwakilisha!

Iyoli Primary School, Kondoa Primary Education 1980 1984 PRIMARY
Bicha Primary School, Kondoa Primary Education 1978 1980 PRIMARY

Sengerema High School A-Level Education 1991 1991 HIGH SCHOOL
Mzumbe High School A-Level Education 1991 1992 HIGH SCHOOL
Same Secondary School A-Level Education 1989 1990 HIGH SCHOOL
 
huyu kichaa hata bila ya kuiona cv yake unaweza kujua educational background yake, eti wanamwita alhaj juma nkamia huyu, mpuuzi tu huyu...
 
huyu kichaa hata bila ya kuiona cv yake unaweza kujua educational background yake, eti wanamwita alhaj juma nkamia huyu, mpuuzi tu huyu...

Alhaj gani kila siku yupo bwiiiiii na malinjelinje kibao ya pombe!!?? Anaudhalilisha uislam kiasi kwamba hata hiyo sifa ya u-alhaj anaitia najisi.
 
mkuu huyu kujadiliwa humu naona kama tunapoteza muda hana hadhi ya kujadiliwa humu jukwaani kwani anasifa ya kuropoka wakati anavaa suti na tai ajui ata ethics za suti na tai aggh
 
ilisemwa hapa jukwaani pia mheshimiwa huyu haipendi Jamii Forums.
 
Hebu naomba kale ka cv ka Mbowe! Tuwekee na kasugu apa. Mamaaaaaaaa lema kasoma Malawi, Mnyika Adult university.
 
Unaweza usiende shule lakini ukawa na busara za kuzaliwa tu, sasa mheshimiwa huyu sijui yuko kundi gani?
 
MIMI NIPO UDOM NA NINASOMA NAYE DARASA MOJA, UKWELI NI KUWA NKAMIA HAJITAMBUI,KUNA SIKU PROF. ALIKUA ANAFUNDISHA COMPERATIVE POLITICAL THOUGHT AKATOA MIFANO YA KAUL YA WANASIASA NKAMIA MTORO WA BUNGE AKASEMA NA ILE SIONGEI NA MBWA! PIA JAMAA NI MLEVI SANA ANA MATUSI MENGI,MALAYA SANA, ALIKUWA ANAFANYIWA ASSIGNMENTS,KWA KIFUPI NI JANGA,SIMSINGIZII NJOON MCHUNGUZE. KWA UJINGA ANAOFANYA BADO WANA CCM WENZANGU WAMEENDELEA KUMPA MISIFA,KATIBU CCM UDOM TUYELE BENIAS ANADANGANYIKA SANA,KUNA SIKU TULIITWA HOTEL 1 MJIN KUKUTANA NA VIONGOZ TULIKULA SANA KILICHONISHANGAZA NI KUAMBIWA TUSEME CHAMA CHETU NI SAFI MOYON SIKUAFIK KWAN WALITUPA VIGEZO KUWA TUWAULIZE WAPINZAN, WAO WAMEFANYA NN? KINGINE NI NKAMIA ALIPOSIMAMA NA KUSEMA KUNA MALECTURE WANAMPA FAVOUR ILI MAGRADUATEE WA 2011 AWEPO NA MBUNGE,NILIJIULIZA HUYU ANGESOMA ST AUGUSTINE ANGETOKA? NAIPENDA CCM TOKA MOYON ILA KWA HAYA MAMBO YA HOVYO NAPATA TABU KIDOGO,KWENYE VIKAO VYA CHAMA BADALA TUJADIL HOJA ZA KUTETEA WATZ KUMEKUWA NA MAJUNGU,UKISEMA UKWEL WE CDM. daa!
 
eliza.cute huna lolote nawewe ni walewale akina nkamia, we huko magamba unafanya nini kama sio njaa zako? wanafiki nyie.
 
NKAMIA huna lolote zaidi ya uchizi na laana zetu zinakusumbua.eti unasema jf ifungiwe we timamu kweli?
 
Nishawai kusoma sehemu eti aliwafanyia mbaya waandishi wa habari wa kike...jamaa anajisikia sana,kwenda nje anajiona kamaliza..
 
Nkamia ni kituko gani?

Afadhali ya yeye kuliko Mbowe, Sugu na Msigwa. Elimu Yao viongozi wa CDM hawana elimu ni vilaza wa kufa maana hata mzumbe hawakupata Bahati ya kwenda special school
 
Nishawai kusoma sehemu eti aliwafanyia mbaya waandishi wa habari wa kike...jamaa anajisikia sana,kwenda nje anajiona kamaliza..

Anajidai Kama Sugu? Kama Mbowe? Afadhali ya Nkamia kuliko hao wa kwenu maana lol ni full majuha
 
NKAMIA huna lolote zaidi ya uchizi na laana zetu zinakusumbua.eti unasema jf ifungiwe we timamu kweli?

Kama chizi Nkamia basi CDM mnaongoza mbona Lissu alishawahi kuokota makopo. Machizi wengine Kama vile Mnyika Mzee wa evening class, Sugu Mzee wa Zero, Mbowe Mzee wa mademu
 
Afadhali ya yeye kuliko Mbowe, Sugu na Msigwa. Elimu Yao viongozi wa CDM hawana elimu ni vilaza wa kufa maana hata mzumbe hawakupata Bahati ya kwenda special school

Duh!Kama hao wa special school hawajitambui!!!Afadhali ya ambao hawakwenda huko.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom