This is waaay below the belt, literary!.
Hii ni bahati mbaya tu, tuache kumkosea adabu huyu mzee. Kwa kuwa huyu wengine ni kama mzazi wetu na kwa kudumisha integrity ya JF natoa ombi hii picha itolewe. Haijalishi kama kwenye vyombo vingine vya habari wamemtoa hivyo.
Green,
Siyo bahati mbaya,
Mh waziri alikuwa bize sana kufanikisha mipango ya ndege ya raisi hata watanzania tukila nyasi!!
Kwa mtaji huo hiyo kazi alo kuwa akiifanya kwa vile imesababisha watanzaia tusote, sioni kwanini ahifadhiwe, tena kama kuna mwenye anuani pepe yake tafadhali tumtumie (lol!)