mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
kumbe huyu fisadi namba moja ana mashushushu huku jamvini kazi kweli kweli
CDM, mbona Lowassa anawaumiza kichwa sana? Kumbukeni Lowasa ni mbunge tu...but mnahaha!
Topic Information
There are currently 176 users browsing this thread. (36 members and 140 guests
tuache ubishi tuache utani tuseme kweli,jamani LOWASSA ANAPENDWA SANA ANaEBISHA AJINYONGE
Kupinga uwezo wa kiuongozi wa mteule huyu ni sawa na kujaribu kukinga risasi kwa ungo. Semeni mpaka makoo yenu yazeeke lakini mtake msitake. Jembe EL Ndiye Rais ajaye!
Topic Information
There are currently 176 users browsing this thread. (36 members and 140 guests
tuache ubishi tuache utani tuseme kweli,jamani LOWASSA ANAPENDWA SANA ANaEBISHA AJINYONGE
Hii habari imekamata watu aisee.....
There are currently 299 users browsing this thread. (82 members and 217 guests)
Chonde chonde asije akajiuzia magogoni kama alivyofanya ardhi iliyojengwa Nashera.
Ukizingatia kwamba magogoni ni beach na panalipa sana kwa Hotel
Mkuu ahsante nitaangalia kwa makini. Pia nitauliza wapambe wake wa karibu ili nijue kama kweli amedhoofika zaidi na mkono wake ina shida.mkuu Kimbunga,
kwanza muangalie sana akiwa anatembea ule mkono wake wa kushoto...hata kwenye baada ya kuongea na wanahabari TBC ameonekana...mchunguze sana anavyotembea, namna mkono wa kushoto unavyo behave akiwa kwenye mwendo, halafu uje na maoni tena, sidhani kama yatakuwa kama hayo hapo uliyoyatoa sasa hivi. Sidhani kama anahitaji kueleza hali yake ikoje maadam wapo wanaoweza kumwona vizuri...
Hawa TBC nadhani watarudia tena ile taarifa, stay tuned.
Kumbe ndio maana CDM hawawezi kuongea chochote against Lowasa!Lowasa anawaumiza vichwa zaidi CCM kuliko CHADEMA
Kumbe ndio maana CDM hawawezi kuongea chochote against Lowasa!
Ndani ya CDM Lowasa anakubalika kuliko hata Slaa!
Humu ndani mlitusumbua sana
tukafunga safari tukijua amepata stroke.tukaenda hadi kwake
Kumbe ndio maana CDM hawawezi kuongea chochote against Lowasa!
Ndani ya CDM Lowasa anakubalika kuliko hata Slaa!
Una laana wewe. Katubu.Dah!mi nilidhani utarudi mwili kwenye jeneza bwana,karudi kuja kumalizia ile kazi ya kukwiba aliyoianza?
Angefafanua yupo tayari kwa kazi gani kwani kwa Kikao cho chote cha Bunge sasa.
Karibu tena EL kapumzike Monduli.
Lowasa anawaumiza vichwa zaidi CCM kuliko CHADEMA