Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,299
- 79,689
ingekuwa vizuri kama ungetuambia mpaka sasa Selasini amefanya nini? au walau anatarajia kufanya nini? Mimi tangu nimjue ninaskia miajali yake tuu...mara kavunjika mkono mara kiuno na ajali karibia zoote za kizembe kutokana na mwendo wa kasi na zingeweza kuepukika kama si kupunguza athari kama angehimiza abiria wake kuvaa mkanda! huyu jamaa ni bogus in short!
ujumbe umefika mkuu...chama makini kitaanza kulifanyia kazi........
Rombo haitaongozwa kwa propaganda.Fanyeni kazi acheni kutafuta mchawi....Muda mrefu sasa tumekuwa tukishuhudia meneno ya chinichini kuwa Mhe.Joseph Selasini kuwa ameshindwa ku deliver kwa Wananchi kama alivyoahidi,au amekuwa 'upande wa serikali'.
Mimi Kama mwananchi waMahida Rombo ambaye nilitumia nguvu na muda wangu kuhakikisha kuwa CHADEMA tunalinyakua jimbo kwa kishindo naona sasa kuna vitu vinavyoendelea ambavyo ni hatari kwa CHADEMA Rombo na pengine Taifa mwaka 2015.
Kuna kijana mwenzetu anaitwa Edward Kinabo ambaye aliangushwa kwenye kura za maoni ambaye huyu yupo karibu sana na Viongozi wa CHADEMA ngazi za juu na amekuwa akimchongea wazi wazi Mhe. Selasini maneno ya Uzushi na uongo uliopitiliza. Kwa ushahidi wa E.Mails ambazo amekuwa akizituma kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa John Mrema, Basil Lema na Mhe. Freeman Mbowe ni wazi kuwa lengo lake halikuwa zuri wakati akionyesha nia ya kugombea nafasi hiyo ya Ubunge. Badala yake sasa baada ya kukosa amekuwa akitekeleza mbinu zifuatazo;
1. Amekuwa akiwapigia simu Baadhi ya Wananchi wa Rombo (Mimi nikiwa Mmoja wao) akimponda Mhe. Selasini na kuwa eti "Alijua tu".
2. Amekuwa akisambaza E.Mails kwa wanachama wa CHADEMA akimpaka matope Mhe.Selasini (Ushahidi upo Zaidi ya 168mails)
3. Amekuwa akishirikiana na Mtu mmoja anayeitwa Emmanuel ambaye naye alibwagwa kwenye kura za maoni kwa CCM na kupanga njama kadhaa za kumsemea vibaya Mhe. Selasini ndani na nje ya CHADEMA.
Kwa ujumbe huu nawatahadharisha Mhe. Selasini na Viongozi wengine wa CHADEMA kumuangalia kwa jicho la tatu huyu mtu mwenye Tamaa ya Ubunge tangu 2010 hadi sasa ameukosa lakini bado anamchafua kiongozi aliyechaguliwa na wananchi bila sababu ya Msingi.
Vp BEN utajitosa ROMBO 2015?Rombo haitaongozwa kwa propaganda.Fanyeni kazi acheni kutafuta mchawi....
Aliyefanya kazi hukumu ni 2015
Vp BEN utajitosa ROMBO 2015?
Rombo haitaongozwa kwa propaganda.Fanyeni kazi acheni kutafuta mchawi....
Aliyefanya kazi hukumu ni 2015
Kwa sasa mbunge ni Selasini huyo anaepiga majungu ni saizi yako, mwambie aache tabia ya kiccm, Ushauri wangu kwa Mh Selasini ni kupambana ahakikishe anawaletea maendeleo wananchi wa Rombo na Tanzania kwa ujumla na leo nimemsikia Bungeni akipigania Vitendea kazi hasa mgawo wa Mafuta kwa gari za polisi
Sisi Warombo tunajua Jimbo letu liko wazi! Huyu Selasini hana anacho/alichokifanya zaidi ya kuhudhuria misiba na kutuharibia watoto wetu wa Secondari!
Kafanyaje? Are you scared of him? Na bado..........mtamjua vizuri zaidi 2015.....just mark my words.....lolz!Ben wa Saa Nane
Muda mrefu sasa tumekuwa tukishuhudia meneno ya chinichini kuwa Mhe.Joseph Selasini kuwa ameshindwa ku deliver kwa Wananchi kama alivyoahidi,au amekuwa 'upande wa serikali'.
Mimi Kama mwananchi waMahida Rombo ambaye nilitumia nguvu na muda wangu kuhakikisha kuwa CHADEMA tunalinyakua jimbo kwa kishindo naona sasa kuna vitu vinavyoendelea ambavyo ni hatari kwa CHADEMA Rombo na pengine Taifa mwaka 2015.
Kuna kijana mwenzetu anaitwa Edward Kinabo ambaye aliangushwa kwenye kura za maoni ambaye huyu yupo karibu sana na Viongozi wa CHADEMA ngazi za juu na amekuwa akimchongea wazi wazi Mhe. Selasini maneno ya Uzushi na uongo uliopitiliza. Kwa ushahidi wa E.Mails ambazo amekuwa akizituma kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa John Mrema, Basil Lema na Mhe. Freeman Mbowe ni wazi kuwa lengo lake halikuwa zuri wakati akionyesha nia ya kugombea nafasi hiyo ya Ubunge. Badala yake sasa baada ya kukosa amekuwa akitekeleza mbinu zifuatazo;
1. Amekuwa akiwapigia simu Baadhi ya Wananchi wa Rombo (Mimi nikiwa Mmoja wao) akimponda Mhe. Selasini na kuwa eti "Alijua tu".
2. Amekuwa akisambaza E.Mails kwa wanachama wa CHADEMA akimpaka matope Mhe.Selasini (Ushahidi upo Zaidi ya 168mails)
3. Amekuwa akishirikiana na Mtu mmoja anayeitwa Emmanuel ambaye naye alibwagwa kwenye kura za maoni kwa CCM na kupanga njama kadhaa za kumsemea vibaya Mhe. Selasini ndani na nje ya CHADEMA.
Kwa ujumbe huu nawatahadharisha Mhe. Selasini na Viongozi wengine wa CHADEMA kumuangalia kwa jicho la tatu huyu mtu mwenye Tamaa ya Ubunge tangu 2010 hadi sasa ameukosa lakini bado anamchafua kiongozi aliyechaguliwa na wananchi bila sababu ya Msingi.
nilifuatilia kwa makini kampeni za chadema arumeru; walisema nasari achaguliwe ili awe paka apambane na panya wanaotafuna pesa huko halmashauri. Kama nasari kweli anaweza kuwa paka, iweje mhe. Selasini ashindwe? Tuache kudanganyana, 2015 30 out! Anawabembeleza ccm badala ya kukomaa kikamanda!!, ccm ukijifanya unawanyenyekea ujue umeumia. Time will tel.naanza kwa nukuu yako. "2015 selasini out"
is out on your mind but still he's our mp until 2030.
Hayo unayolalamikia ni tatizo la halmashauri zote! Wangapi wamekuwa wakali lakini watu hawasikii? Kwanza halmashauri ina watu wa ccm. Ni kwa namna gani wanaweza kumsikiliza mhe. Na kutekeleza amri yake wakati wanataka aharibu ili hiyo 2015 magamba washinde? Kama hufikirii vizuri vile...
Sasa nikiwa Geza Ulole siwezi kuchangia?Mtu mwenyewe Geza Ulole sasa takujibu nn
anawasiwasi mana anajua utendaji wake ni mbovu na 2015 harudi mjengoni hata atambikieingekuwa vizuri kama ungetuambia mpaka sasa Selasini amefanya nini? au walau anatarajia kufanya nini? Mimi tangu nimjue ninaskia miajali yake tuu...mara kavunjika mkono mara kiuno na ajali karibia zoote za kizembe kutokana na mwendo wa kasi na zingeweza kuepukika kama si kupunguza athari kama angehimiza abiria wake kuvaa mkanda! huyu jamaa ni bogus in short!
Sasa nikiwa Geza Ulole siwezi kuchangia?
Rombo inajitaji Mbunge mwenye kujua anafanya nini ambaye anajua pia wajibu wake pia katika maisha yake ya kila siku kama kiongozi! Si kila siku maajali ya kizembe yanayompotezea hata wazazi wake!
Sasa huo mda wa kufikiri maendeleo ya Rombo utatoka wapi? Huyu jamaa hakustaili kuwa Mbunge huo ndo ukweli!
Naamini wewe ni msomi ila weka data mkuu! unamaanisha kwamba wazazi wanajitahidi kujenga shule ili watoto/vijana wasome hafu mheshimiwa anachangia kuwaharibu? naomba uwe wazi kidogo.
Kuweni macho na Selasini. Ni kweli Selasini si mtu wa kuaminika. Yeye na Shibuda na kitu kimoja. Tusipoteze muda kumjadili Selasini. Tusonge mbele na M4C na tuachane na Selasini hadi 2015 tutakapochambua pumba na mchele.Selasini ni mtu mnafki ndani ya chama na amekuwa akitetea posho waz waz nani asiemjua hata ukimsafisha na jiki asafishiki tena ni mchumia tumbo nambari one na si mpambanaji wa kweli hana tofauti na kaka yake lamwai