Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Muda mrefu sasa tumekuwa tukishuhudia meneno ya chinichini kuwa Mhe.Joseph Selasini kuwa ameshindwa ku deliver kwa Wananchi kama alivyoahidi,au amekuwa 'upande wa serikali'.
Mimi Kama mwananchi waMahida Rombo ambaye nilitumia nguvu na muda wangu kuhakikisha kuwa CHADEMA tunalinyakua jimbo kwa kishindo naona sasa kuna vitu vinavyoendelea ambavyo ni hatari kwa CHADEMA Rombo na pengine Taifa mwaka 2015.
Kuna kijana mwenzetu anaitwa Edward Kinabo ambaye aliangushwa kwenye kura za maoni ambaye huyu yupo karibu sana na Viongozi wa CHADEMA ngazi za juu na amekuwa akimchongea wazi wazi Mhe. Selasini maneno ya Uzushi na uongo uliopitiliza. Kwa ushahidi wa E.Mails ambazo amekuwa akizituma kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa John Mrema, Basil Lema na Mhe. Freeman Mbowe ni wazi kuwa lengo lake halikuwa zuri wakati akionyesha nia ya kugombea nafasi hiyo ya Ubunge. Badala yake sasa baada ya kukosa amekuwa akitekeleza mbinu zifuatazo;
1. Amekuwa akiwapigia simu Baadhi ya Wananchi wa Rombo (Mimi nikiwa Mmoja wao) akimponda Mhe. Selasini na kuwa eti "Alijua tu".
2. Amekuwa akisambaza E.Mails kwa wanachama wa CHADEMA akimpaka matope Mhe.Selasini (Ushahidi upo Zaidi ya 168mails)
3. Amekuwa akishirikiana na Mtu mmoja anayeitwa Emmanuel ambaye naye alibwagwa kwenye kura za maoni kwa CCM na kupanga njama kadhaa za kumsemea vibaya Mhe. Selasini ndani na nje ya CHADEMA.
Kwa ujumbe huu nawatahadharisha Mhe. Selasini na Viongozi wengine wa CHADEMA kumuangalia kwa jicho la tatu huyu mtu mwenye Tamaa ya Ubunge tangu 2010 hadi sasa ameukosa lakini bado anamchafua kiongozi aliyechaguliwa na wananchi bila sababu ya Msingi.
Mimi Kama mwananchi waMahida Rombo ambaye nilitumia nguvu na muda wangu kuhakikisha kuwa CHADEMA tunalinyakua jimbo kwa kishindo naona sasa kuna vitu vinavyoendelea ambavyo ni hatari kwa CHADEMA Rombo na pengine Taifa mwaka 2015.
Kuna kijana mwenzetu anaitwa Edward Kinabo ambaye aliangushwa kwenye kura za maoni ambaye huyu yupo karibu sana na Viongozi wa CHADEMA ngazi za juu na amekuwa akimchongea wazi wazi Mhe. Selasini maneno ya Uzushi na uongo uliopitiliza. Kwa ushahidi wa E.Mails ambazo amekuwa akizituma kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa John Mrema, Basil Lema na Mhe. Freeman Mbowe ni wazi kuwa lengo lake halikuwa zuri wakati akionyesha nia ya kugombea nafasi hiyo ya Ubunge. Badala yake sasa baada ya kukosa amekuwa akitekeleza mbinu zifuatazo;
1. Amekuwa akiwapigia simu Baadhi ya Wananchi wa Rombo (Mimi nikiwa Mmoja wao) akimponda Mhe. Selasini na kuwa eti "Alijua tu".
2. Amekuwa akisambaza E.Mails kwa wanachama wa CHADEMA akimpaka matope Mhe.Selasini (Ushahidi upo Zaidi ya 168mails)
3. Amekuwa akishirikiana na Mtu mmoja anayeitwa Emmanuel ambaye naye alibwagwa kwenye kura za maoni kwa CCM na kupanga njama kadhaa za kumsemea vibaya Mhe. Selasini ndani na nje ya CHADEMA.
Kwa ujumbe huu nawatahadharisha Mhe. Selasini na Viongozi wengine wa CHADEMA kumuangalia kwa jicho la tatu huyu mtu mwenye Tamaa ya Ubunge tangu 2010 hadi sasa ameukosa lakini bado anamchafua kiongozi aliyechaguliwa na wananchi bila sababu ya Msingi.