Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,781
- 78,451
ingekuwa vizuri kama ungetuambia mpaka sasa Selasini amefanya nini? au walau anatarajia kufanya nini? Mimi tangu nimjue ninaskia miajali yake tuu...mara kavunjika mkono mara kiuno na ajali karibia zoote za kizembe kutokana na mwendo wa kasi na zingeweza kuepukika kama si kupunguza athari kama angehimiza abiria wake kuvaa mkanda! huyu jamaa ni bogus in short!