Mhe. Edward Lowassa atembelea wiliyani Mwanga asalimiana na wananchi

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward lowasa akiwasalimia wanachama na wakazi wa kata ya Lembeni, jimbo la Mwanga katika mkoa wa kilimanjaro ambao wanajiandaa na uchaguzi mdogo katika kata hiyo ambapo Lembris Mchome ndiye aliyepitishwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi huo.
 

Attachments

  • IMG-20161230-WA0040.jpg
    IMG-20161230-WA0040.jpg
    61.9 KB · Views: 138
  • IMG-20161230-WA0041.jpg
    IMG-20161230-WA0041.jpg
    74.1 KB · Views: 131
  • IMG-20161230-WA0039.jpg
    IMG-20161230-WA0039.jpg
    74.1 KB · Views: 36
Ingawa sikuwa mfuasi wake sana lakini naamini sikufanya kosa kumpigia kura EL...

Na bado naamini Nchi isingekuwa kwenye hali hii MBAYA kama tume ingemtangaza El mshindi.

Mungu aendelee kukulinda.
Imetoka hiyo!! Subirini 2025 tena!!
 
Back
Top Bottom