Mheshimiwa huyu mwenye asili ya kisomali akichangia hoja ya ofisi ya waziri mkuu jioni hii amesikika akisema chama cha mapinduzi ni chama dume, chama dume kwa lipi? Chama dime kwa:-
1.Kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na Mzee Nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu CDA kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa FAT japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa Mzee Nyerere na Sokoine maana nakumbuka wakati akiwa Mbunge Mzee Mtaki aliwahi kumwuliza Maziri Mkuu Sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la Arusha lakini sasa Kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa Halimashauri kuu? Mzee Sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu Rage kaita CCM ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge Mogadishu.
Mheshimiwa huyu mwenye asili ya kisomali akichangia hoja ya ofisi ya waziri mkuu jioni hii amesikika akisema chama cha mapinduzi ni chama dume, chama dume kwa lipi? Chama dime kwa:-
1.Kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na Mzee Nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu CDA kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa FAT japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa Mzee Nyerere na Sokoine maana nakumbuka wakati akiwa Mbunge Mzee Mtaki aliwahi kumwuliza Maziri Mkuu Sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la Arusha lakini sasa Kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa Halimashauri kuu? Mzee Sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu Rage kaita CCM ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge Mogadishu.
Kuwa mzalendo acha malalamiko yasiyo ya msingi, hao wanyamwezi ndio wamemchagua....mbona unaleta tabia kama ya joka la mdimu!!! wewe sio mnyamwezi na sio mkazi wa TBR kinakuuma nini??? acha wivu fanya kazi yako.
Rage ni raia kama walivyowengine amezaliwa TBR kama wanyamwezi wengine na ana sifa ya kuwa muwakilishi, msomi ktk fani ya uhasibu zaidi ya hapo ana CPA frm America
Hii hapa CV YA RAGE -wewe kambilombilo ni mbwiga pamoja na wanaymwezi wenzio cheki hapo kwenye red
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture
First Name: Ismail
Middle Name: Aden
Last Name: Rage
Member Type: Constituency Member
Constituent: Tabora Mjini
Political Party: CCM
Office Location: Box 84, Tabora
Office Phone: +255 784 261761/+255 655 000891
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: irage@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 3 January 1953
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Town Primary School Primary Education 1961 1964 PRIMARY
Mihayo Primary School Primary Education 1965 1965 PRIMARY
Urambo Extended Primary School Primary Education 1966 1967 PRIMARY
Uyui Secondary School O-Level Education 1968 1971 SECONDARY
College of Business Shinyanga Accountancy 1972 1973 CERTIFICATE
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
The Parliament of Tanzania Member - Tabora Town Constituency 2010 2015
Private Sector Director 1986 2010
The Capital Development Authority (CDA), Dar Es Salaam Director 1977 1985
East African Airways Assistant Accountant 1974 1976
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi, CCM 2004 Todate
Iko wapi CPA toka AMERICA , IVI WANYAMWEZI KWA NINI WASHAMBA HIVO?
Mheshimiwa huyu mwenye asili ya kisomali akichangia hoja ya ofisi ya waziri mkuu jioni hii amesikika akisema chama cha mapinduzi ni chama dume, chama dume kwa lipi? Chama dime kwa:-
1.Kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na Mzee Nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu CDA kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa FAT japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa Mzee Nyerere na Sokoine maana nakumbuka wakati akiwa Mbunge Mzee Mtaki aliwahi kumwuliza Maziri Mkuu Sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la Arusha lakini sasa Kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa Halimashauri kuu? Mzee Sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu Rage kaita CCM ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge Mogadishu.......