Alikuwa fundi magari baadae akajiingiza kwenye utapeli tapeli kala pesa ya fat ana kaka yake yuko marekani ndio anayempa misaada ya kumuweka mjini Rage ndie aliyempa pesa za kufungua radio kule tabora kiitwacho VOT voice of tabora sijui kama bado ipo hiyo redio
Pia amekula hela za rambi rambi za Patrick Mutesa Mafisango pamoja na za Ubingwa waliochukua Simba Balkua mchezaji ,akini wa simba wa kikosi cha kwanza..enzi za kina king kibadeni, maulid dilunga ,mambosasa,alikua mchezaji wa kutumainiwa..
Na ni simba damu damu
amefanya mengi katika soka na kiongozi mjuaji wa mambo..kina tenga wanamulewa uzuri
Aliwahi kucheza sinema za ki-cowboy kule Hollywood katika miaka ya 60 pamoja na wacheza sinema nyota kama vile Clint Eastwood, Lee Van Cleff, Gary Cooper na John Wayne.View attachment 70917
Pia amewahi kulia hadharani baada ya Twite kumtosa na kwenda Yanga
Blayi wa Mpwapwa. Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi said:wanyamwezi ni ndugu wa wasukuma, uliza mageuzi Shy na Mza! siyo wajinga wala hawajalala kama unavyofikiri ila Tbr mjini walipewa na ccm wajinga wawili wakampa mjinga mmoja huyu.
dume, dume, dume.....sijui wanawake wako wapi maana wamedhalilishwa sana...kwani kuwa jike ni kosa ama aibu ama ujinga....wanaotetea haki za wakina mama wako wapi,,,,hata kikwete nimemsikia akihutubia mkutano mkuu wa ccm anasema ccm ni dume,,,nani jike na kwani kwa nini asikiite chama jike ili kuwawezesha wanawake wajisikie wamejaliwa............hapa wanawake msikipigie kura ccm 2015!mheshimiwa huyu mwenye asili ya kisomali akichangia hoja ya ofisi ya waziri mkuu jioni hii amesikika akisema chama cha mapinduzi ni chama dume, chama dume kwa lipi? Chama dime kwa:-
1.kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na mzee nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu cda kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa fat japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa mzee nyerere na sokoine maana nakumbuka wakati akiwa mbunge mzee mtaki aliwahi kumwuliza maziri mkuu sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la arusha lakini sasa kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa halimashauri kuu? Mzee sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu rage kaita ccm ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge mogadishu.
Mheshimiwa huyu mwenye asili ya kisomali akichangia hoja ya ofisi ya waziri mkuu jioni hii amesikika akisema chama cha mapinduzi ni chama dume, chama dume kwa lipi? Chama dime kwa:-
1.Kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na Mzee Nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu CDA kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa FAT japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa Mzee Nyerere na Sokoine maana nakumbuka wakati akiwa Mbunge Mzee Mtaki aliwahi kumwuliza Maziri Mkuu Sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la Arusha lakini sasa Kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa Halimashauri kuu? Mzee Sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu Rage kaita CCM ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge Mogadishu.
Mheshimiwa huyu mwenye asili ya kisomali akichangia hoja ya ofisi ya waziri mkuu jioni hii amesikika akisema chama cha mapinduzi ni chama dume, chama dume kwa lipi? Chama dime kwa:-
1.Kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na Mzee Nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu CDA kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa FAT japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa Mzee Nyerere na Sokoine maana nakumbuka wakati akiwa Mbunge Mzee Mtaki aliwahi kumwuliza Maziri Mkuu Sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la Arusha lakini sasa Kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa Halimashauri kuu? Mzee Sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu Rage kaita CCM ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge Mogadishu.
Wasomali wajipanga kuunyakua mkoa wetu wa Tabora,nasikia kuna mwingine na yeye anajipanga kwa kasi kuchukua jimbo la Nzega akipewa support kubwa na R.A
Pinda angeseme"ndugu yangu hatuna shida na wewe kabisaa ulijikwaa tu na sasa umeliona kosa lako basi karibu tu tujenge chama wewe ni mwenzetu"
Hapo kwenye red; kama kweli hilo swali liliwahi kuulizwa na PM Sokoine akatoa hilo jibu basi Sokoine alikuwa genius. Hizo zilikuwa enzi za CCM ya ukweli na sio hii ya mafisadi hivi leo. Hebu jaribu kufikiria ingekuwa Pinda angejibuje?
Ubaguzi! Ubaguzi! Ubaguzi
TZ ubaguzi hauna nafasi ndio maana wa TZ walikikataa chama cha kibaguzi uchaguzi wa 2010!
mh Rage ni bingwa wa porojo siku ya msiba wa mafisango wakati anasoma risala alijifanya kulia na kushindwa kusoma risala ile, huku akisaidiwa kulia kisanii na mh Samweli Sitta , mzee wa porojo akaelezea kuwa alikuwa analia sababu marehemu alimwambia japokuwa mkataba wake umemalizika atachezea Simba bureeee. sasa ukitaka kujua jamaa ni mzee wa porojo vyombo vya marehemu vilipotupwa nje , aliuchuna kimya huku msemaji wa klabu hiyo akielezea kuwa marehemu alishamaliza mkataba simba , fedha za rambirambi zimetumika kwenye mazishi. mh RAGE alikuwa mchezaji wa simba miaka ya nyuma hakuwahi kucheza na kibadeniPia amekula hela za rambi rambi za Patrick Mutesa Mafisango pamoja na za Ubingwa waliochukua Simba B