Mhaya na Mnyakyusa

CAMARADERIE

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
4,419
Reaction score
1,929
Mhaya mmoja aliingia baa na kukuta imejaa full isipokuwa kiti cha meza moja iliyokuwa na mteja mmoja. Jamaa akaikaribia na kumsalimia ''mywaji'' mwenzie na kumuomba kama anaweza kumjoin. Akakaribishwa na kuketi. Ikabidi watambulishane, mnyakyusa akasema '' naitwa Mwakimimba'' mhaya akasema '' mimi naitwa Mutafirwa''......ilibidi mabaunsa waingilie kati
 

Hapo ndo kina "KIDAWA" wanapokosea!
 
sijaielewa mwishoni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 

mkuu nimecheka mpaka wifi yako ameshtuka hapa kitandani...
 
Hapo ilibidi Mnyakyusa Amuite Kaka yake Mwakibolwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…