Kwenye mji wangu asilimia kubwa ya mali nimenunua mimi......lakini KIDAWA wangu wa KIPAWA namsikia akisema kila kitu ni chake....nyumba yangu,gari yangu,hela zangu (tuna joint bank account),watoto wangu........ila kasoro mama yangu mzazi hasemi mama yangu :lol::lol::lol: