Ded anaongea kwa hisia Sasa hapo kwenye maelezo mbona hakuna namna ilioonyesha kaiba kwa namna gani maana fedha inakatwa kwenye mashine ambazo zimeunganishwa na mfumo wa LGRCIS ambapo mashine ikikata fedha inaonekana sehemu nyingi Sasa kala fedha au hakati huo ushuru anachukua rushwa magari hayakatii? Atoe ufafanuzi milion85 ni fedha nyingi sana