stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 518
Shauri yako na pole sana mkuu...kwa taarifa yako mali ya serikali hasahasa Tanzania huwa haina mwenyewe, wanaanzaga kwa mikwara ya kuwaweka ndani mwisho wa siku kesi zinakosa ushahidi watu wanarudi kitaaa kama kawaida. Bila shaka ushasikia maskendo kibao makubwa kwa madogo watu wakiwekwa ndani ni nani kati ya hao ulimsikia akihukumiwa au akirudisha hzo pesa??Kwani makwapukwapu hutakiwa kurejesha fedha alizokwapua kwa kubembelezwa huku akitokea nyumbani kwake?