chakarikamkopo
Member
- May 24, 2012
- 79
- 56
Anatafutwa mtu aliyesomea uhasibu ngazi ya shahada. Awe na ujuzi mzuri wa kutumia tarakilishi (computer) na kama amewahi kutumia ''Finance Solution'' software itakuwa vyema sana.
Kazi hii ni kwa ajili ya tawi jipya la wilaya ya Temeke. Hivyo wakazi wa Temeke wanapewa kipaumbele zaidi.
Omba kupitia chakarikamkopo@yahoo.com au boazackimu@yahoo.com kabla ya 5th August 2013. Tafadhali usitume scanned copies wala picha. Barua ya maombi na CV vinatosha.
Kazi hii ni kwa ajili ya tawi jipya la wilaya ya Temeke. Hivyo wakazi wa Temeke wanapewa kipaumbele zaidi.
Omba kupitia chakarikamkopo@yahoo.com au boazackimu@yahoo.com kabla ya 5th August 2013. Tafadhali usitume scanned copies wala picha. Barua ya maombi na CV vinatosha.