okwili
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 220
- 35
Tunaitaji muhasibu msaidizi awe na sifa zifuatazo.
Elimu kuanzia diploma.
Jinsia ya Kiume.
Ajuwe kutumia Tally itakuwa bora zaidi. Kama hajui atafundishwa.
Ajuwe Kiswahili na Kingereza ( kusoma, kuandika na kuongea )
Kutumia computer (microsoft office )
Kituo cha kazi kipo Msasani, Dar es Salaam.
Tuma maombi ambatanisha na CV tu.
wpeter07@yahoo.com
Mwisho wa kutuma maombi ni 17 March 2021.
Elimu kuanzia diploma.
Jinsia ya Kiume.
Ajuwe kutumia Tally itakuwa bora zaidi. Kama hajui atafundishwa.
Ajuwe Kiswahili na Kingereza ( kusoma, kuandika na kuongea )
Kutumia computer (microsoft office )
Kituo cha kazi kipo Msasani, Dar es Salaam.
Tuma maombi ambatanisha na CV tu.
wpeter07@yahoo.com
Mwisho wa kutuma maombi ni 17 March 2021.