Mhandisi Msenyele Kuiongoza MWAUWASA

Mhandisi Msenyele Kuiongoza MWAUWASA

Wizara ya Maji

Govt Institution
Joined
Oct 2, 2024
Posts
19
Reaction score
7
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemteua Mhandisi Leonard Msenyele kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA). Mhe. Aweso amefanya uteuzi huo wakati wa kikao kazi na watendaji wa taasisi hiyo kilicholenga masuala ya utendaji ikiwemo utoaji wa huduma kwa wananchi.

“Watendaji waache kufanya kazi kwa mazoea kwani Dunia ya sasa inahitaji watendaji wanaofanyakazi na watakaoleta mabadilko chanya ” Aweso amesema.


View: https://www.instagram.com/p/DdBPxdvjeMY/?stkn=ODN1cnZzeHlnY2tn
 
Back
Top Bottom