Mhandisi akioga

Mhandisi akioga

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,578
Reaction score
28,698
Mhandisi akipiga maji mara baada ya kumaliza kazi.
No complications.

14203254_297600487273090_4983424977877196962_n.jpg
 
Daaaah nimeipenda sana....sasa hapo hayo mafuta ya kumsha iyo mashine si bora angenunua ndoo ya buku mbili ili aoge???
 
Hapo unaambiwa safety factor imeangaliwa
 
He need a certificate in economics................and a diploma in Psychology...
 
Mhandisi akipiga maji mara baada ya kumaliza kazi.
No complications.

14203254_297600487273090_4983424977877196962_n.jpg


Jamani hilo ni ziwa au bahari????!!!! Kama ni bahari unaweza kweli kuoga maji ya maji ya bahari...sijui bwana, labda hilo ni ziwa....anyway, siyajui sana mambo haya....
 
Mods naomba msaada jamani kwangu Picha sasa hivi hazionekani kwenye hii app yenu kwani tatizo ni nini
 
Mods naomba msaada jamani kwangu Picha sasa hivi hazionekani kwenye hii app yenu kwani tatizo ni nini
Kama inatumia airtel ni kawaida....chakufanya ukiona haifunguki we i click then itaji download...ikinaliza ndio itafunguka...
 
Back
Top Bottom