Mb zimekuwa ghali embu niambie alichoongea profesa
Anasema Kamkuta Hamissa Mobetto ananyonywa ndimi Na Ben Paul
Najua hapo lazima ukakope bundle usikie vizuri
Mb zimekuwa ghali embu niambie alichoongea profesa
Ni ngumu sana kutenganisha politics na maisha ya kila siku. Politics huathiri maisha yetu yote. Decisions zinazofanywa na wanasiasa ndiyo huamua maisha yetu ya kila siku kwa nyanja za elimu, afya, miundo mbinu , maji, na kila kitu. Kwa hiyo, maisha yetu yote yamefichwa kwenye maamuzi ya kisiasa. Kwa maana hiyo, huwezi kukwepa kujadili siasa hata kama wewe ni mhandisi, daktari, mwalimu etcKuna tofauti kubwa kati ya kufundisha CRITICAL THINKING na POLITICAL THINKING. Tatizo lililopo ni kuwa lectures siku hizi zimegeuzwa kuwa sehemu za wahadhiri kuhubiri siasa yaani hata mhadhiri wa Engineering Mathematics 1 anafundisha 'political thinking'.
Kwani sura ya Kitanzania ikoje .............!!?Huyu hata sura tu anaonyesha sio raia lakini hana adabu na usipofunzwa na wazazi utafunzwa na ulimwengu
Anasema Kamkuta Hamissa Mobetto ananyonywa ndimi Na Ben Paul
Najua hapo lazima ukakope bundle usikie vizuri
Profesa UDSM amemkosoa vikali Rais Magufuli kuhusu anayoyafanaya na serikali yake
Zitto alimkula akamzalisha na akasepa kwa mwanamke mwingine. Ni kama ana mastress anatamani afe au chochote kimtokee maana hana pa kushika. Hana jipya na PHD yake ya ngoma za jadi huyu binti. Anatumiwa tu na hana jipya.'Frustration' haijawahi kumwacha mtu salama! Huyu mama mshaurini amalize vurugu za mahusiano yake kwenye unyumba, asihamishie hasira zake kwa Magu wetu! Huruma kweli...!
Mkuu anatumiwa na nani?Zitto alimkula akamzalisha na akasepa kwa mwanamke mwingine. Ni kama ana mastress anatamani afe au chochote kimtokee maana hana pa kushika. Hana jipya na PHD yake ya ngoma za jadi huyu binti. Anatumiwa tu na hana jipya.
Unachosema ni kweli. Je, Maneno ya huyu mama yana ukweli kiasi gani?
muache atoe maoni yake ! Wewe tua ya kwako tulinganisheZitto alimkula akamzalisha na akasepa kwa mwanamke mwingine. Ni kama ana mastress anatamani afe au chochote kimtokee maana hana pa kushika. Hana jipya na PHD yake ya ngoma za jadi huyu binti. Anatumiwa tu na hana jipya.
Angalia ID yako halafu jijibu mwenyewe.Mkuu anatumiwa na nani?
Zitto alimkula akamzalisha na akasepa kwa mwanamke mwingine. Ni kama ana mastress anatamani afe au chochote kimtokee maana hana pa kushika. Hana jipya na PHD yake ya ngoma za jadi huyu binti. Anatumiwa tu na hana jipya.
Leo umeanza kuwashwa mapemaaaaNi kweli siyo raia kwa sababu hana sura ya kitaahira kama jiwe na wewe
Uhamiaji ndio wanakibali hicho mkuu cha uchunguzi wa kisayansi mm utakua unanionea tu ndio maana nikakushauri usogelee dawati lao pale uupate kujua ww raia wa wapi ila ongozana na huyo mchambuzi wakoNilitarajia ungekuja na majibu ya kisayansi, kumbe....Anyway, MUNGU ni wetu sote
Sasa kama hushangai unaleta humu ya nn??Sitashangaa akinyang'anywa passport. . Hii serikali imejaa intimidations!
Uzi umetulia...analazimisha umaarufu naona sasa wanakuja kama familia akitoka baba anakuja mama yan yajayo yanafurahisha haaahahaaHuyu kwanza ni demu wa ZZK na kazaa nae. Anaitwa Vicensia Ahule ni Mchaga na kwao ni pale tu unapomaliza gereza la Karanga Moshi kama unaelekea Arusha. Baba yake alikuwa na Bar inaitwa Tanzania. "Tanzania Bar". Mpaka hapo nafahamu mshajua ni nini anafanya. Hana jipya anatumiwa tu. Popularity hunting pia.