TODO
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 219
- 62
mh! zitto upo bungeni kweli? takriban wizara tatu sasa bajeti zake zimejadiliwa sijakusikia ina maana huna cha kuchangia kwenye wizara hzo? mfano w.uvuvi mmepitisha bajeti yake nilidhan ungekuwa na hoja maana hta kwenu kgm kuna uvuvi,mfano dagaa niwapendao wapo kgm