Cassian Lucas
Member
- Dec 17, 2011
- 24
- 2
CDM bila zitto ni mauti. Huyu peke yake ndio mwenye nia njema wengine wote ni njaa zimewapeleka huko.
Hapo mkuu umenena, toka lini 'Mchaga akatanguliza Siasa akaacha Fwedha' Zitto wa mwache
CDM bila zitto ni mauti. Huyu peke yake ndio mwenye nia njema wengine wote ni njaa zimewapeleka huko.
Ilikuwa inahitaji upeo mpana kunielewa nilikuwa namaanisha nini.We kofongo Jina la kwanza la shibuda Ni zito? Akili ya Kwakiutl changanya na ya bata!